HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, January 20, 2013

demo-image

NSSF yaanza kuuza Nyumba zake za Bei nafuu Kibada Kigamboni jijini Dar

DSC_1213
Baadhi ya nyumba za Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) zilizopo katika eneo la mradi wa nyumba za bei nafuu huko Kibada Kigamboni jijini Dar es Salaam.
DSC_1288
Sehemu ya jikoni
DSC_1298
Mkurugenzi  wa Mipango Uwekezaji na Miradi wa  Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),  Yacoub Kidula akiangali akikagua nyumba ya shirika hilo kabla ya kuikabidhi kwa mnunuzi wa nyumba hiyo, Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Hamid Mahmoud Hamid. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mahfoudha Alley Hamid.DSC_1324
DSC_1400
Mmeona mandhari ya nyumba ilivyokuwa nzuri
DSC_1428
DSC_1444
DSC_1451
DSC_1551
DSC_1554
DSC_1567
Mkurugenzi  wa Mipango Uwekezaji na Miradi wa  Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),  Yacoub Kidula (kulia) akimkabidhi funguo ya nyumba, Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Hamid Mahmoud Hamid baada ya kununua nyumba ya shirika hilo iliyopo katika eneo la mradi wa nyumba za bei nafuu huko Kibada Kigamboni jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mahfoudha Alley Hamid.
DSC_1597
Wakipewa kadi ya Luku
DSC_1624
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Hamid Mahmoud Hamid akiweka saini baada ya kununua nyumba ya shirika hilo iliyopo katika eneo la mradi wa nyumba za bei nafuu huko Kibada Kigamboni jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mahfoudha Alley Hamid. Kulia ni Mkurugenzi  wa Mipango Uwekezaji na Miradi wa  Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),  Yacoub Kidula.  
DSC_1648
Karibuni ndani

10 comments:

  1. blank
  2. blank

    bei nafuu bei nafuu sema sh ngapi bhana...

    ReplyDelete
  3. blank

    bei nafuu hwo much, mbona hamsemi na mnapeanawakubwa tu,acheni kudanganya wa tz.

    ReplyDelete
  4. blank

    How much do you term as "bei nafuu"?

    ReplyDelete
  5. blank

    Wekeni bei wazi, mbona tunaona vibopa tu ndiyo wanaonunua?

    ReplyDelete
  6. blank

    Hizo nyumba ni shs ngapi? mbona matangazo hayatolewi? WATU WANAZIPATAJE? tunaomba tufahamishwe vizuri la zitaishia mikononi mwa vigogo! form za maombi ziwekwe wazi.

    ReplyDelete
  7. blank

    mauzo ya nyumba hizo hayako wazi.Ni vyema mkatangaza katika vyombo mbalimbali vya habari mkitaja bei halisi,na namna ya ulipaji.

    ReplyDelete
  8. blank

    Pls be open on this. How much does it cost for a house? Give us the categories

    ReplyDelete
  9. blank

    WEKENI BEI WAZI MBONA TUNAONA VIBOPA TU NDIYO WANAONUNUA?

    ReplyDelete
  10. blank

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *