maana kila kukicha lazima ukutane na mahandaki kama haya ambayo yamejaa katika kila kona ya jiji letu hili,wenye data na mahandaki haya tumwagieni hapa mtaani.hili lipo pale Namanga jirani kabisa na kituo cha daladala cha mbuyuni kama unatoka mjini.
Wednesday, October 6, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment