kwa mpango huu,wabongo lazima tujijuzzz.maana wako kila kona na wanapiga mzigo wa kila aina.
Tuesday, January 25, 2011
Home
Unlabelled
jamaa siku hizi wanakaba mpaka penati....!!
jamaa siku hizi wanakaba mpaka penati....!!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
hata sisi pia tupo kwao tena hafadhali wao wana shughuli zinaoneka kuliko sisi huku china cha msingi nikujipanga na kukabiliana nao tu maana nasi tupo kila kona ya dunia
ReplyDeleteTeh teh nimeipenda hiyo wanakaba mpaka Penati na Mdau hapo wa Kwanza umesema kweli angalau wao wanaonekana wanafanya kitu gani ni mfano wa binadamu kuhangaikak uliko kulala mika binadamu mwenzako anaibia kitu sawa na UK wazungu kulalamika watu wanje wanachukua Kazi ambazo kumbe wao wanaona noma kuzifanya sawa na sie Tanzania.
ReplyDeleteNapenda sana hii maana ni changamoto...mbongo ukimwachia mzigo anakula kona...uaminifu sifuri...longolongo nyingi...bora hao matendo yao yanaongea kwa sauti kubwaaaa
ReplyDelete