
Hapa zoezi la Uvuvi likiendelea huku baadhi ya watoto hao, wakiwa wamefanikiwa kupata vitoweo vyao.
Mwanzo nilidhani ni Watoto tu waliokuwa wakijishughulisha na Uvuvi, huo nilipohamia upande wa pili nilikutana na wengine lakini hawa sasa ni vijana wakubwa.
Hapa napo mambo yamenoga kweli kweli....
Wengine wali kuwa pembeni kusubiria vitoweo hivyo.
No comments:
Post a Comment