Home Top Ad

Post Top Ad

Recent Posts

View More

Wednesday, April 2, 2025

JAJI MAHAKAMA KUU ALISHAURI BARAZA MASOKO YA MITAJI KUWA HURU ,KUTENDA HAKI KATIKA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO

34 mins ago 0

Na Mwandishi Wetu,Michuzi TVJAJI wa Mahakama Kuu Dodoma Amiri Mruma amelishauri Baraza la Masoko ya Mitaji kuhakikisha kuwa linajisimamia kwa uhuru katika utendaji wake ili wananchi waweze kupata haki na kuwekeza zaidi.Ameongeza kwamba kuwa ili uch...

Read More

MIKAKATI YAWEKWA, UZINGATIAJI WA MAHITAJI WA WENYE ULEMAVU KATIKA MABADILIKO YA TABIA NCHI DUNIANI

37 mins ago 0

  NA. MWANDISHI WETU , BERLIN UJERUMANIMfuko wa Dunia wa Watu wenye Wlemavu (Global Disability Fund – GDF) umezikutanisha nchi zaidi ya 23 Mjini Berlin Nchini Ujerumani huku wakijikita katika kuzungumzia masuala yanayohusu Watu Wenye Ulemavu katika...

Read More

NCHIMBI ATUA MASASI KUELEKEA TUNDURU

3 hrs ago 0

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi ametua Uwanja wa Ndege wa Masasi, mkoani Mtwara, akiwa safarini kuelekea Tunduru, mkoani Ruvuma, tayari kuanza ziara yake ya siku 5. Uwanjani hapo, Balozi Nchimbi amepokele...

Read More

Tuesday, April 1, 2025

Kafulila- Deni la Taifa ni Himilivu kwa Uchumi wa Tanzania

1 day ago 0

Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), David Kafulila amesema serikali inavuta mitaji kutoka sekta binafsi kwasababu kodi na mikopo hayatoshi kufikia matarajio ya wananchi.Katika mazungumzo maalum na The Chanzo ...

Read More

Monday, March 31, 2025

TEA NA WFP WAHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

2 days ago 0

Mnamo tarehe 27 Machi 2025, Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) iliungana na Ubalozi wa Uingereza pamoja na Shirika la Umoja wa Mataifa – Mpango wa Chakula Duniani (World Food Programme - WFP) katika kampeni ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya k...

Read More

Sunday, March 30, 2025

KAYA 980 KUUNGANISHWA NA MTANDAO WA GESI ASILIA – TPDC

3 days ago 0

-Serikali kupitia TPDC imetenga Shilingi Bilioni 5.3 kwa ajili ya mradi huu-Gesi asilia ni rafiki wa mazingira, nafuu na salama -Wananchi wa Kata ya Mnazi Mmoja, Lindi wapewa elimu kuupokea mradi.Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC)  lim...

Read More

TRA Yatoa Msaada kwa Vituo vya Kulelea Watoto Yatima na Wanaoishi Katika Mazingira Hatarishi

3 days ago 0

 MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imeonesha mshikamano na jamii kwa kutoa msaada wa mahitaji mbalimbali kwa vituo vya kulelea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu. Vituo vilivyonufaika na msaada huo ni Umra Orphanage Center kilichopo ...

Read More

KIKWETE AONGOZA MAMIA YA WANANCHI WALIOJIAJIRI KUJIUNGA NA KUJIWEKEA AKIBA NSSF

3 days ago 0

  *Ni katika muendelezo wa kampeni ya elimu kwa umma kuhusu Skimu ya Taifa ya Hifadhi ya Jamii kwa Wananchi Waliojiajiri Chalinze mkoani Pwani*NSSF yaahidi kufikisha elimu ya hifadhi skimu kwa wananchi wengi zaidiNa MWANDISHI WETU, PWANIWaziri wa N...

Read More

Saturday, March 29, 2025

SERIKALI YAIONGEZEA OSHA WATUMISHI KUIMARISHA UTENDAJI

4 days ago 0

Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Bi. Mary Maganga akihutubia katika Kikao cha Nne cha Baraza la Tano la Wafanyakazi wa OSHA kilichofanyika katika Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Nyerere kilichopo Kibaha Mkoani ...

Read More
Page 1 of 71331234567...7133Next »Last

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *