nikitabaruku katika mashamba ya mwenyeji huku Lushoto
hii ndio stendi kuu ya mabasi Lushoto
abiria wakiwa katika daladala zinazopiga ruti za kuingia vijijini,kutokea Lushoto Mjini.
kina mama wafanyao biashara za matunda wakiwa katika sehemu yao ya kazi.
No comments:
Post a Comment