tag:blogger.com,1999:blog-12022398652948435122024-03-18T21:56:32.868+03:00MTAA KWA MTAA BLOGOthman Michuzihttp://www.blogger.com/profile/03079913848444767692noreply@blogger.comBlogger45660125tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-9041223168994661102024-03-18T21:55:00.002+03:002024-03-18T21:55:37.705+03:00 GETHSEMANE GROUP KINONDONI(GGK) WAACHIA VIDEO YA BWANA WASTAHILI<span style="font-family: verdana; font-size: small;">Na Mwandishi Wetu<br /><br />WAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video ya wimbo wao mpya unaoitwa Bwana Wastahili.<br /><br />Video ya wimbo huo imeachiwa leo Machi 18,2024 saa mbili usiku na imerekodiwa katika Studio ya Flying Wave Studio na kuongozwa na Director maarufu ajulikanae kama Director Joowzey. <br /><br />Akizungumza na waandishi wa habari baada ya video hiyo kuachiwa hewani(kuzinduliwa) Mwenyekiti wa Gethsemane Group Kinondoni GGK Geoffrey Joseph amesema ni furaha kwao kuja na video ya wimbo huo ambayo imebeba ujumbe wa kumuabudu na kumtukuza Mungu.<br /><br />"Ujumbe mkubwa kwenye wimbo huu ni kwamba Mungu pekee ndie anastahili kuabudiwa na yeye ndiye anatosha kwa kila kitu hasa kipindi hiki ambacho baadhi ya madhehebu wapo Kwenye mfungo, tunaamini wimbo huu ni ibada na utawasogeza karibu zaidi na Mungu,"amesema Joseph <br /><br />Aidha ametoa neno kwa wasikilizaji na watazamaji wa video ya wimbo huo kutambua hakuna yoyote anayestahili kuabudiwa zaidi ya Mungu pekee.</span><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi3se0Z0-0B1ZlY7IBD5iQww61vabQPRnVG4snj1T8Nn4jMypW-8SMiqnwn2bszysboBBe6ccyrwU0O-bjuDrL1jXLU5w_eG6ChsyQWGECa6Fga3ehyrZt7V3ww0YAuOXSpZB2uTFX_ltar9JHBqdVyDGOi339EhHc469L39Kkwk6Ep3GWWZWTfKxQ4qY0/s1080/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2021.03.59%20%281%29.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi3se0Z0-0B1ZlY7IBD5iQww61vabQPRnVG4snj1T8Nn4jMypW-8SMiqnwn2bszysboBBe6ccyrwU0O-bjuDrL1jXLU5w_eG6ChsyQWGECa6Fga3ehyrZt7V3ww0YAuOXSpZB2uTFX_ltar9JHBqdVyDGOi339EhHc469L39Kkwk6Ep3GWWZWTfKxQ4qY0/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2021.03.59%20%281%29.jpeg" /></a></span><br /><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj8GtM8mEntixEeTKGQXGml7O9bAy8kgIatiuEEdhhpVu7lmwoELzn3Y1ZqfqDxm1B1HTtqRBJp6pzROfhChmejmUhpJ9QnyAIZz6gYYe7ilbab7xA52WmtnWvdq5Cx7Obdn0BY8Am0H_zzcDcjGBNTO1y9CQ6NSS7MonBCtWNFok3x_eDyGUPDajuFwEs/s1080/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2021.03.58.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj8GtM8mEntixEeTKGQXGml7O9bAy8kgIatiuEEdhhpVu7lmwoELzn3Y1ZqfqDxm1B1HTtqRBJp6pzROfhChmejmUhpJ9QnyAIZz6gYYe7ilbab7xA52WmtnWvdq5Cx7Obdn0BY8Am0H_zzcDcjGBNTO1y9CQ6NSS7MonBCtWNFok3x_eDyGUPDajuFwEs/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2021.03.58.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiN56OyHr5-sgzg5MB4Vq0v1SnQwuAoE6kSswoornh6vMQdJ-lOGFL5nNE5xoFGPeKg6xzyUu847kSY-cvtpQm-wxt4mOffC5Lzi-vHxfge6QrhLTnNeXdJ7WWSGRUQorB1uCzul56jx3I9hg6UOzBYx0a6SM2OEgKdZBT6vDlPlOdsoDDgBMF5BH8gkN0/s1080/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2021.03.59.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiN56OyHr5-sgzg5MB4Vq0v1SnQwuAoE6kSswoornh6vMQdJ-lOGFL5nNE5xoFGPeKg6xzyUu847kSY-cvtpQm-wxt4mOffC5Lzi-vHxfge6QrhLTnNeXdJ7WWSGRUQorB1uCzul56jx3I9hg6UOzBYx0a6SM2OEgKdZBT6vDlPlOdsoDDgBMF5BH8gkN0/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2021.03.59.jpeg" /></a></span>Ahmad Michuzihttp://www.blogger.com/profile/03608058217608553857noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-33387786561727445602024-03-18T19:34:00.000+03:002024-03-18T19:34:21.158+03:00Mashine za Kilimo: Zilizotengenezwa Italia na Zinalenga Kukuza Sekta ya Kilimo Tanzania<p> <img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgE97EGJjdMuqiaQE85x_OsDWcVsc-4LUt6tXphrCm4-oPJzsNaYaMZL7HTCkBLEHmg6oKfXWvG5z1poL6u-JjiO8wK-OD6GWmDIEpssv7NJhQ_yZjfGuw5aRRsLl7qildHTgQ-HZeeiIjnxhqiUlC3LP5XGuus5Z0aTtSaeEYKrF4CxgfxnRQkNHgbt6Q/w640-h428/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%207.03.50%20PM.jpeg" style="font-family: verdana; text-align: justify;" /></p><span style="font-family: verdana;"><div style="text-align: justify;">Balozi wa Italia nchini Tanzania, Marco Lombardi, (Katikati) akizungumza na wafanyabiashara na wadau wa kilimo wakati wa mkutano ulioandaliwa na Italian Trade Agency kwa kushirikiana na FederUnacoma ambacho ni Chama cha kilimo kutoka Italia mkutano huo umefanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Mkutano huu amefanyika Machi 18, ukilenga kutoa elimu na ufafanuzi wa mashine za kilimo kutoka nchini Italia kwa wakulima, wasafirishaji, na wataalamu kutoka Tanzania juu ya umuhimu wa teknolojia za kisasa kwenye sekta ya kilimo ulioandaliwa na Italian Trade Agency kushirikiana na FederUnacoma ambacho ni Chama cha kilimo kutoka Italia. Pia Marchi 19 kampuni hizo zitatembelea biashara za ndani ya Tanzania.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Mbali na mkutano huo Kuanzia Aprili 2024, Italian Trade Agency wataanza mchakato wa kuchagua makampuni yatakayolipiwa safari ya kwenda Italia kwa lengo la kujifunza na kuona fursa za kibiashara zinazopatikana nchini humo.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Kampuni za mashine za kilimo kutoka Italia ambazo ni Masscar, Barbieri na Ocmis Irrigazione wamekuja kueleza na kutoa elimu kwa Wakulima na watumiaji wa teknolojia ya mashine za kilimo nchini Tanzania ikiwa ni pamoja na wakionesha dhamira ya kampuni za Italia katika kusaidia ukuaji wa sekta ya kilimo nchini Tanzania.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Washiriki muhimu walikuwa ni pamoja na Balozi wa Italia Marco Lombardi, Fabio Ricci wa FederUnacoma na Riccardo Zucconi, Mkurugenzi wa Italian Trade Agency wa Addis Ababa na wazinduzi wa mkutano wa 46 EIMA.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Pia fursa nyingine muhimu ilikuwa ni kuunganisha wafanyabiashara kwa kuongeza ushirikiano baina yao na ushiriki wa moja kwa moja kati ya makampuni ya Italia na wafanyabiashara wa Tanzania.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Fabio Ricci, Naibu Mkurugenzi wa FederUnacoma, alisisitiza jukumu kubwa kwao na Italia ni kukidhi mahitaji ya teknolojia ya kilimo ya Tanzania. Alisisitiza ongezeko kubwa la uagizaji kutoka Italia lilianza mwaka 2022, akithibitisha kuwa ongezeko la soko na ushawishi unakua kwenye kilimo cha mashine nchini Tanzania.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Maonesho ya kimataifa ya kilimo yamepangwa kufanyika kuanzia Novemba 6 hadi 10 huko Bologna, ikiwa imeandaliwa na FederUnacoma ambapo mkutano huu unatoa jukwaa muhimu kwa ushirikiano kati ya Italia na Tanzania.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Kwa zaidi ya mashine za aina tofauti tofauti 50,000 ikiwa ni mashine na vifaa vya kuonyesha, mkutano huo unatoa suluhisho kwa shughuli mbalimbali za kilimo, ikiwa ni pamoja na kupanda, ulinzi wa mimea, na mavuno.(Components, Digital,Energy,Green,Idrotech)</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Kwa umuhimu maalum ni onyesho la Idrotech, linaloonesha teknolojia za umwagiliaji zenye ubunifu muhimu kwa kuboresha uzalishaji na ustahimilivu wa mazao. Mkutano huo unalenga kuimarisha uchumi wa kilimo nchini Tanzania kwa kukuza maendeleo ya biashara za ndani na kukuza ushirikiano wa kimataifa.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Riccardo Zucconi, Mkurugenzi wa Italian Trade Agency kutoka Addis Ababa na muwakilishi wa Tanzania, amegusia umuhimu wa ushirikiano kati ya Wakala na FederUnacoma.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Wakala ambae amefanya mapinduzi makubwa kutokana na ushirikiano wa kampuni za Italia alisisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya Italian Trade Agency na FederUnacoma katika kuhamasisha kilimo cha mashine Italia kimataifa. Alisisitiza mafanikio ya toleo la zamani la EIMA International na kurudia dhamira ya mashirika hayo katika kufanikisha ushirikiano wa kimataifa.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Tukio hili la kimataifa la EIMA Iinalenga ubunifu na ustahimilivu unalingana na kutatua changamoto za kilimo duniani, na kufanya iwe mahali muhimu kwa wadau wa sekta ya kilimo.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Mkutano huo uliofanyika Serena Hotel Dar es Salaam unawakilisha hatua muhimu kuelekea kuimarisha ushirikiano kati ya Italia na Tanzania, na hivyo kufungua njia kwa ushirikiano unaofaidika pande zote katika sekta ya mashine za kilimo.</div></span>MICHUZI BLOGhttp://www.blogger.com/profile/04130017808001951362noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-3777617197027441632024-03-18T19:32:00.001+03:002024-03-18T19:32:05.906+03:00 ‘’HATUJARIDHIKA NA UREJESHEJA FEDHA ZA MIKOPO YA KKK’’<span style="font-family: verdana; font-size: small;">Na Munir Shemweta, CHALINZE<br /><br />Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii imesema kuwa, haijaridhishwa na urejeshaji mikopo ya fedha za mradi wa kupanga, kupima na kumilikisha ardhi (KKK) unaofanyika kwenye halmashauri mbalimbali nchini.<br /><br />Hayo yamebainishwa leo tarehe 18 Machi 2024 na Kamati hiyo wakati ilipotembelea na kukagua utekelezaji mradi wa Kupanga, Kupima na Kumilikisha Ardhi (KKK) katika eneo la Msolwa katika halmashauri ya wilaya ya Chalinze mkoa wa Pwani.<br /><br />Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii Mhe, Timotheo Mzava ameeleza kuwa, mbali na Kamati yake kuridhishwa na mradi wa KKK kwa ujumla lakini hawajaridhishwa na namna mikopo hiyo inavyorejeshwa na halmashauri.<br /><br />Akitolea mfano wa Halmashauri ya Chalinze katika mkoa wa Pwani, Mhe, Mzava amesema pamoja na halmashauri hiyo kukopeshwa kiasi cha shilingi Bilioni 2.5 kwa ajili ya mradi wa KKK lakini imeshindwa kurejesha fedha kwa wakati.<br /><br /> ‘’Kama Kamati bado hatujaridhishwa kabisa namna ya kasi ya urejeshaji fedha hizi na wito na msisitizo wetu zifanyike kila aina ya jitihada kuhakikisha fedha zinarudi ili zikasaidie maeneo mengine yenye uhitaji ili dhamira ya Rais ya kutoa fedha hizo iweze kufikiwa’’ alisema Mzava<br /><br />Kwa mujibu wa Mhe, Mzava, hadi Machi 2024 kwa ujumla wizara imepokea marejesho ya shilingi bilioni 22.7 kati ya shilingi bilioni 50 sawa na asilimia 45 kutoka kwenye halmashauri na taasisi mbalimbali zilizonufaika na mkopo huo.<br /><br />Amesema, fedha zinazotolewea kama mkopo usio na riba kwa halmashauri zikirejeshwa zitasaidia kukopesha halmashauri nyingine na hivyo kuisaidia kutatua changamoto za sekta ya ardhi nchini na kuboresha katika maeneo mengine.<br /><br />Hata hivyo, ametaka kufanyika jitihada mbalimbali ili kusaidia katika urejeshaji mikopo hiyo na kuweza kuzisaidia halmashauri nyingine ili ziweze kuondoa changamoto za sekta ya ardhi nchini.<br /><br />Kwa upande wake Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe, Geophrey Pinda amebainisha kuwa, mpaka sasa halmashaurii zilizorejesha kiasi chote cha fedha ya mkopo ni 12 huku zile zilizorejesha sehemu ya fedha zikiwa ni 43.<br /><br />Mhe, Pinda amesema, Programu ya Kupanga, Kupima na Kumilikisha Ardhi (KKK) ni program ya miaka kumi inayotekelezwa na wizara yake kwa kushirikiana na halmashauri mbalimbali nchini.<br /><br />Ameongeza kuwa, utekelezaji wa Programu hiyo ulianza mwaka 2018/2019 na unatarajiwa kukamilika 2028/2029. Lengo la Programu ya KKK ni Kupanga miji na kuhakikisha makazi holela yanaondolewa kwenye maeneo mbalimbali nchini.<br /><br />Programu hiyo inatekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na Halmashauri ambazo ni mamlaka za upangaji na sekta binafsi ambapo program hiyo inagharimiewa na serikali kupitia fedha za ndani za bajeti ya maendeleo.<br /><br />Serikali ilitoa mtaji wa shilingi Bilioni 50 kwa ajili ya utekelezaji wa program ya KKK kwa utaratibu wa kuzikopesha halmashauri na taasisi ambapo wizara kwa kushirikiana na wizara ya fedha na Ofisi ya Rais TAMISEMI ziliweka utaratibu kwa kuweka vigezo vya kutoa mkopo huo bila riba kwa ajili ya utekelezaji wa program.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgCHF2qQTDxXiijRMIGftfYPBZ5RjI0i76csPBynhTp2UotAk_H4M7FMZlVZmO4BBvke2V_vSQ34Snry5pJsXOb7GeVtTRlrKv3ODVGIFOMgG8TvOHBAyPc1FpzLdlY73rmnpBFiJiweNL2Xi6rvF3rcNKQwz2gWCsInjb8x4-git61S2x0m6vAaHPpY20/s998/1.JPG"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgCHF2qQTDxXiijRMIGftfYPBZ5RjI0i76csPBynhTp2UotAk_H4M7FMZlVZmO4BBvke2V_vSQ34Snry5pJsXOb7GeVtTRlrKv3ODVGIFOMgG8TvOHBAyPc1FpzLdlY73rmnpBFiJiweNL2Xi6rvF3rcNKQwz2gWCsInjb8x4-git61S2x0m6vAaHPpY20/s600/1.JPG" /></a></span><div><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: verdana; font-size: small; text-align: justify;">Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii Mhe, Timotheo Mzava akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Nickson Simon mara baada ya Kamati yake kuwasili mkoa wa Pwani kukagua utekelezaji Mradi wa Kupanga, Kupima na Kumilikisha Ardhi katika halmashauri ya Chalinze mkoa wa Pwani tarehe 18 Machi 2024. Katikati ni Naibu Waziri wa Ardhi Mhe, Geophrey Pinda.</span><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj6fLpyDaVKdlW3sLPBudy9FVIdnOI7PFv5mWjGekMn8uh7kuiMLutBWKNp2_GSHxDQuwnS6hN0iOTP9uZDw9QsgGUiorY7IE8iEpe952lhggiUxUoM3OuKX_pSDdYOIpnW5fg8R60Sjmo359YiAST1jA8rO0wbZXLoP18YC1TxKKp7fZLFPKkmpnWVIrA/s1024/2.JPG"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj6fLpyDaVKdlW3sLPBudy9FVIdnOI7PFv5mWjGekMn8uh7kuiMLutBWKNp2_GSHxDQuwnS6hN0iOTP9uZDw9QsgGUiorY7IE8iEpe952lhggiUxUoM3OuKX_pSDdYOIpnW5fg8R60Sjmo359YiAST1jA8rO0wbZXLoP18YC1TxKKp7fZLFPKkmpnWVIrA/s600/2.JPG" /></a></span><div><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: verdana; font-size: small; text-align: justify;">Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe, Geophrey Pinda akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Chalinze na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe, Ridhiwani Kikwete wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii katika halmashauri ya wilaya ya Chalinze Machi 18, 2024.</span><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhNZHJiENZEbi5miVgPDsmktY7DFWQXumQDhAiTDVeYeFOgSvwc3fFGVALruG0XkcGupKAkZSN_q4umBH3kUfTMm4ko_KHhV11sZmBzw1ahvQ0dqTgbVLHzI1B0kD0cvinoOc1523y6G07NPDENt1LWr_RTbaZtXiPjAq7FCBT-K6JVc8Gi_uiLqCCVSnc/s1024/3.JPG"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhNZHJiENZEbi5miVgPDsmktY7DFWQXumQDhAiTDVeYeFOgSvwc3fFGVALruG0XkcGupKAkZSN_q4umBH3kUfTMm4ko_KHhV11sZmBzw1ahvQ0dqTgbVLHzI1B0kD0cvinoOc1523y6G07NPDENt1LWr_RTbaZtXiPjAq7FCBT-K6JVc8Gi_uiLqCCVSnc/s600/3.JPG" /></a></span><div><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: verdana; font-size: small; text-align: justify;">Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Ardhi Maliasili na Utalii Mhe, Timotheo Mzava na Naibu Waziri wa Ardhi Mhe, Geophrey Pinda wakimsikiliza Afisa Ardhi wa Halmashauri ya wilaya ya Chalinze Deo Msilu (wa pili kulia) kuhusu mradi wa Kupanga, Kupima na Kumilikisha Ardhi unaotekelezwa katika eneo la Msolwa Halmashauri ya Chalinze Machi 18, 2024.</span><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhTrFPZzddmSqcZUBJ2gm8nLHDlnwnLBaeub7CwuiVxeCJ1f-tRIWz2vCxPLxG-lvxacW4CQeyn-GyFVOoM8H6UmV-JrdtJnnh-dBSePJUn2CbAXmHOYtO_FZPvTyLdBh3R0O-fIOYwdfMEH9IvhFkamXCiL_QBu4syYguUyJF6PH4A8B3ZLLph0P53Q4Y/s1024/4.JPG"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhTrFPZzddmSqcZUBJ2gm8nLHDlnwnLBaeub7CwuiVxeCJ1f-tRIWz2vCxPLxG-lvxacW4CQeyn-GyFVOoM8H6UmV-JrdtJnnh-dBSePJUn2CbAXmHOYtO_FZPvTyLdBh3R0O-fIOYwdfMEH9IvhFkamXCiL_QBu4syYguUyJF6PH4A8B3ZLLph0P53Q4Y/s600/4.JPG" /></a></span><div><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: verdana; font-size: small; text-align: justify;">Afisa Ardhi wa Halmashauri ya wilaya ya Chalinze Deo Msilu akisisitiza jambo mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii ilipokwenda kukagua mradi wa Kupanga, Kupima na Kumilikisha Ardhi katika eneo la Msolwa Chalinze Machi 18, 2024.</span><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiGF7wNNJ6s6nhNP8jnvYD4noWHFoTviSe2SuDRHOWzZ1NheQ7CyajcrUDfbQhuyHHHe2Mc6BjgrV5OK8WpDDCEyS3pYZ3pRAIaa1hMc-5cPlz_r6c_7czZYYbybQ2jBeUTTG-IAfOg1rMcqn18j0bj8HcaYDmOqGn1l1VRAWKDEaUEyDCUksfXTPZ9OXs/s1024/5.JPG"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiGF7wNNJ6s6nhNP8jnvYD4noWHFoTviSe2SuDRHOWzZ1NheQ7CyajcrUDfbQhuyHHHe2Mc6BjgrV5OK8WpDDCEyS3pYZ3pRAIaa1hMc-5cPlz_r6c_7czZYYbybQ2jBeUTTG-IAfOg1rMcqn18j0bj8HcaYDmOqGn1l1VRAWKDEaUEyDCUksfXTPZ9OXs/s600/5.JPG" /></a></span><div><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: verdana; font-size: small; text-align: justify;">Afisa Ardhi wa Halmashauri ya wilaya ya Chalinze Deo Msilu (Kulia) akielezea matumizi ya kifaa cha upimaji mbele ya wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii ilipokwenda kukagua mradi wa Kupanga, Kupima na Kumilikisha Ardhi katika eneo la Msolwa Chalinze Machi 18, 2024.</span><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhbY60YOSEfZhKV6OnovHdR4RxxmVRKIVXUaNhhtURAonB1B8ulvWN-pXk96IgZR3kcVDwJCLvWYwM2mcCyn9ZzvOBRqwj9Zj4A-Rt7aWYumJuUdpXobkVVWtfe8adkglq4xAn8bk7Z9Q542YphuWgjLN_oWiA712iuEK38Q5krtAWXDtSLfh0yQ3AIGuk/s1024/6.JPG"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhbY60YOSEfZhKV6OnovHdR4RxxmVRKIVXUaNhhtURAonB1B8ulvWN-pXk96IgZR3kcVDwJCLvWYwM2mcCyn9ZzvOBRqwj9Zj4A-Rt7aWYumJuUdpXobkVVWtfe8adkglq4xAn8bk7Z9Q542YphuWgjLN_oWiA712iuEK38Q5krtAWXDtSLfh0yQ3AIGuk/s600/6.JPG" /></a></span><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Mbunge wa jimbo la Chalinze na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe, Ridhiwani Kikwete akimkabidhi Hati Milki ya Ardhi mmoja wa wananchi wa Chalinze wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii ilipokwenda kukagua mradi wa Kupanga, Kupima na Kumilikisha Ardhi eneo la Chalinze machi 18, 2024. (PICHA ZOTE NA WIZARA YA ARDHI)</span></div></div></div></div></div></div></div>Ahmad Michuzihttp://www.blogger.com/profile/03608058217608553857noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-66513561370843826082024-03-18T19:29:00.003+03:002024-03-18T21:26:44.178+03:00TAWA YATOA KONGOLE KWA RAIS DKT. SAMIA KATIKA UTATUZI WA MIGOGORO<div style="text-align: justify;"><div class="separator" style="clear: both; text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAuhzMSnlWZUV5ZyaJ-do-dJ2weje74tzuqGdQpdB3QrDgm023klkE6Y2cfYaeKqGCnvdsvDXAkRuqi91gKYF0h7n6jPJoIu3s6-TTksbY4REJST39GyPzSSAjjJfmp8bF992HbJCPlVaQi9799YASX-MWyv4HjBWPtFSIyfw1ZtvFlLciupDXJOf_POI/s575/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%206.30.38%20PM.jpeg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><span style="font-family: verdana;"><img border="0" data-original-height="426" data-original-width="575" height="474" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAuhzMSnlWZUV5ZyaJ-do-dJ2weje74tzuqGdQpdB3QrDgm023klkE6Y2cfYaeKqGCnvdsvDXAkRuqi91gKYF0h7n6jPJoIu3s6-TTksbY4REJST39GyPzSSAjjJfmp8bF992HbJCPlVaQi9799YASX-MWyv4HjBWPtFSIyfw1ZtvFlLciupDXJOf_POI/w640-h474/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%206.30.38%20PM.jpeg" width="640" /></span></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Kamishina wa Mamlaka ya Usimamizi a Wanyamapori Tanzania (TAWA), Mabula Misungwi Nyanda, akizungumza Mafanikio ya TAWA katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Mheshimwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kikao kazi na Wahariri wa vyombo vya Habari kilichofanyika chini ya uratibu wa Ofisi ya Msajili wa Hazina, Jijini Dar es Salaam.</span></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiBqjB1O2uw2DH_V-pwq4TiJj9X95IKSUQEc3svQeqgafivOe2xrW3pOWlI7CvzTwTupABlLlibESa_12_pBLLRjvD1cEHJtM5Ilnxy-T_Gr8ZXcCML77rLXkQLyXFIaAp3IiJoSh6pxHkIlFk5phTTnO_B_5GEI7X3b3MARSk6GAAh_Awk2w4MH-gnRoA/s662/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%206.35.17%20PM.jpeg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><span style="font-family: verdana;"><img border="0" data-original-height="460" data-original-width="662" height="444" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiBqjB1O2uw2DH_V-pwq4TiJj9X95IKSUQEc3svQeqgafivOe2xrW3pOWlI7CvzTwTupABlLlibESa_12_pBLLRjvD1cEHJtM5Ilnxy-T_Gr8ZXcCML77rLXkQLyXFIaAp3IiJoSh6pxHkIlFk5phTTnO_B_5GEI7X3b3MARSk6GAAh_Awk2w4MH-gnRoA/w640-h444/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%206.35.17%20PM.jpeg" width="640" /></span></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Afisa Habari Mwandamizi wa Ofisi ya Msajili wa Hazina Sabatho Kosuri, akizungumza kuhusiana na vikao kazi kati ya Taasisi zilizochini ya Msajili wa Hazina ,jijini Dar es Salaam.</span></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEilSV_M4Td382PSKjtZQRCUtcKC-Pyeq3wK2uoEAaZAAoQ2llyMJGUHRRNPBTf88wb5KqmKMaxJkJEALMS6v7Ibd9lfp_OejGi_MAH7eUbvCw3FiRjUHDjd1Wmw18MeZ-dpQfysCwzyouuEGOke0ULdY0QNGjozbZWAb56OfYkPAM8u9VyklZsDXEPf44Y/s649/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%206.33.11%20PM.jpeg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><span style="font-family: verdana;"><img border="0" data-original-height="428" data-original-width="649" height="422" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEilSV_M4Td382PSKjtZQRCUtcKC-Pyeq3wK2uoEAaZAAoQ2llyMJGUHRRNPBTf88wb5KqmKMaxJkJEALMS6v7Ibd9lfp_OejGi_MAH7eUbvCw3FiRjUHDjd1Wmw18MeZ-dpQfysCwzyouuEGOke0ULdY0QNGjozbZWAb56OfYkPAM8u9VyklZsDXEPf44Y/w640-h422/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%206.33.11%20PM.jpeg" width="640" /></span></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Kaimu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania TEF, na Mjumbe wa Kamati Tendaji ya Jukwaa hilo, Neville Meena, akitoa neno la shukrani kwa niaba ya Mwenyekiti wa Jukwaa hilo</span></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: justify;"><br /></div><span style="font-family: verdana;"><br /></span><div class="separator" style="clear: both; text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgcb7ug8ov0KZewrhr3Mdk-NsMKPUxziIqXXhyphenhyphen4c-qlpnoDtGG9iebGxnr7wfue-QT1JtTovQBmuW93taT9TI_9FQEAjxWwtguhlRT00QGWeGiV55zTPbszOi6PxhH8__dn0ErcAkRA0JbfTLM4AXL7mkrtrG_7h_Po__CDkUs-hQKKT1DEwjYj1zhq9pQ/s719/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%206.35.54%20PM.jpeg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><span style="font-family: verdana;"><img border="0" data-original-height="469" data-original-width="719" height="418" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgcb7ug8ov0KZewrhr3Mdk-NsMKPUxziIqXXhyphenhyphen4c-qlpnoDtGG9iebGxnr7wfue-QT1JtTovQBmuW93taT9TI_9FQEAjxWwtguhlRT00QGWeGiV55zTPbszOi6PxhH8__dn0ErcAkRA0JbfTLM4AXL7mkrtrG_7h_Po__CDkUs-hQKKT1DEwjYj1zhq9pQ/w640-h418/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%206.35.54%20PM.jpeg" width="640" /></span></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Baadhi ya washiriki katika mkutano wa Mfuko wa Self na wahariri na waandishi wa habari ,jijini Dar es Salaam.</span></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"><br /></span></div></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">*Ni mafanikio ya Utawala wa Se</span><img border="0" data-original-height="426" data-original-width="575" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAuhzMSnlWZUV5ZyaJ-do-dJ2weje74tzuqGdQpdB3QrDgm023klkE6Y2cfYaeKqGCnvdsvDXAkRuqi91gKYF0h7n6jPJoIu3s6-TTksbY4REJST39GyPzSSAjjJfmp8bF992HbJCPlVaQi9799YASX-MWyv4HjBWPtFSIyfw1ZtvFlLciupDXJOf_POI/s16000/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%206.30.38%20PM.jpeg" style="font-family: verdana;" /></div><div style="text-align: justify;"><div class="separator" style="clear: both;"><span style="font-family: verdana;">Kamishina wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), Mabula Misungwi Nyanda, akizungumza Mafanikio ya TAWA katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Mheshimwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kikao kazi na Wahariri wa vyombo vya Habari kilichofanyika chini ya uratibu wa Ofisi ya Msajili wa Hazina, Jijini Dar es Salaam.</span></div><div class="separator" style="clear: both;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiBqjB1O2uw2DH_V-pwq4TiJj9X95IKSUQEc3svQeqgafivOe2xrW3pOWlI7CvzTwTupABlLlibESa_12_pBLLRjvD1cEHJtM5Ilnxy-T_Gr8ZXcCML77rLXkQLyXFIaAp3IiJoSh6pxHkIlFk5phTTnO_B_5GEI7X3b3MARSk6GAAh_Awk2w4MH-gnRoA/s662/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%206.35.17%20PM.jpeg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><span style="font-family: verdana;"><img border="0" data-original-height="460" data-original-width="662" height="444" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiBqjB1O2uw2DH_V-pwq4TiJj9X95IKSUQEc3svQeqgafivOe2xrW3pOWlI7CvzTwTupABlLlibESa_12_pBLLRjvD1cEHJtM5Ilnxy-T_Gr8ZXcCML77rLXkQLyXFIaAp3IiJoSh6pxHkIlFk5phTTnO_B_5GEI7X3b3MARSk6GAAh_Awk2w4MH-gnRoA/w640-h444/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%206.35.17%20PM.jpeg" width="640" /></span></a></div><div class="separator" style="clear: both;"><span style="font-family: verdana;">Afisa Habari Mwandamizi wa Ofisi ya Msajili wa Hazina Sabatho Kosuri, akizungumza kuhusiana na vikao kazi kati ya Taasisi zilizochini ya Msajili wa Hazina ,jijini Dar es Salaam.</span></div><div class="separator" style="clear: both;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEilSV_M4Td382PSKjtZQRCUtcKC-Pyeq3wK2uoEAaZAAoQ2llyMJGUHRRNPBTf88wb5KqmKMaxJkJEALMS6v7Ibd9lfp_OejGi_MAH7eUbvCw3FiRjUHDjd1Wmw18MeZ-dpQfysCwzyouuEGOke0ULdY0QNGjozbZWAb56OfYkPAM8u9VyklZsDXEPf44Y/s649/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%206.33.11%20PM.jpeg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><span style="font-family: verdana;"><img border="0" data-original-height="428" data-original-width="649" height="422" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEilSV_M4Td382PSKjtZQRCUtcKC-Pyeq3wK2uoEAaZAAoQ2llyMJGUHRRNPBTf88wb5KqmKMaxJkJEALMS6v7Ibd9lfp_OejGi_MAH7eUbvCw3FiRjUHDjd1Wmw18MeZ-dpQfysCwzyouuEGOke0ULdY0QNGjozbZWAb56OfYkPAM8u9VyklZsDXEPf44Y/w640-h422/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%206.33.11%20PM.jpeg" width="640" /></span></a></div><div class="separator" style="clear: both;"><span style="font-family: verdana;">Kaimu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania TEF, na Mjumbe wa Kamati Tendaji ya Jukwaa hilo, Neville Meena, akitoa neno la shukrani kwa niaba ya Mwenyekiti wa Jukwaa hilo</span></div><div class="separator" style="clear: both;"><br /></div><span style="font-family: verdana;"><br /></span><div class="separator" style="clear: both;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgcb7ug8ov0KZewrhr3Mdk-NsMKPUxziIqXXhyphenhyphen4c-qlpnoDtGG9iebGxnr7wfue-QT1JtTovQBmuW93taT9TI_9FQEAjxWwtguhlRT00QGWeGiV55zTPbszOi6PxhH8__dn0ErcAkRA0JbfTLM4AXL7mkrtrG_7h_Po__CDkUs-hQKKT1DEwjYj1zhq9pQ/s719/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%206.35.54%20PM.jpeg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><span style="font-family: verdana;"><img border="0" data-original-height="469" data-original-width="719" height="418" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgcb7ug8ov0KZewrhr3Mdk-NsMKPUxziIqXXhyphenhyphen4c-qlpnoDtGG9iebGxnr7wfue-QT1JtTovQBmuW93taT9TI_9FQEAjxWwtguhlRT00QGWeGiV55zTPbszOi6PxhH8__dn0ErcAkRA0JbfTLM4AXL7mkrtrG_7h_Po__CDkUs-hQKKT1DEwjYj1zhq9pQ/w640-h418/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%206.35.54%20PM.jpeg" width="640" /></span></a></div><div class="separator" style="clear: both;"><span style="font-family: verdana;">Baadhi ya washiriki katika mkutano wa TAWA na wahariri na waandishi wa habari ,jijini Dar es Salaam.</span></div><div class="separator" style="clear: both;"><span style="font-family: verdana;"><br /></span></div></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">*Ni mafanikio ya Utawala wa Serikali ya Awamu ya Sita ndani ya miaka mitatu</span></div><span style="font-family: verdana;"><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Na Chalila Kibuda,Michuzi Tv</div><div style="text-align: justify;">MAMLAKA Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (TAWA) imesema kuwa katika kipindi cha miaka mitatu ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan migogoro saba imetatuliwa na kubaki mmoja ambao uko hatua za niwsho.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Migogoro iliyokuwepo ilikuwa ni kikwazo kwa mamlaka kutekeleza majukumu yake huku wananchi wakishindwa kuelewa mipaka ya hifadhi.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Hayo ameyasema Kamishna wa Uhifadhi wa TAWA Mabula Misungwi Nyanda wakati akizungumza na Wahariri na Waandishi wa Habari juu ya mafanikio ya Miaka Mitatu Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan chini ya uratibu wa Ofisi ya Msajili wa Hazina, Jijini Dar es Salaam.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Amesema katika migogoro katika TAWA ilikuwa inanyima usingizi lakini kutokana msukumo wa Rais umewezesha kutatua na kupunguza migogoro ya mipaka ya ardhi kati ya Hifadhi na wananchi.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div></span><div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Amesema TAWA imeendelea kutekeleza maelekezo ya Serikali yaliyotolewa kupitia Kamati ya Mawaziri nane wa Wizara za Kisekta waliozunguka katika maeneo yenye migogoro.</span></div><span style="font-family: verdana;"><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Amesema kuwa kwa ushirikiano huo migogoro ya mipaka katika Mapori ya Akiba saba (7) ya Swagaswaga, Mkungunero, Wamimbiki, Igombe, Liparamba, Mpanga Kipengere na Selous kati ya nane (8) yaliyotolewa maelekezo na Kamati ya Mawaziri Nane wa kisekta imemalizika ambapo jumla ya vigingi 1,681 vimesimikwa kuzunguka mipaka ya hifadhi .</div><div style="text-align: justify;"><br /></div></span></div><div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Aidha, amesema kuwa katika utatuzi wa migogoro hiyo eneo lenye ekari 103,544.48 limemegwa kutoka kwenye hifadhi na kuwapatia wananchi kwa ajili ya shughuli za kiuchumi, na kwamba Serikali kupitia TAWA inaendelea kukamilisha zoezi la kulipa fidia kaya 145 zilizo katika Pori la Akiba Mkungunero.</span></div><span style="font-family: verdana;"><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Kamishina Nyanda amesema kuwa Mamlaka hiyo imekuwa na mipango ya muda marefu katika ya matumizi ya ardhi katika kutatua migogoro hiyo.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">"Tumejipanga na tuna kazi kubwa ya kufanya maeneo hayo ili kuokoa maisha ya watu wasidhurike na wanyama wakali na waharibifu” ameongeza.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Kamishna Nyanda amesema TAWa imejiwekea mipango mikakati imkatika utatuzi wa migogoro hiyo, ambapo eneo la ekari 103,544.48 limetengwa kutoka kwenye hifadhi, na kuwapatia wananchi kwaajili ya shughuli za kiuchumi.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div></span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Kwa upande wake Kaimu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania TEF, na Mjumbe wa Kamati Tendaji ya Jukwaa hilo, Neville Meena, amesema kutaniko hilo limekuwa na manufaa kwa Wahariri na waandishi kujifunza na kazi mbalimbali za Mamlaka hiyo, huku akiwashauri waandishi kuendelea kujifunza kwa kusoma taarifa mbalimbali za Mamlaka hiyo ili kuwa na wigo mpana wa kuifahamu Taasisi hiyo.</span><span style="font-family: verdana;">rikali ya Awamu ya Sita ndani ya miaka mitatu</span></div><span style="font-family: verdana;"><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Na Chalila Kibuda,Michuzi Tv</div><div style="text-align: justify;">MAMLAKA Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (TAWA) imesema kuwa katika kipindi cha miaka mitatu ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan migogoro saba imetatuliwa na kubaki mmoja ambao uko hatua za niwsho.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Migogoro iliyokuwepo ilikuwa ni kikwazo kwa mamlaka kutekeleza majukumu yake huku wananchi wakishindwa kuelewa mipaka ya hifadhi.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Hayo ameyasema Kamishna wa Uhifadhi wa TAWA Mabula Misungwi Nyanda wakati akizungumza na Wahariri na Waandishi wa Habari juu ya mafanikio ya Miaka Mitatu Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan chini ya uratibu wa Ofisi ya Msajili wa Hazina, Jijini Dar es Salaam.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Amesema katika migogoro katika TAWA ilikuwa inanyima usingizi lakini kutokana msukumo wa Rais umewezesha kutatua na kupunguza migogoro ya mipaka ya ardhi kati ya Hifadhi na wananchi.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div></span><div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Amesema TAWA imeendelea kutekeleza maelekezo ya Serikali yaliyotolewa kupitia Kamati ya Mawaziri nane wa Wizara za Kisekta waliozunguka katika maeneo yenye migogoro.</span></div><span style="font-family: verdana;"><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Amesema kuwa kwa ushirikiano huo migogoro ya mipaka katika Mapori ya Akiba saba (7) ya Swagaswaga, Mkungunero, Wamimbiki, Igombe, Liparamba, Mpanga Kipengere na Selous kati ya nane (8) yaliyotolewa maelekezo na Kamati ya Mawaziri Nane wa kisekta imemalizika ambapo jumla ya vigingi 1,681 vimesimikwa kuzunguka mipaka ya hifadhi .</div><div style="text-align: justify;"><br /></div></span></div><div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Aidha, amesema kuwa katika utatuzi wa migogoro hiyo eneo lenye ekari 103,544.48 limemegwa kutoka kwenye hifadhi na kuwapatia wananchi kwa ajili ya shughuli za kiuchumi, na kwamba Serikali kupitia TAWA inaendelea kukamilisha zoezi la kulipa fidia kaya 145 zilizo katika Pori la Akiba Mkungunero.</span></div><span style="font-family: verdana;"><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Kamishina Nyanda amesema kuwa Mamlaka hiyo imekuwa na mipango ya muda marefu katika ya matumizi ya ardhi katika kutatua migogoro hiyo.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">"Tumejipanga na tuna kazi kubwa ya kufanya maeneo hayo ili kuokoa maisha ya watu wasidhurike na wanyama wakali na waharibifu” ameongeza.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Kamishna Nyanda amesema TAWa imejiwekea mipango mikakati imkatika utatuzi wa migogoro hiyo, ambapo eneo la ekari 103,544.48 limetengwa kutoka kwenye hifadhi, na kuwapatia wananchi kwaajili ya shughuli za kiuchumi.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Kwa upande wake Kaimu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania TEF, na Mjumbe wa Kamati Tendaji ya Jukwaa hilo, Neville Meena, amesema kutaniko hilo limekuwa na manufaa kwa Wahariri na waandishi kujifunza na kazi mbalimbali za Mamlaka hiyo, huku akiwashauri waandishi kuendelea kujifunza kwa kusoma taarifa mbalimbali za Mamlaka hiyo ili kuwa na wigo mpana wa kuifahamu Taasisi hiyo.</div></span></div>MICHUZI BLOGhttp://www.blogger.com/profile/04130017808001951362noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-17218792457838650682024-03-18T19:21:00.003+03:002024-03-18T19:21:13.344+03:00DKT. NCHIMBI ASHIRIKI MKUTANO WA 11 WA MAKATIBU WAKUU WA VYAMA RAFIKI VYA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA ( FLMS)<span style="font-family: verdana; font-size: small;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgwj31vLwHk0Gk6WMeblpfM1oeN-idMcf7wLozJf6nvipwa0L7KR3emWYoLLvdkcjB1Q5Evpu43046MNARzTPuIuxc_G54svOO3Ar159aUGa1Yd30dA0yJpXkut3gicdzL8aUY5k5zJCU9bERJyATyXaFXbVAQ7cicskTvP1aFDJSevKKETKH4OEH5E5Fo/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.13.12%20%281%29.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgwj31vLwHk0Gk6WMeblpfM1oeN-idMcf7wLozJf6nvipwa0L7KR3emWYoLLvdkcjB1Q5Evpu43046MNARzTPuIuxc_G54svOO3Ar159aUGa1Yd30dA0yJpXkut3gicdzL8aUY5k5zJCU9bERJyATyXaFXbVAQ7cicskTvP1aFDJSevKKETKH4OEH5E5Fo/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.13.12%20%281%29.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjDmfesvXLSq7DPxlKr4RiqBHHrAK8-jrsIBmnrX0qbH87Igut0ySCvifbhlfrxWLdxLbVuDCgpQF6zmE8uQVH6KqzI80Tudsxkcl7DKALpIaCina-OjH6uw3zjAbXCwXSb83LenicwCmokZj_QNu-_dk8Z4y0_Oy_aS1trT6YUFTvxLiotInqshg3U3hk/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.13.12.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjDmfesvXLSq7DPxlKr4RiqBHHrAK8-jrsIBmnrX0qbH87Igut0ySCvifbhlfrxWLdxLbVuDCgpQF6zmE8uQVH6KqzI80Tudsxkcl7DKALpIaCina-OjH6uw3zjAbXCwXSb83LenicwCmokZj_QNu-_dk8Z4y0_Oy_aS1trT6YUFTvxLiotInqshg3U3hk/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.13.12.jpeg" /></a></span><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi akizungumza wakati wa kutoa salaam za CCM za mshikamano kwenye Mkutano wa 11 wa Makatibu Wakuu wa Vyama Rafiki vya Ukombozi Kusini mwa Afrika (FLMS), leo Jumatatu, Machi 18, 2024. Mkutano huo unaofanyika katika Mji wa Victoria Falls, nchini Zimbabwe, umewakutanisha Makatibu Wakuu wengine wa vyama hivyo rafiki, ambao ni pamoja na Katibu Mkuu wa Chama cha SWAPO (Namibia) Komredi Sophia Shaningwa, Katibu Mkuu wa Chama cha ANC (Afrika Kusini), Komredi Fikile Mbalula, Komredi Roque Silva Samuel (FRELIMO - Msumbiji), Komredi Paulo Pombolo (MPLA - Angola), Komredi Kavis Kario (BDP – Botswana) na Komredi Albert Mpofu (ZANU – PF - Zimbabwe), ambaye ni mwenyeji na mwenyekiti wa mkutano huo.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj26p_Nw4jhlGZiCB0ABZIo14FY_u72OhI-wybtesCJKDow1vOPjeN3MNmK9HX8reI30wTm59xLf-QWfjnPEbrsJaY-fFylSyLyCNg3c6_xYjqakzYWMhbaCZvz_mYf4brQ1_TXWms3ceoflCdOyNeg755lu512GsX1IiDgo2wK4OnhtGEdqgrKxD1JQY8/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.13.13%20%281%29.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj26p_Nw4jhlGZiCB0ABZIo14FY_u72OhI-wybtesCJKDow1vOPjeN3MNmK9HX8reI30wTm59xLf-QWfjnPEbrsJaY-fFylSyLyCNg3c6_xYjqakzYWMhbaCZvz_mYf4brQ1_TXWms3ceoflCdOyNeg755lu512GsX1IiDgo2wK4OnhtGEdqgrKxD1JQY8/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.13.13%20%281%29.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhGqioeH9VCNtkDZJRxtNRZAWbYoTLLzF9tVbS6zVweB8WR1bBNL_HyS7kePRwl18-G-1xJc1q4RCH0PVX0XYOcUD2UuKwD-kj5o6PkeSoE_FYuSmZ6BP4VgffOOLcFoyudRPy2q3G17s5IfkLC4JTPlJtZIul8DdRSBZK_HT7tKoJme55bfpHtuQEk4M4/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.13.13.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhGqioeH9VCNtkDZJRxtNRZAWbYoTLLzF9tVbS6zVweB8WR1bBNL_HyS7kePRwl18-G-1xJc1q4RCH0PVX0XYOcUD2UuKwD-kj5o6PkeSoE_FYuSmZ6BP4VgffOOLcFoyudRPy2q3G17s5IfkLC4JTPlJtZIul8DdRSBZK_HT7tKoJme55bfpHtuQEk4M4/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.13.13.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg0Kg7SIWuBobqJwb0UL8cNBtRaPU6QIUABqOpfncS-WoLAeMSQ4L9_MtZQHrPVn5U6Bycx2N-WMIpchQRGhNL5cD5qs7BKL-itWiSbvbOD8LEgqAwCFn4DVwKW8NJ_-dZT4MpodzCT_YA-2SqEZjT_wUhday8roGbhEcIYx5VIDwVjSpXWx-jsL01F-WQ/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.13.14.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg0Kg7SIWuBobqJwb0UL8cNBtRaPU6QIUABqOpfncS-WoLAeMSQ4L9_MtZQHrPVn5U6Bycx2N-WMIpchQRGhNL5cD5qs7BKL-itWiSbvbOD8LEgqAwCFn4DVwKW8NJ_-dZT4MpodzCT_YA-2SqEZjT_wUhday8roGbhEcIYx5VIDwVjSpXWx-jsL01F-WQ/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.13.14.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhkhUGTDZsEQGbMPi-JFk3sfZUQymcEUi0HjJ3AC2vKPt4X4eBOUmIaJrmxNJMkJ3lZzj-MFMjpQzBz6ZWwRGbKIUJYUO8L4Z4M2fdZRwdd9WG6uZTzecHb2bCGBL2rvdnzb37mOUW38BVWOq6JVuKr68R3buIUja0mnGBKuxF3Z78ZvnJ0CCutEHmBNIo/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.13.15.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhkhUGTDZsEQGbMPi-JFk3sfZUQymcEUi0HjJ3AC2vKPt4X4eBOUmIaJrmxNJMkJ3lZzj-MFMjpQzBz6ZWwRGbKIUJYUO8L4Z4M2fdZRwdd9WG6uZTzecHb2bCGBL2rvdnzb37mOUW38BVWOq6JVuKr68R3buIUja0mnGBKuxF3Z78ZvnJ0CCutEHmBNIo/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.13.15.jpeg" /></a></span><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Mkutano wa 11 wa Vyama Rafiki vya Ukombozi Kusini mwa Afrika (FLMS), unaowakutanisha wajumbe wake, ambao ni pamoja na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, Katibu Mkuu wa Chama cha SWAPO (Namibia), Komredi Sophia Shaningwa, Katibu Mkuu wa Chama cha ANC (Afrika Kusini), Komredi Fikile Mbalula, Katibu Mkuu wa Chama cha FRELIMO (Msumbiji), Komredi Roque Silva Samuel, Katibu Mkuu wa Chama cha MPLA (Angola), Komredi Paulo Pombolo, Katibu Mkuu wa Chama cha BDP (Botswana), Komredi Kavis Kario na Katibu Mkuu wa Chama cha ZANU – PF (Zimbabwe), Komredi Albert Mpofu, (mwenyeji na mwenyekiti wa mkutano), ukiendelea kujadili agenda, leo Jumatatu, Machi 18, 2024, katika ukumbi ulioko Mji wa Victoria Falls, nchini Zimbabwe, unakofanyikia.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiFpoNUsIBTo7pZwq1P2CaA0UiiSn6znTjnrR8_s2EzLxqxIQOLsF56p-PZC5oyMy7nMKu_Bup3nOZ3x59_eX_-ZXaS22Ja2cNKL-6YlCf0k_vpZcNqiOoodA55hl6CCVNh6QQkw4OZwZ2lrt_aKbqP6fmwBOAejErvFhm22vePheeCTtj9-KcRTP33ZpA/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.13.18.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiFpoNUsIBTo7pZwq1P2CaA0UiiSn6znTjnrR8_s2EzLxqxIQOLsF56p-PZC5oyMy7nMKu_Bup3nOZ3x59_eX_-ZXaS22Ja2cNKL-6YlCf0k_vpZcNqiOoodA55hl6CCVNh6QQkw4OZwZ2lrt_aKbqP6fmwBOAejErvFhm22vePheeCTtj9-KcRTP33ZpA/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.13.18.jpeg" /></a></span><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi (wa pili kutoka kushoto) akiwa kwenye picha ya pamoja, leo Jumatatu, Machi 18, 2024, pembezoni mwa siku ya kwanza ya Mkutano wa 11 wa Makatibu Wakuu wa Vyama Rafiki vya Ukombozi Kusini mwa Afrika, unaofanyika katika Mji wa Victoria Falls, nchini Zimbabwe. Makatibu Wakuu wengine pichani, (kutoka kulia) ni Komredi Roque Silva Samuel (FRELIMO - Msumbiji), Komredi Paulo Pombolo (MPLA - Angola), Komredi Albert Mpofu (ZANU – PF - Zimbabwe, mwenye suti), Komredi Sophia Shaningwa (SWAPO – Namibia) na Komredi Fikile Mbalula (ANC – ANC).<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg4hNdjdh3FHE6tR3KvEQmgqL7oM85qdvT5TqlptwmWn96_UdXjZFMa6SOL8q7TBuWi8hukSrLmKL3nBXruHCFCK8qPS23uvVQx_SQ33kBSiTmxe6PTijW_KZIu2AZDRdA2nv9-JZUCyI91vUAf6tuqA6161ocuADiZLaR78_ztwn9W0KUN3y4nz-Kukw8/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.13.19.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg4hNdjdh3FHE6tR3KvEQmgqL7oM85qdvT5TqlptwmWn96_UdXjZFMa6SOL8q7TBuWi8hukSrLmKL3nBXruHCFCK8qPS23uvVQx_SQ33kBSiTmxe6PTijW_KZIu2AZDRdA2nv9-JZUCyI91vUAf6tuqA6161ocuADiZLaR78_ztwn9W0KUN3y4nz-Kukw8/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.13.19.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEihD3zChrvE1dCarUSUrsuF4jIe6e_2BJwQ92H7wp5jo-9vSYTtCw937rNwoHJLFT_N-8wQKDpwjXON3V9eahksNT_lSNeFuBN0JdAAEr7tiERet18x-_TiGyzF23ONkTOicKySL_dqsYPZv-wDEAHPzg6jxn2g0nkBI6KliRJNFVYGsTPAV5k-oU9T9Ww/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.13.22.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEihD3zChrvE1dCarUSUrsuF4jIe6e_2BJwQ92H7wp5jo-9vSYTtCw937rNwoHJLFT_N-8wQKDpwjXON3V9eahksNT_lSNeFuBN0JdAAEr7tiERet18x-_TiGyzF23ONkTOicKySL_dqsYPZv-wDEAHPzg6jxn2g0nkBI6KliRJNFVYGsTPAV5k-oU9T9Ww/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.13.22.jpeg" /></a></span><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi (kushoto) kwenye picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Chama cha SWAPO (Namibia) Komredi Sophia Shaningwa (katikati) na Katibu Mkuu wa Chama cha ANC (Afrika Kusini), Komredi Fikile Mbalula (kulia), wakionesha alama ya salaam za CCM, Chama cha ANC na Chama cha SWAPO, leo Jumatatu, Machi 18, 2024, pembezoni mwa siku ya kwanza ya Mkutano wa 11 wa Makatibu Wakuu wa Vyama Rafiki vya Ukombozi Kusini mwa Afrika, unaofanyika katika Mji wa Victoria Falls, nchini Zimbabwe. Makatibu Wakuu wa Vyama wengine wanaoshiriki mkutano huo ni pamoja na Komredi Roque Silva Samuel (FRELIMO - Msumbiji), Komredi Paulo Pombolo (MPLA - Angola), Komredi Kavis Kario (BDP – Botswana) na Komredi Albert Mpofu (ZANU – PF - Zimbabwe), ambaye ni mwenyeji wa mkutano huo.</span></div></div></div></div>Ahmad Michuzihttp://www.blogger.com/profile/03608058217608553857noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-75065902672457820812024-03-18T19:06:00.001+03:002024-03-18T19:06:45.098+03:00 LAAC YASHAURI USAJILI WA HOSPITALI YA WILAYA BUKOBA UKAMILIKE<span style="font-family: verdana; font-size: small;">Angela Msimbira, KAGERA<br /><br />Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeitaka Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera kukamilisha utaratibu wa kupandishwa hadhi Zahanati ya Nshambya kuwa Hospitali ya Wilaya.<br /><br />Maelekezo hayo yametolewa leo Machi 18,2024 na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Staslaus Mabula alipokuwa akifanya majumuisho ya ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri hiyo.<br /><br />Amesema Kamati imesikitishwa na ucheleweshaji wa upandishwaji hadhi ya zahanati hiyo tangu Mwaka 2021 licha serikali kujenga majengo sita ya kuongeza hadhi ya kuwa Hospitali.<br /><br />"Inasikitisha sana kuona Halmashauri ya Manispaa ya bukoba hakuna watu wenye uchungu wa fedha zinazotolewa na serikali ambapo majengo yamejengwa 6 lakini linalotumika ni jengo la wagojwa waa nje tusuala hili halikubaliki hakikisheni hospitali hii inapata usajili na kitumike kama ilivyokusudiwa na Serikali, majengo yanatumika kwa matumizi yasiyokusudiwa kwa kuwa kwa sasa wanatoa huduma ngazi ya Zahanati wakati majengo yaliyopo ni ya Hospitali ya Wilaya,"amesema.<br /><br />Aidha, amesema Kamati hiyo ina jukumu la kusimamia matumizi ya fedha za serikali za mitaa nchini hivyo wanakagua fedha zote zinazotolewa na serikali ili kuhakikidha zinatumika kwenye malengo yaliyokusudiwa na thamani halisi ya fedha ionekane.</span><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhkDpq2z86cT-xMK-F5AJ1IeYFCk-TbCvBKPtMw7eiuTE5KhvDJXJNycz1dJ8McIqgRH3qdlPy_QqL_cHYZ49rq0fG6x3Owi3jH4YhV93c2rWN5_8VmYcNNHZVBWCbJBOU-ez_u7M9ioSUEZK6hpURd8xLAxLci5IR0BhHl7fheibpybdxsU8cXym3NZw8/s1080/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.39.53.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhkDpq2z86cT-xMK-F5AJ1IeYFCk-TbCvBKPtMw7eiuTE5KhvDJXJNycz1dJ8McIqgRH3qdlPy_QqL_cHYZ49rq0fG6x3Owi3jH4YhV93c2rWN5_8VmYcNNHZVBWCbJBOU-ez_u7M9ioSUEZK6hpURd8xLAxLci5IR0BhHl7fheibpybdxsU8cXym3NZw8/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.39.53.jpeg" /></a></span><br /><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhSVKoKkxesIuOoKtUjpvoO6OpkkGf0w44R3ZxaXaUbBbOw_3gD-p3C73Kvh5KKczLpJhsis752OkSxF62IyqPjm7U-orKmUVnDUwNYkcuUKD6j5DBFB1K9dVzHSkyhaG8RgeOTnnVig9xrMWw_-n1gctM7LLb9BVDvtALXJRC_T5ajKLYLYyBcv9S9TMs/s1080/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.39.51.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhSVKoKkxesIuOoKtUjpvoO6OpkkGf0w44R3ZxaXaUbBbOw_3gD-p3C73Kvh5KKczLpJhsis752OkSxF62IyqPjm7U-orKmUVnDUwNYkcuUKD6j5DBFB1K9dVzHSkyhaG8RgeOTnnVig9xrMWw_-n1gctM7LLb9BVDvtALXJRC_T5ajKLYLYyBcv9S9TMs/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.39.51.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiv3-8OdAbs9PNX5J1dPA8nFfhJ1Or4Tp6nCiHZdastWgyMsQZ7vzo-nuynREsqY9hOt6XCBUd49_o0hzB_S4jv4AjgV2VjWGK73pHVtU2HFPLkOP_oCnj7y8petJ6FaZOhmebiScuWUJThtv8derV5nsctcbuHdMmAO92wnlrKrPSxOM4Qd3brlLRITTQ/s1080/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.39.52.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiv3-8OdAbs9PNX5J1dPA8nFfhJ1Or4Tp6nCiHZdastWgyMsQZ7vzo-nuynREsqY9hOt6XCBUd49_o0hzB_S4jv4AjgV2VjWGK73pHVtU2HFPLkOP_oCnj7y8petJ6FaZOhmebiScuWUJThtv8derV5nsctcbuHdMmAO92wnlrKrPSxOM4Qd3brlLRITTQ/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.39.52.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjm5LTcTLykpQiBxiz55Jh2OgJFmTP4qha5XJWDCuelvkkF8byVoXz_308_M2nJ_sKRudPNHUE8AJ4e15YsSD4J1BHkkLBAFBt4wqN1L5IH67IUEd0q9CpIZU9kT9JB_Vx4-K30gz5tMj9sh5xqkL17yw6Hsxr_4oUPN7cuEf6_UPCTbWkcy1fv8RO7i3M/s1080/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.39.55%20%281%29.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjm5LTcTLykpQiBxiz55Jh2OgJFmTP4qha5XJWDCuelvkkF8byVoXz_308_M2nJ_sKRudPNHUE8AJ4e15YsSD4J1BHkkLBAFBt4wqN1L5IH67IUEd0q9CpIZU9kT9JB_Vx4-K30gz5tMj9sh5xqkL17yw6Hsxr_4oUPN7cuEf6_UPCTbWkcy1fv8RO7i3M/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.39.55%20%281%29.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgEBXhOxXghyUuAQgJlADpLJGF63vVHUrcSH9gVmAoy-iq_s-IxgGahkm-wbyFdKa_6d_jH3Rso4GsF_7OqO6AMy6fW7YPiROdJyCz7fLTrdWWt1ebfOzvIgjHmhcVdvMkBO2p9EA2phA9L4IytyjkL3Gsd0iOzFFVQQtvaXUysjcD7sVYnG4XbyqfuzOw/s1080/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.39.55.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgEBXhOxXghyUuAQgJlADpLJGF63vVHUrcSH9gVmAoy-iq_s-IxgGahkm-wbyFdKa_6d_jH3Rso4GsF_7OqO6AMy6fW7YPiROdJyCz7fLTrdWWt1ebfOzvIgjHmhcVdvMkBO2p9EA2phA9L4IytyjkL3Gsd0iOzFFVQQtvaXUysjcD7sVYnG4XbyqfuzOw/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-18%20at%2018.39.55.jpeg" /></a></span>Ahmad Michuzihttp://www.blogger.com/profile/03608058217608553857noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-60983742802061099012024-03-18T17:11:00.004+03:002024-03-18T17:12:31.221+03:00BARRICK YAFUNGUA CHUO CHA KIMATAIFA BARRICK ACADEMY KATIKA MGODI WA BUZWAGI ULIOFUNGWA<p style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><img border="0" data-original-height="1066" data-original-width="1600" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjYfeuSDce-K7AazAZvzTMimDg-80xxAkAt9uXxT7BW4lm7t6fO6ztsmk6mB5G3NYYanV-mtz2WBz9zg7REZd1s0QQ1bJQ4XWnhRBC_mlhmZYt5vPCz0h-MvZmDPNKIND0gSJMbC5q8BV5WGA5-v74UfGOUf05ddd3opbtScby0MI9LpGJFvQbE23Al_pI/s16000/BARRICK%20ACADEMY%20LAUNCH%201.jpe" /></span></b></i></p><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">Waziri wa Madini, Mhe. Antony Mavunde</span></b></i></div><p style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">Waziri wa Madini, Mhe. Antony Mavunde, ameipongeza Kampuni ya Dhahabu ya Barrick ambayo inaendesha shughuli zake nchini kwa ubia na Serikali kupitia kampuni ya Twiga Minerals, kwa kufanya uwekezaji unaoendelea kuchangia kukuza uchumi na kufanikisha miradi ya kijamii ambayo inaendelea koboresha maisha ya wananchi.</span></b></i></p><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">Mh. Mavunde, ametoa pongezi hizo leo Jumatatu Machi 18,2024 wilayani Kahama wakati wa uzinduzi wa Chuo cha mafunzo cha Barrick chenye hadhi ya kimataifa kijulikanacho kama Barrick Academy, katika mgodi wa zamani wa Buzwagi wilayani Kahama ambao umefungwa ambacho kitakuwa kinatoa mafunzo kwa wafanyakazi wa Barrick wa nchini na nje ya nchi kupata utaalamu wa kuendesha shughuli zao kwa weledi.</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><br /></span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">Waziri Mavunde amesema ulimwengu wa sasa ni wa sayansi na teknolojia hivyo chuo hicho kimeanzishwa katika wakati muafaka ambapo sekta ya madini nchini inakua kwa kasi sana na kuhitaji wataalamu wa kutosha.</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><br /></span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">Ametoa wito kwa uongozi wa Barrick kuangalia uwezekano wa kuanzisha kozi za kuwasaidia wachimbaji wadogowadogo nao wapate maarifa ya kuendesha kazi zao kwa maarifa.</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><br /></span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">“Barrick mmeanza kwa kufungua chuo katika eneo hili la Ukanda Maalum wa Kiuchumi la Buzwagi la Serikali, nina imani wawekezaji wengi watajitokeza kujenga viwanda ili kuziba athari za kiuchumi zilizotokana na kufungwa kwa mgodi wa Buzwagi”,amesisitiza.</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><br /></span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">Kwa upande Rais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Mark Bristow, amesema Barrick itaendelea kufanya kazi na Serikali kuhakikisha ubia wake unanufaisha pande zote na kuchangia kukuza uchimi wa nchi,</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><br /></span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">Bristow amesema Barrick, inalipa umuhimu kubwa suala la elimu na itaendelea kuwekeza katika sekta hiyo ili kuhakikisha watanzania wanapata elimu na ndio maana imeamua kufungua chuo kikubwa cha kimataifa cha Barrick Academy nchini.</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><br /></span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">“Tutaendelea kuhakikisha kuwa ubia wetu na Serikali ya Tanzania unakuwa wa kuigwa katika sehemu mbalimbali duniani kwa kufanikisha kuleta mafanikio na maendeleo chanya kwa wananchi”, alisisitiza Dkt. Bristow.</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><br /></span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">Bristow amesema Chuo cha Barrick kimebuniwa na Barrick ili kutoa programu maalumu za mafunzo zinazoandaliwa kulingana na mahitaji zinazolenga kuandaa mameneja wa mstari wa mbele wa Barrick ili wakue kama watu binafsi na viongozi katika nyanja zao huku kozi hizo zikiwapa ujuzi wa kusimamia timu zao kwa ufanisi zaidi na kuboresha utendaji.</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><br /></span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">“Chuo cha Barrick kitakuwa kikitoa mafunzo kwa mafomeni, wasimamizi na warakibu zaidi ya 2,000 kutoka Kannda ya Afrika Mashariki na Kati katika kipindi cha miezi 24 ijayo. Tukiwa na maono ya mbele, tunajitayarisha pia kuwajumuisha Wakandarasi wetu na kupanua mtaala ili kufikia taaluma nyingi zaidi ikiwa ni pamoja na kutoa kozi za uongozi katika masuala ya fedha, ujuzi wa ngazi ya juu wa Kompyuta na katika masuala ya usalama”,ameongeza Bristow.