Home Top Ad

Post Top Ad

Recent Posts

View More

Saturday, May 3, 2025

RWEBANGIRA AWATAKA WANANCHI KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

6 hrs ago 0

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe.Magdalena K.Rwebangira ametoa wito kwa wananchi wa mkoa wa Mbeya kujitokea na kufika kwenye vituo vya kujiandikisha ili kuboresha taarifa zao kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Pamoja na kuhakiki t...

Read More

RAIS SAMIA AMEDHAMIRIA KULETA SERIKALI KWA WANANCHI ILI KULETA MAENDELEO - MHE. MCHENGERWA

6 hrs ago 0

Na John MapepeleWaziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imedhamiria kwa dhati kuisogeza Serikali kari...

Read More

Waandishi wa Habari kuanza kujisajili kwenye mfumo wa TAI-Habari - Msigwa

7 hrs ago 0

Na Mwandishi Wetu, JABSerikali imesema vitambulisho vya Uandishi wa Habari (Press Card), vitaanza kutolewa wakati wowote baada ya siku saba kuanzia leo Mei 3, 2025 baada ya Waandishi wa Habari kuanza kujisajili rasmi kwenye mfumo wa TAI-Habari.Mwan...

Read More

Jeshi la Polisi Zanzibar Latoa Hakikisho la Ulinzi kwa Wanawake, Vijana na Watu Wenye Ulemavu Katika Uchaguzi 2025

12 hrs ago 0

 Nihifadhi AbdullaJESHI LA POLISI ZANZIBAR limezitoa hofu Asasi za Kiraia zinazoendelea kusimamia haki za Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu ZNZ ambapo limesema litaendelea kuhakikishia Haki, Ulinzi na Usalama kwa makundi hayo katika kipindi ch...

Read More

Jukwaa La Kwanza Wakuu Wa Taasisi Za Umma Zanzibar Kuanza Mei 11

12 hrs ago 0

Msajili wa Hazina Zanzibar Waheed Mohammad Ibrahim Sanya akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na Jukwaa la Wakuu wa Taasisi mbalimbali za Umma litakalofanyika Mei 11 hadi 13 katika Hoteli ya Golden Tulip Mjini Zanzibar.ZANZIBAR OFISI ya Msa...

Read More

WAJASIRIAMALI NYASA WAASWA KUTUMIA MIKOPO YA ASILIMIA 10 KUJIKWAMUA NA UMASKINI

12 hrs ago 0

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Nyasa Mkoani Ruvuma Khalid Khalif,akitoa taarifa ya mikopo ya asilimia 10 inayotoewa na Serikali kwa makundi maalum ya Wanawake,Vijana na Watu wenye Ulemavu ambapo Halmashauri hiyo imetenga zaidi ya Sh.m...

Read More

TANZANIA YAPANDA KATIKA VIWANGO VYA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI

13 hrs ago 0

 Na Mwandishi Wetu, JABTANZANIA  imepiga hatua katika viwango vya kimataifa vya Uhuru wa Vyombo vya Habari, kwa kupanda kutoka nafasi ya 97 mwaka 2024 hadi nafasi ya 95 mwaka 2025.Kwa mujibu wa Ripoti ya Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka (Reporte...

Read More

Bashiri na Meridianbet Leo

13 hrs ago 0

 IKIWA leo hii ni Jumamosi ya kwanza ya mwezi Mei wakali wa ubashiri wanakwambia hivi, endelea kubashiri na Meridianbet ujiweke kwenye nafasi ya kupiga mshindo wa maana. Mechi kibao za ushindi zipo hapa.EPL mechi zinatarajiwa kuendelea kibabe leo a...

Read More

SERIKALI IPO TAYARI KUSHIRIKIANA NA WAANDAAJI WA TUZO ZA INJILI- DKT. MAPANA

13 hrs ago 0

Serikali imesema kuwa ipo tayari kushirikiana na waandaaji wa Tuzo za muziki wa injili Afrika Mashariki East Africa Gospel Awards,(EAGMA) ili kusaidia kufika mbali zaidi katika kuhakikisha vipaji vya wanamziki vinazidi kukua.Hayo yamebainishwa na M...

Read More

TBS- Mafuta Yaliyosababisha Madhara Yombo Dovya Yaliingia Nchini Yakiwa Salama

13 hrs ago 0

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TVSHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS), limebaini mafuta ya kupikia yaliyosababisha athari kwa  wakazi wa eneo la Yombo Dovya, Jijini Dar es salaam, yalikuwa yameharibika na ndani yake kubeba aina mbili za kemikali ambazo ...

Read More

Meridianbet Yazindua Mashindano ya Kusisimua ya Expanse Slot, Zawadi Zaidi ya TZS Milioni 1 Zinasubiri

16 hrs ago 0

 MERIDIANBET inakuletea Expanse Slot Tournament kuanzia 22 Aprili hadi 6 Mei 2025, fursa ya kipekee kwa wachezaji wote waliosajiliwa kwenye tovuti na App ya Meridianbet.Jiunge sasa kabla hujakosa nafasi yako ya kuwa mshindi mkubwa.Jinsi ya Kushirik...

Read More

TANZANIA YAPANDA KATIKA VIWANGO VYA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI

18 hrs ago 0

Na Mwandishi Wetu, JABTanzania imepiga hatua katika viwango vya kimataifa vya Uhuru wa Vyombo vya Habari, kwa kupanda kutoka nafasi ya 97 mwaka 2024 hadi nafasi ya 95 mwaka 2025.Kwa mujibu wa Ripoti ya Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka (Reporters...

Read More
Page 1 of 71801234567...7180Next »Last

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *