wakili machachari aliyemtetea zombe Mh. Jerome Msemwa, akipewa hongera wakati yeye na timu yake wakiondoka mahakama kuu baada ya kuigalagaza timu ya upande wa mashitaka na kuondoka na point tatu muhimu
zombe akipanda vitara iliyokuja kumchukua washtakiwa wenzake na Zombe wakiwahi kupanda Land Rover ya Polisi (farasi mweupe) baada ya kuchoropoka katika kesi iliyowakabili takribani miaka mitatu.
umati mkubwa ulifurika katika Mahakama kuu leo kusikiliza kesi ya Zombe na wenzake.
washabiki wa zombe wakiwa wameachiwa vumbi na vitara aliyopanda zombe.picha zote kutoka Blogu ya Jamii.
No comments:
Post a Comment