</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><br /></span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">Ameeleza kuwa, ufunguzi wa chuo cha Barrick unafuatia ujenzi wa jengo la abiria katika uwanja wa ndege wa Buzwagi Kahama mnamo mwezi Januari 2024 lililofungua fursa kwa ajili ya huduma za ndege zilizopangwa ambalo linaweza kuhudumia zaidi ya abiria 200 kwa wakati mmoja ambapo jengo hilo linatarajiwa kuwa kichocheo kikubwa cha ukuaji uchumi katika Manispaa ya Kahama.</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><br /></span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Afisa Mkuu wa Uendeshaji wa Barrick katika Kanda ya Afrika Mashariki na Kati, Sebastiaan Bock amesema uwanja wa ndege na Chuo katika mgodi uliofungwa wa Buzwagi ni sehemu ya mpango wa Barrick wa kuibadili Buzwagi kuwa Ukanda Maalum wa kiuchumi.</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><br /></span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">“Upembuzi yakinifu uliofanyika mwaka 2021 ulionesha kuwa uundwaji wa Kanda maalumu ya kiuchumi ulikuwa na uwezo wa kuchukua nafasi ya mgodi wa Buzwagi kama kichocheo cha uchumi wa eneo hili na unaweza kutengeneza ajira zipatazo 3,000 kila mwaka, kuzalisha zaidi ya dola 150,000 kila mwaka kutokana na tozo za huduma kwa Manispaa ya Kahama na kutoa takribani dola milioni 4.5 kwa mwaka kama kodi ya ajira”,amesema Sebastiaan.</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><br /></span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">Amesema Serikali ya Tanzania iliidhinisha ubadilishaji wa mgodi wa Buzwagi kuwa ukanda maalum wa kiuchumi (SEZ) kupitia tangazo la Serikali ilitolewa mwezi Februari 2024 na tayari Wawekezaji wameanza mchakato wa kuanzisha viwanda katika eneo hilo.</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><br /></span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">“Namna tunavyofunga migodi yetu ni muhimu kwetu kama ambavyo tunaijenga na kuiendesha. Mgodi wetu wa Buzwagi ulikuwa kitovu cha uchumi katika ukanda huu kwa takribani miaka 15 kabla ya kutoa dhahabu yake ya mwisho mwaka 2021. Hata hivyo, mtazamo wetu huo siyo mwisho wa hadithi hii kwa Buzwagi tunapoibadilisha kuwa mali mbadala yenye tija ambayo itahudumia jamii kwa miongo kadhaa ijayo”,amesema Bock.</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><br /></span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">Naye Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maeneo Maalum ya Uwekezaji kwa Mauzo ya Nje (EPZA) Charles Itembe, ameipongeza Kampuni ya Barrick kwa kubuni wazo la kuanzisha Chuo cha Barrick huku akiwaomba wawekezaji mbalimbali kujitokeza kuwekeza katika eneo hilo ili kuongeza thamani ya madini na vitu vingine kwenye eneo la Buzwagi ambako kutakuwa na viwanda zaidi ya 100 na mpaka sasa kuna wawekezaji wanane.</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><br /></span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita amesema kuanzishwa kwa Chuo cha Barrick ni matokeo mazuri ya ushirikiano baina ya Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Barrick ili kukuza uwekezaji nchini.</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">Mbunge wa Jimbo la Kaham Mjini Mhe. Jumanne Kishimba amewapongeza Barrick kuwa wawekezaji wa kwanza katika Mgodi uliofungwa wa Barrick huku akiomba chuo hicho pia kitumike kutoa mafunzo ya madini kwa wachimbaji wadogo na jinsi ya kufanya biashara ya madini huku Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kahama Thomas Myonga akisema uwekezaji unaofanyika katika eneo hilo ni sehemu ya utekelezaji wa Ilani ya CCM katika kukuza uwekezaji nchini.</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><img border="0" data-original-height="990" data-original-width="1600" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEisbcIZdRvpzi21do0jpwDi0neBTkVF7WHUJ6T5GXvpI_afykKhITncm2UqIQnsGaO3HqPZ7PUMfFahxf0lz21LP094Uaqm53bDPCkGZkY-sES3zsTdGCH_-5K0hWZrKBicVi9yj_HD7hEjoeY33ykvo3wnWnLPMF7jGDIZL5RYqvbE95pwtHeH2X824gA/s16000/BARRICK%20ACADEMY%20LAUNCH%202.jpe" /></span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">Rais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Mark Bristow</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><img border="0" data-original-height="957" data-original-width="1600" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiHBC0Q5WMoqzhB9AH11TGDfwjli5J-KVTFYtbsu6JveJ_4QQWb4iIp_phivdEBJR7AcD42VrAtgqvTDsKbR4b7WLx7m7ZO26ipzcMcyfWY3cr0JwfehIbQbkBKwLTZa93rtO9KJc1vOR4jRc_7BRM1dsRNbB3sF8oe9ZstsFytsHXtkmlZMPV5XWDT5jw/s16000/BARRICK%20ACADEMY%20LAUNCH%2003.jpe" /></span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">Waziri Mavunde na CEO wa Barrick wakikata utepe kuzindua chuo, katikati ni mkuu wa wilaya ya Kahama, Mboni Mhita</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><img border="0" data-original-height="838" data-original-width="1080" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj7wAOTISb-vQhg5xTBjRDjR83xOu9jHM9vCHZKVcqezw6jCuynJYyuw1FzxTZX0b0VVtjV5dDttp7YQHPKsnd9Dl0zLq69MmJC2_fYkW534cwmyq41t1O6csHk4iAVaheA1rgWHRPABK3Tr5KL_w5YaLL4mzJV3aJq5RRZfMjRweiSw6Ye-ypuKF__7CE/s16000/BARRICK%20ACADEMY%20LAUNCH%203.jpe" /></span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">Afisa Mkuu wa Uendeshaji wa Barrick katika Kanda ya Afrika Mashariki na Kati, Sebastiaan Bock</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><img border="0" data-original-height="950" data-original-width="1080" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiUf0nAtnFGv9OmiAvmr1hcylyyqJBHdXGS2Q_quiacnnz-_UIayfAcmynNVqhjqDc7CUswG4UDyHxjrfHKnko8KZsqbWmzWdw7HQlUOtx4-ElLQ1fOmsZtXohPAenrufDOYFqTfh40Au20zQ30EpPR183fCOylFm3WJvXZ5cq7LBUwxEsu0qqKZDNf-N8/s16000/BARRICK%20ACADEMY%20LAUNCH%204.jpe" /></span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">Meneja wa Barrick nchini, Melkiory Ngido</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><img border="0" data-original-height="526" data-original-width="1600" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhy9E5w00eyFh0_LySiwSL5vZQnaQZeG9fhrWm5kC879thfiRAO0koFgk2N3Fnb3xjB7qHVYMZf6KNbqoQsMUVTFDpm4SlHK6epDNxIW8HptVEPJsnyL-JTmAk-aiRSIno4MBaPVAvvrIsa_GHXvRS0K9XUAe43vzHZ7oVaOUOixbuq7hI0WYPATDoFqgM/s16000/BARRICK%20ACADEMY%20LAUNCH%205.jpe" /></span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">Waziri wa Madini Antony Mavunde na CEO wa Barrick wakibadilishana mawazo wakati wa hafla hiyo</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjd57tvl89TPtLSBlg-Z38XyM2R7aPI0XhJPGtnvjcCBbjm_0MII4f1fXnEMAPJ1z-f3jfraA_9AMWbAjK8jhN6TDPQXyUb7261RrWbBW7dyKHUf59Bu6rfA6oWtlqqbQPawlYfpDsMcmWblBsIqWYRXCwk_zAWPeT2ItvSYlUkGncsYxpvb5cp-Wt0d_c/s16000/BARRICK%20ACADEMY%20LAUCH%208.jpe" /><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjd57tvl89TPtLSBlg-Z38XyM2R7aPI0XhJPGtnvjcCBbjm_0MII4f1fXnEMAPJ1z-f3jfraA_9AMWbAjK8jhN6TDPQXyUb7261RrWbBW7dyKHUf59Bu6rfA6oWtlqqbQPawlYfpDsMcmWblBsIqWYRXCwk_zAWPeT2ItvSYlUkGncsYxpvb5cp-Wt0d_c/s16000/BARRICK%20ACADEMY%20LAUCH%208.jpe" /><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjd57tvl89TPtLSBlg-Z38XyM2R7aPI0XhJPGtnvjcCBbjm_0MII4f1fXnEMAPJ1z-f3jfraA_9AMWbAjK8jhN6TDPQXyUb7261RrWbBW7dyKHUf59Bu6rfA6oWtlqqbQPawlYfpDsMcmWblBsIqWYRXCwk_zAWPeT2ItvSYlUkGncsYxpvb5cp-Wt0d_c/s16000/BARRICK%20ACADEMY%20LAUCH%208.jpe" /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjd57tvl89TPtLSBlg-Z38XyM2R7aPI0XhJPGtnvjcCBbjm_0MII4f1fXnEMAPJ1z-f3jfraA_9AMWbAjK8jhN6TDPQXyUb7261RrWbBW7dyKHUf59Bu6rfA6oWtlqqbQPawlYfpDsMcmWblBsIqWYRXCwk_zAWPeT2ItvSYlUkGncsYxpvb5cp-Wt0d_c/s1600/BARRICK%20ACADEMY%20LAUCH%208.jpe" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em; text-align: center;"><img border="0" data-original-height="853" data-original-width="1600" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjd57tvl89TPtLSBlg-Z38XyM2R7aPI0XhJPGtnvjcCBbjm_0MII4f1fXnEMAPJ1z-f3jfraA_9AMWbAjK8jhN6TDPQXyUb7261RrWbBW7dyKHUf59Bu6rfA6oWtlqqbQPawlYfpDsMcmWblBsIqWYRXCwk_zAWPeT2ItvSYlUkGncsYxpvb5cp-Wt0d_c/s16000/BARRICK%20ACADEMY%20LAUCH%208.jpe" /></a></span></b></i></div><div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhqgqxvX-eTewqBEZMqqiJjutEeJbV6ENpodTriDrH9B2ihuiY_plQF5L7bW58HyMNtCsUVMey1HMIvJv510iGBkQloguqNA1EqYQkDMpCPEBXZNt34SngJN9cizCTzKhjM2HJdhGPWSUatcv0pb6FS3IJYYmWpwIpntgSiHVlzLOwzhzCa7jaemkJL8Vs/s16000/BARRICK%20ACADEMY%20LAUNCH%206.jpe" /></span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">Sehemu ya wageni waalikwa</span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;"><img border="0" data-original-height="652" data-original-width="1600" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjO1YkRXAu8TrZJpbSqMUaMUxZkGfLwS-7MP5m69CKagecc2eOC9Z66y4XtpIXrlqn4SMyzCZp7ZHxj6QvuGleozK5Rk7cOpqh9HGl9WemCQwI_jYv-D6i2qgyl-lJDyGb2cxmnaJnu7ZCOCYCxJvKySa7YsNYanblbJn2RYZc1NNka58SjerXRYE1N4kQ/s16000/BARRICK%20ACADEMY%20LAUNCH%207.jpe" /></span></b></i></div><div style="text-align: center;"><i><b><span style="font-family: georgia;">Wanafunzi wa awamu ya kwanza katiika chuo katika picha ya pamoja na Waziri Mavunde na Rais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Mark Bristow na viongozi wengine wa mkoa wa Shinyanga.</span></b></i></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-20351519736772747192024-03-18T16:43:00.006+03:002024-03-18T16:43:58.284+03:00WAUMINI KANISA BAPTIST KINONDONI WAANDAA IBADA MAALUM KULIOMBEA TAIFA<p> </p><p> </p><p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhKVGfWm6Kv0PMOudoT_44BMsGOrqcFim87XeWe19KiMnnIIch92k8b-KUf1HsHWbW1ugbhciFm7esM_ZYXzcjSAbKtFSW4_hjz0HkB671EDU-9Bm4M_jLhwAGL4QwtQ54m8Akc406XHZDxJlXBzQ-UzyF3foXoxVBaIVHaTNebcD5KfH5TYBguBAVVBwv7/s3840/MSKM6483.JPG" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="2560" data-original-width="3840" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhKVGfWm6Kv0PMOudoT_44BMsGOrqcFim87XeWe19KiMnnIIch92k8b-KUf1HsHWbW1ugbhciFm7esM_ZYXzcjSAbKtFSW4_hjz0HkB671EDU-9Bm4M_jLhwAGL4QwtQ54m8Akc406XHZDxJlXBzQ-UzyF3foXoxVBaIVHaTNebcD5KfH5TYBguBAVVBwv7/s16000/MSKM6483.JPG" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">WAUMINI wa Kanisa la Baptist Kinondoni mkoani Dar es Salaam wakiongozwa na Mchungaji wa kanisa hilo Samweli Kabonaki wamefanya ibada maalum ya kuliombea Taifa la Tanzania katika kipindi cha majanga yakiwemo mafuriko yanayosababishwa na vua zinazoendelea kunyesha sehemu mbalmbli za nchi yetu na nchi jirani.<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQSCbjruhvNB6Wxedhj9QDUS5ol_XGIC3rOWOSoKGFMjnnWzYVVOC5-AB5ngGaZDQmuIjj1bMESL8xTTadmEyRmdH1qpQdtUrgFag1TFxKwGN49MADZhnr3bYaz-_bU9KctOsr7r7iWC6Hu3AKwSiOdpyolx75vus4Zi2_qlDqZFVNe9oe-J_JBMHM3jCB/s3840/MSKM6236.JPG" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="2560" data-original-width="3840" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQSCbjruhvNB6Wxedhj9QDUS5ol_XGIC3rOWOSoKGFMjnnWzYVVOC5-AB5ngGaZDQmuIjj1bMESL8xTTadmEyRmdH1qpQdtUrgFag1TFxKwGN49MADZhnr3bYaz-_bU9KctOsr7r7iWC6Hu3AKwSiOdpyolx75vus4Zi2_qlDqZFVNe9oe-J_JBMHM3jCB/s16000/MSKM6236.JPG" /></a>Akizungumza wakati wa ibada hiyo ,Mchungaji Kabonaki amesema Watanzania na Dunia wanajua kipindi wanachopitia kutokana na uwepo wa majnga yanayoleta madhara katika maeo mbalimbali ya nchini na nje ya nchi.<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh9niqSf1tfh771MWEdg9LNm6Rmo3uJEQvBof3dTwObOMTsVKSDIps_Mo0v3LB9O6VtTAJFF89DqfnmXjQnjOsB5Lj69krhh0ejz1TylwVKgYjMKEP5OO1-ugiH7F-NpIy8KM3QmA8fzzbeMkn9EeSeM774rTCe4NbKxa-7mOUja_Mf0-Baxn_sDLYUUtz2/s3840/MSKM6454.JPG" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="2560" data-original-width="3840" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh9niqSf1tfh771MWEdg9LNm6Rmo3uJEQvBof3dTwObOMTsVKSDIps_Mo0v3LB9O6VtTAJFF89DqfnmXjQnjOsB5Lj69krhh0ejz1TylwVKgYjMKEP5OO1-ugiH7F-NpIy8KM3QmA8fzzbeMkn9EeSeM774rTCe4NbKxa-7mOUja_Mf0-Baxn_sDLYUUtz2/s16000/MSKM6454.JPG" /></a>"Tumeona ni vema Kanisa hilo likafanya maombi maalum kuombea nchi yetu na mataifa mengine na duna kiujumla,"amesema na kusisitiza katika kukabiliana na majanga hayo ni vema kila mmoja wetu akamtanguliza Mungu zaidi na yvema ikajulikana Mungu ambaye ndiye mwenye majibu yote na ni mponyaji Mkuu."</div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjZcLU41chqbJHfByh2uypC0v0PFKCaozwRe_YT9wQYxCYbcNsojFocCwXbSQ5atnxQD43UML-oDHeQIQDZFluaR_8P7FcYUiWVsjm8xfxo5EI2JOKvEWJLYpYLCYFlW1qTfrOQfoK1ZEgw3IZkU_jCFa1BuVMuNGmw7ghle7ZuwK0ASHKBLraAIq8Q4oTg/s2954/MSKM6304.JPG" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1785" data-original-width="2954" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjZcLU41chqbJHfByh2uypC0v0PFKCaozwRe_YT9wQYxCYbcNsojFocCwXbSQ5atnxQD43UML-oDHeQIQDZFluaR_8P7FcYUiWVsjm8xfxo5EI2JOKvEWJLYpYLCYFlW1qTfrOQfoK1ZEgw3IZkU_jCFa1BuVMuNGmw7ghle7ZuwK0ASHKBLraAIq8Q4oTg/s16000/MSKM6304.JPG" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiLdoOpo3LPEyY9Gtrmh8x5iUQIS4cCwdHDWL-k4MVUq4y2_wmi5nU5tH30dl4rcutZ-6PzKMIlCr0l_FPjYnfz2oGcO5cVpsYFMPi1u-fY5B8jkokYj9pn7kRnBwESIa6SoE37FoWSrxGPa1oPZ6rIOEeIk0NTzdHME5WlJ0wn-4WwQC8g_HgMtIkTdSAC/s3069/MSKM6309.JPG" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="1797" data-original-width="3069" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiLdoOpo3LPEyY9Gtrmh8x5iUQIS4cCwdHDWL-k4MVUq4y2_wmi5nU5tH30dl4rcutZ-6PzKMIlCr0l_FPjYnfz2oGcO5cVpsYFMPi1u-fY5B8jkokYj9pn7kRnBwESIa6SoE37FoWSrxGPa1oPZ6rIOEeIk0NTzdHME5WlJ0wn-4WwQC8g_HgMtIkTdSAC/s16000/MSKM6309.JPG" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiOPckzzZCrnPCqQqU1ZO8Iq5SEDgDmicP2x58nv31kKujHS6VqLF-yu36y0ObjDCruMXQXhtAe1w_Wkz5BhZ_BFiDpflKbsJqEARD8m0884-4rU5FW7q6moet0oWvArEXa7YvzZWQ2ZZs1l7hMwk90ZcQewvkXDvAznbpnqGv97WZHY88gPuAguFFFg6Wb/s3840/MSKM6325.JPG" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="2339" data-original-width="3840" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiOPckzzZCrnPCqQqU1ZO8Iq5SEDgDmicP2x58nv31kKujHS6VqLF-yu36y0ObjDCruMXQXhtAe1w_Wkz5BhZ_BFiDpflKbsJqEARD8m0884-4rU5FW7q6moet0oWvArEXa7YvzZWQ2ZZs1l7hMwk90ZcQewvkXDvAznbpnqGv97WZHY88gPuAguFFFg6Wb/s16000/MSKM6325.JPG" /></a></div><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgR0d5uhhvTVfYbgfPfLC-m02P0Lj3Wjzpk9es1SlwAtOevw1-OWbOJ7ZxJJX6Sn8Hj-BuzaoD_t83iiJ7eb_y8-A53oMyk8vWyNAtcwceJDSD0IYLUY67bn6f9i4jwwoAuSd9GVTuf6yqNEY9hk-IyregxvNR6VVU8n5RJ_f5Fw-gCAG8extiC1It7zQIx/s3840/MSKM6299.JPG" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="2560" data-original-width="3840" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgR0d5uhhvTVfYbgfPfLC-m02P0Lj3Wjzpk9es1SlwAtOevw1-OWbOJ7ZxJJX6Sn8Hj-BuzaoD_t83iiJ7eb_y8-A53oMyk8vWyNAtcwceJDSD0IYLUY67bn6f9i4jwwoAuSd9GVTuf6yqNEY9hk-IyregxvNR6VVU8n5RJ_f5Fw-gCAG8extiC1It7zQIx/s16000/MSKM6299.JPG" /></a></div><p></p><p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><br /></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhGah33-aRPbg-ZK3MiSHfwfSPG03XosaubmrSL-9a67o8raJU31NayuZPOtb7b-Vi44-kuS7bStmvgvMebTmeFHKHP0B9HoSeN48tQSO6iG0p04MEbvEGHiKQRyyxsv3F-PUyX-DUXNail7s5pb900kbylQks-4MOcLOEBJyew-euwIY7X0RvpkS2VepAR/s3840/MSKM6458.JPG" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="2560" data-original-width="3840" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhGah33-aRPbg-ZK3MiSHfwfSPG03XosaubmrSL-9a67o8raJU31NayuZPOtb7b-Vi44-kuS7bStmvgvMebTmeFHKHP0B9HoSeN48tQSO6iG0p04MEbvEGHiKQRyyxsv3F-PUyX-DUXNail7s5pb900kbylQks-4MOcLOEBJyew-euwIY7X0RvpkS2VepAR/s16000/MSKM6458.JPG" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">Ibaada ikiendelea</div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgMn1wOL4vFPdh4I3qTQCjlg-O48MJ_Nzryz6gXjVOAnU1NN8K7essVZkCqi2cGiGtuZ82J0GmMFFX29ooF14NY3-sG8nDKyM-ztQ_MjDENsmI8Ff2wB4tBEzFNFA_DtEpwV7azHjM9S3cOnwZvoJ7OH5zv-cZam9z0ynyWnYKXy-85N4k0TYft5FEMiTTc/s3840/MSKM6363.JPG" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="2560" data-original-width="3840" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgMn1wOL4vFPdh4I3qTQCjlg-O48MJ_Nzryz6gXjVOAnU1NN8K7essVZkCqi2cGiGtuZ82J0GmMFFX29ooF14NY3-sG8nDKyM-ztQ_MjDENsmI8Ff2wB4tBEzFNFA_DtEpwV7azHjM9S3cOnwZvoJ7OH5zv-cZam9z0ynyWnYKXy-85N4k0TYft5FEMiTTc/s16000/MSKM6363.JPG" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjZhRQz6HBlN7d1YeZxUGrzKToElh00WC2d02YvX6U0rfc55a4eocOAE_jnFuQzIBBhEouuoaHB4p4wDVLf3zzTuZG74xHDXmQUMN8dmxgqPmecJ2OrxIliOlqKMappFI7w51YCkI-4dcmoTGlrsYO7YWbwlo7Sjkn7Q0Q2Sa74kUEmaULkY0HN7sz6GGuD/s3840/MSKM6254.JPG" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="2560" data-original-width="3840" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjZhRQz6HBlN7d1YeZxUGrzKToElh00WC2d02YvX6U0rfc55a4eocOAE_jnFuQzIBBhEouuoaHB4p4wDVLf3zzTuZG74xHDXmQUMN8dmxgqPmecJ2OrxIliOlqKMappFI7w51YCkI-4dcmoTGlrsYO7YWbwlo7Sjkn7Q0Q2Sa74kUEmaULkY0HN7sz6GGuD/s16000/MSKM6254.JPG" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><br /></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh4aQk1K4ms3heg7J2XBbRpzVqOdQD9Lg7eAAbiFKAkEUK7MGkucn0j_-vVS0mWbrDKG-poxUBJO7KvFtEbarNFdTV7iyrFFu76IfM8c3N6KCoTQ7wxRLYz7l5S5xRFiIO_z0tmCt6MelIEvPvoXtDqKuIZX7jxTMzXySV1B9pIF3ti8i_Ym1_lN7R1hJYq/s3840/MSKM6282.JPG" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="2560" data-original-width="3840" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh4aQk1K4ms3heg7J2XBbRpzVqOdQD9Lg7eAAbiFKAkEUK7MGkucn0j_-vVS0mWbrDKG-poxUBJO7KvFtEbarNFdTV7iyrFFu76IfM8c3N6KCoTQ7wxRLYz7l5S5xRFiIO_z0tmCt6MelIEvPvoXtDqKuIZX7jxTMzXySV1B9pIF3ti8i_Ym1_lN7R1hJYq/s16000/MSKM6282.JPG" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><i style="background-color: white; box-sizing: border-box; color: #222222; font-family: georgia; font-size: small;">Waimbaji wa kwaya ya Shalom wakiimba wakati wa ibaada ya maalum ya kuliombea Taifa la Tanzania katika kipindi hiki cha majanga mbalimbali leo Mkoa wa Dar es Salaam.</i><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhMLUe04-0BWcyhL5vzBdxt-Wluv_Sn6jA27FCCFmg5exBP_POtB4-CEmkzxavTbkGTmK7a_gdwCWQgSCy-9Y-9p0VVNWCgrUpLpd7LBjuB6Z_IEjrM48yhI3NSnvF3Y49ep-fMziLCR9B5qLx3CY0hUlQDNmQw6d2kVWS6O9-KpWzYIU3ytW4QyXN-Wlte/s3840/MSKM6304.JPG" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="2560" data-original-width="3840" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhMLUe04-0BWcyhL5vzBdxt-Wluv_Sn6jA27FCCFmg5exBP_POtB4-CEmkzxavTbkGTmK7a_gdwCWQgSCy-9Y-9p0VVNWCgrUpLpd7LBjuB6Z_IEjrM48yhI3NSnvF3Y49ep-fMziLCR9B5qLx3CY0hUlQDNmQw6d2kVWS6O9-KpWzYIU3ytW4QyXN-Wlte/s16000/MSKM6304.JPG" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><br /></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgRg-yrxgcHHWORTN0n28YlzA_wPKQZbx8H-7qkbQSm34OewXkj0Ojj4Sxc7IYyLna6rV_hdGK28zQVnu9q88j6UOf2sJZ_22MdtClM6iyTXLjk5j2MP1Qzq4RYvqzp_Knzi4D7NiLdalt7nKiyMCOwQFCW4sFjxZRvdMBDArfNDCX_Z1-5hJORNU15fCPO/s3840/MSKM6336.JPG" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="2560" data-original-width="3840" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgRg-yrxgcHHWORTN0n28YlzA_wPKQZbx8H-7qkbQSm34OewXkj0Ojj4Sxc7IYyLna6rV_hdGK28zQVnu9q88j6UOf2sJZ_22MdtClM6iyTXLjk5j2MP1Qzq4RYvqzp_Knzi4D7NiLdalt7nKiyMCOwQFCW4sFjxZRvdMBDArfNDCX_Z1-5hJORNU15fCPO/s16000/MSKM6336.JPG" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhI_QLT6ZXUO85oHyBTraD4MdxefniPCyGESLw2xFfDEbfr0MYi5Ha-Dmy775GsMCSPcWk4Dfobc3AydCQrYbJZkaEb-XgH2BuO0IwBJmTsBGPCrjLxtE90flg-oQLl7zxmcPriUsaizZyRKUWRDVL10PvkyIuqBIWJRRv5003KjXMtVMEK4U2euvbWgbL7/s3840/MSKM6342.JPG" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="2560" data-original-width="3840" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhI_QLT6ZXUO85oHyBTraD4MdxefniPCyGESLw2xFfDEbfr0MYi5Ha-Dmy775GsMCSPcWk4Dfobc3AydCQrYbJZkaEb-XgH2BuO0IwBJmTsBGPCrjLxtE90flg-oQLl7zxmcPriUsaizZyRKUWRDVL10PvkyIuqBIWJRRv5003KjXMtVMEK4U2euvbWgbL7/s16000/MSKM6342.JPG" /></a></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><br /></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi2nImWotmAQIvlQhRo6ieJqtVsLgdc7stiMMgww_AuGkv5fvn2CPcQHQCSv6TFUnL3krpnWGAzjDQn1-wMHVur7GAXMbRXfcKWGWjCk-u9AkWFplQE98U-vkYMq0kW6zcz45fSmY5ckxZCv6W8BMZngiq3sDiwijFm7YAOlJdBFVxOZU_UCOh1-9sX9dlL/s3840/MSKM6370.JPG" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="2560" data-original-width="3840" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi2nImWotmAQIvlQhRo6ieJqtVsLgdc7stiMMgww_AuGkv5fvn2CPcQHQCSv6TFUnL3krpnWGAzjDQn1-wMHVur7GAXMbRXfcKWGWjCk-u9AkWFplQE98U-vkYMq0kW6zcz45fSmY5ckxZCv6W8BMZngiq3sDiwijFm7YAOlJdBFVxOZU_UCOh1-9sX9dlL/s16000/MSKM6370.JPG" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgHsnwRrz2ACLust5EJ71H_u_9e8jcG1m4TiZVt7qBGn2usKjJfAbQFpANnN0i2O8L7pDFWVKR9xqOJO9zV1rxvkDZf4ew-gJHZLA0V7slQXyLbbyVB2insKlEzq8CU5xGHg2TtgrE3iTdorK3YNE1-VyVTVXczPiA1L6yn8bhb1mLMtPbid7Z4AlUDV8Zl/s3840/MSKM6376.JPG" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="2560" data-original-width="3840" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgHsnwRrz2ACLust5EJ71H_u_9e8jcG1m4TiZVt7qBGn2usKjJfAbQFpANnN0i2O8L7pDFWVKR9xqOJO9zV1rxvkDZf4ew-gJHZLA0V7slQXyLbbyVB2insKlEzq8CU5xGHg2TtgrE3iTdorK3YNE1-VyVTVXczPiA1L6yn8bhb1mLMtPbid7Z4AlUDV8Zl/s16000/MSKM6376.JPG" /></a></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><br /></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><br /></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><br /></div><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><br /></div><br /> <p></p>MICHUZI TVhttp://www.blogger.com/profile/16440062498095624014noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-33985625209304569492024-03-18T15:52:00.004+03:002024-03-18T16:06:25.927+03:00Washiriki Kutoka Tanzania na nchi kadhaa za Afrika wanahudhuria Kozi Ya ICAO Ya Wakaguzi Wa Usalama Wa Usafiri Wa Anga Inayotolewa CATC<p><br /></p><div style="text-align: justify;">Jumla ya Wakaguzi 2O kutoka Tanzania na nchi nyingine za Afrika wanahudhuria kozi ya Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga Duniani (ICAO) ya wakaguzi wa kitaifa wa Usalama wa usafiri wa anga katika Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC).</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Akifungua kozi hiyo Mkuu wa Chuo cha CATC ambaye pia ni Mkurugenzi wa Mafunzo hayo ya ICAO upande wa Usalama wa Usafiri wa Anga (ASTC) Dar es Salaam Bw. Aristid Kanje amewakaribisha washiriki hao chuoni hapo na kuwahakikishia kwamba CATC ipo katika kuhakikisha wanakamilisha lengo lao kwa kufanikisha kozi hiyo.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Kanje aliongeza kuwa wakati wa uwepo wao katika chuo cha CATC kutumia muda huo kama fursa ya kubadilishana uzoefu miongoni mwao, kwani wote wana lengo moja la kuhakikisha usafiri wa anga unakuwa salama.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Kozi hiyo ya ICAO inaendeshwa na wataalam waliothibitishwa na ICAO, Bi. Millicent Henga kutoka nchini Kenya na Bi. Kagiso Mooketsi kutoka nchini Afrika Kusini .</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Kozi hiyo iliyoanza Machi 18, 2024 itamalizika Machi 22,2024 na inahudhuriwa na jumla ya washiriki 20 idadi yao kwenye mabano kutoka Tanzania (11), Somalia (1), Nambia(1), Zambia(3) na Eswatini(4).</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">CATC moja ya vyuo vinavyotoa kozi ya Usalama wa Usafiri wa Anga (ASTC) na ni moja ya vyuo tisa vyenye sifa hizo Afrika na 35 duniani.</div><p style="-webkit-text-stroke-width: 0px; color: black; font-family: "Times New Roman"; font-size: medium; font-style: normal; font-variant-caps: normal; font-variant-ligatures: normal; font-weight: 400; letter-spacing: normal; orphans: 2; text-align: left; text-decoration-color: initial; text-decoration-style: initial; text-decoration-thickness: initial; text-indent: 0px; text-transform: none; white-space: normal; widows: 2; word-spacing: 0px;"></p><div style="-webkit-text-stroke-width: 0px; color: black; font-family: "Times New Roman"; font-size: medium; font-style: normal; font-variant-caps: normal; font-variant-ligatures: normal; font-weight: 400; letter-spacing: normal; orphans: 2; text-align: left; text-decoration-color: initial; text-decoration-style: initial; text-decoration-thickness: initial; text-indent: 0px; text-transform: none; white-space: normal; widows: 2; word-spacing: 0px;"><div style="text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjvK33ZUKTqwI9ZbTlHyZSS6NWdnAZmRkMIIDEeunCVeyB8BkSAgo3kJTP7FMS1_FCwW6tSnT1fJkD31IBPfEsf4lgHwthuOKGp0Eg7TSCMLSapYx_xpKdFp0XbdR9Klqm6LK-m3N0bFgsB_n72CzrTO1plF6NeJ4HLXW5s9MC3N-XVcEkQICLkgAKviUs/s5419/ICAO%20&%20CATC%20(192)1.JPG" style="font-family: verdana;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjvK33ZUKTqwI9ZbTlHyZSS6NWdnAZmRkMIIDEeunCVeyB8BkSAgo3kJTP7FMS1_FCwW6tSnT1fJkD31IBPfEsf4lgHwthuOKGp0Eg7TSCMLSapYx_xpKdFp0XbdR9Klqm6LK-m3N0bFgsB_n72CzrTO1plF6NeJ4HLXW5s9MC3N-XVcEkQICLkgAKviUs/s16000/ICAO%20&%20CATC%20(192)1.JPG" style="cursor: move;" /></a></div><span style="font-family: verdana;"><div style="text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhIWtou8DU896CzdW-0_FI3sXF1V6Tgg4Om1CmUg0pMb_Z2MeNy8V-pSTqKLJCp_zTxNrKvlXKyYahSeXtncmoLRgeHh5sL7daNrLcPvkCjM5yhMTFIJ2TzoZi41uhpRXh7ggD0vKDn7It7LgeDAv6DDX-PHofaKST4conuRYpjRlFXQll2yGu0mu5Av0o/s6016/ICAO%20&%20CATC%20(188)1.JPG"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhIWtou8DU896CzdW-0_FI3sXF1V6Tgg4Om1CmUg0pMb_Z2MeNy8V-pSTqKLJCp_zTxNrKvlXKyYahSeXtncmoLRgeHh5sL7daNrLcPvkCjM5yhMTFIJ2TzoZi41uhpRXh7ggD0vKDn7It7LgeDAv6DDX-PHofaKST4conuRYpjRlFXQll2yGu0mu5Av0o/s16000/ICAO%20&%20CATC%20(188)1.JPG" style="cursor: move;" /></a></div><div style="text-align: justify;">Mkuu wa Chuo cha CATC ambaye pia ni Mkurugenzi wa Mafunzo hayo ya ICAO upande wa Usalama wa Usafiri wa Anga (ASTC) Dar es Salaam Bw. Aristid Kanje akizungumza wakati wa kufungua kozi ya Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga Duniani (ICAO) kwa wakaguzi wa kitaifa wa Usalama wa usafiri wa anga inayofanyika katika Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC)</div><div style="text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhGizylcrpa4qVsQwLt_TM1eAjwbjAv8XbgvEpLKwNEyU74f-o_3W-C0i6dcz5ltet2n9RLbJElceVZZ3sFphn9eaayRGi8zkMU2BJyIKoXtsbmJdjahCKs0McryphdAe5YnOCg5u_07yDTmhtu-QxibzbVnOCRgTJ9_D-9TFBfv6-MMB_fGyQ8HRz1B7M/s6016/ICAO%20&%20CATC%20(171)1.JPG"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhGizylcrpa4qVsQwLt_TM1eAjwbjAv8XbgvEpLKwNEyU74f-o_3W-C0i6dcz5ltet2n9RLbJElceVZZ3sFphn9eaayRGi8zkMU2BJyIKoXtsbmJdjahCKs0McryphdAe5YnOCg5u_07yDTmhtu-QxibzbVnOCRgTJ9_D-9TFBfv6-MMB_fGyQ8HRz1B7M/s16000/ICAO%20&%20CATC%20(171)1.JPG" style="cursor: move;" /></a></div><div style="text-align: justify;">Mkufunzi kutoka Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC), Neema Msumi akitoa maelezo mbalimbali kuhusu chuo hicho pamoja na kujitambulisha kwa washiriki wakati wa ufunguzi wa kozi ya Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga Duniani (ICAO) kwa wakaguzi wa Kitaifa wa Usalama wa Usafiri wa Anga.</div><div style="text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhlx72n5cvHzvDWelk8whSQBp-71lG1iqF1U-qcedkVPcMktvm4stn2LE2nxfefwzch9_zPBnDR5Wi-_ga16TvOqvAMkMUtR7UEMGsOrJLFuH0Xs5by37q-fvIKpBl5AWJnXEwxIREPn0bOKozaTSuzNbBlg6yCIxd_TQTQlKb7d0TzjQNrK2xi7uMUwAQ/s5773/ICAO%20&%20CATC%20(166)1.JPG"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhlx72n5cvHzvDWelk8whSQBp-71lG1iqF1U-qcedkVPcMktvm4stn2LE2nxfefwzch9_zPBnDR5Wi-_ga16TvOqvAMkMUtR7UEMGsOrJLFuH0Xs5by37q-fvIKpBl5AWJnXEwxIREPn0bOKozaTSuzNbBlg6yCIxd_TQTQlKb7d0TzjQNrK2xi7uMUwAQ/s16000/ICAO%20&%20CATC%20(166)1.JPG" style="cursor: move;" /></a></div><div style="text-align: justify;">Mkufunzi kutoka Afrika Kusini Kagiso Mooketsi akitoa utambulisho pamoja na kuzungumzia kwa ufupi kuhusu kozi hiyo itakavyendeshwa wakati wa ufunguzi wa kozi ya Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga Duniani (ICAO) ya wakaguzi wa kitaifa wa Usalama wa usafiri wa anga katika Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC)</div></span></div><p><span style="font-family: verdana;"></span></p><div><div style="text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh1NJ7x5aLStPCvERh9M4fg5EW-AQeo4NGLiFXmT9hlL7Sgj8Yximnw8UuxTAbcdgSdZoBOJYG61Va0oldhMO9PXVM8YYitrNx1d3Y98YCXM85zly9I0V0B1lijbqolRnH339Hd9YtzY6Jzvwamfxh0tFvuOBch5CpVmk5JQSUw2Oa5gTyz5vvA9m6Gjb0/s6016/ICAO%20&%20CATC%20(159)1.JPG" style="font-family: verdana;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh1NJ7x5aLStPCvERh9M4fg5EW-AQeo4NGLiFXmT9hlL7Sgj8Yximnw8UuxTAbcdgSdZoBOJYG61Va0oldhMO9PXVM8YYitrNx1d3Y98YCXM85zly9I0V0B1lijbqolRnH339Hd9YtzY6Jzvwamfxh0tFvuOBch5CpVmk5JQSUw2Oa5gTyz5vvA9m6Gjb0/s16000/ICAO%20&%20CATC%20(159)1.JPG" /></a></div><span style="font-family: verdana;"><div style="text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjrplKSaQJ_cF8I7jVez4aV2R8K_9818NTnRX-oR-QY4hlDRVrbvw5WefcTMgE-XFakf7YInbgjkRgPW99AwzBJ3E33Ijk1sGnq9HTxLnNVL-s_sxkXXp0R8lPDZW7rmy6bx0wo0cNsFu1dt8kGwE80AlbYUo2T3G4rJKICL8804BnTLEKDQDLlG_IF_3A/s5363/ICAO%20&%20CATC%20(160)1.JPG"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjrplKSaQJ_cF8I7jVez4aV2R8K_9818NTnRX-oR-QY4hlDRVrbvw5WefcTMgE-XFakf7YInbgjkRgPW99AwzBJ3E33Ijk1sGnq9HTxLnNVL-s_sxkXXp0R8lPDZW7rmy6bx0wo0cNsFu1dt8kGwE80AlbYUo2T3G4rJKICL8804BnTLEKDQDLlG_IF_3A/s16000/ICAO%20&%20CATC%20(160)1.JPG" /></a></div><div style="text-align: justify;">Mkufunzi kutoka Kenya Millicent Henga akijitambulisha pamoja na kutoa maelezo mafupi ya kozi zitakazofundishwa kwenye kozi maalum ya Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga Duniani (ICAO) kwa wakaguzi wa kitaifa wa Usalama wa usafiri wa anga inayofanyika katika Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC).</div><div style="text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjh5pfgqeZcUxcf3P6urE-0FpTg8E13zB6UukmpPVRHMKaSlFSM7KqrzN1DWbUlXJM8Y79PkXjBm6PBKR0mfCEuT6FrtJ4ode4JmoY3bJVB2zCXiLnmBepZHT9_NCrpd_JuGbni2DIW_DDD3WvS8VrJUant7-ecpKIWuBnn7I74YU8nPY82_xoF_mEsdMQ/s5829/ICAO%20&%20CATC%20(199)1.JPG"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjh5pfgqeZcUxcf3P6urE-0FpTg8E13zB6UukmpPVRHMKaSlFSM7KqrzN1DWbUlXJM8Y79PkXjBm6PBKR0mfCEuT6FrtJ4ode4JmoY3bJVB2zCXiLnmBepZHT9_NCrpd_JuGbni2DIW_DDD3WvS8VrJUant7-ecpKIWuBnn7I74YU8nPY82_xoF_mEsdMQ/s16000/ICAO%20&%20CATC%20(199)1.JPG" /></a></div><div style="text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiAgzj3QbeENqTrArFzViPB3UPIe1rD6h9jLgpkUXJLW_V-RGP1pjB0jTLJukLsRJFPR6Cd_fXPaLicxdccEv47DCs_SdnJGaRAmC_8NdTvMZN9VCjHcqVxvrZB7QS4D4Upic74XEbDkIPtPY7yA9RIQJXHFdkx5m6iFtZyYBTP1doqBV3UdmUxFq89PiQ/s5792/ICAO%20&%20CATC%20(197)1.JPG"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiAgzj3QbeENqTrArFzViPB3UPIe1rD6h9jLgpkUXJLW_V-RGP1pjB0jTLJukLsRJFPR6Cd_fXPaLicxdccEv47DCs_SdnJGaRAmC_8NdTvMZN9VCjHcqVxvrZB7QS4D4Upic74XEbDkIPtPY7yA9RIQJXHFdkx5m6iFtZyYBTP1doqBV3UdmUxFq89PiQ/s16000/ICAO%20&%20CATC%20(197)1.JPG" /></a></div><div style="text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhbQ_byOYe7MP3-Rr-eCP9VY4RabgagnMyDFgLg3UDeOEpGNaglhHaxgkBAc1PsXko6uSLVwWruDkkdRC6d30LP0pVcM_STZCa0WkwC6clOagiZMQB1eWUetW-gze_mDgLSqTA2ySFckr2AOaT_m6smu2KYb_HcVk7M72tmG9yHRQQvJqt3IsrewrZx_hw/s5512/ICAO%20&%20CATC%20(195)1.JPG"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhbQ_byOYe7MP3-Rr-eCP9VY4RabgagnMyDFgLg3UDeOEpGNaglhHaxgkBAc1PsXko6uSLVwWruDkkdRC6d30LP0pVcM_STZCa0WkwC6clOagiZMQB1eWUetW-gze_mDgLSqTA2ySFckr2AOaT_m6smu2KYb_HcVk7M72tmG9yHRQQvJqt3IsrewrZx_hw/s16000/ICAO%20&%20CATC%20(195)1.JPG" /></a></div><div style="text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi06XkaVPYGxSvZCUjzu3NfVUX42v4q0dH4G1hJsAq1ueduA0uDtxAbNQwGepjB88ubCbb6KfrcHn596JjEgJvbdNft6s-ESOVDxk-TKwBLOzNcRv78LIuA6GQJn4zbcECP2IDIt9R7aIa6gSw_3wzui-JcF01MBhedoQlvRN425v0FzxRnhV5gYJWDj6c/s5828/ICAO%20&%20CATC%20(194)1.JPG"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi06XkaVPYGxSvZCUjzu3NfVUX42v4q0dH4G1hJsAq1ueduA0uDtxAbNQwGepjB88ubCbb6KfrcHn596JjEgJvbdNft6s-ESOVDxk-TKwBLOzNcRv78LIuA6GQJn4zbcECP2IDIt9R7aIa6gSw_3wzui-JcF01MBhedoQlvRN425v0FzxRnhV5gYJWDj6c/s16000/ICAO%20&%20CATC%20(194)1.JPG" /></a></div><div style="text-align: justify;">Baadhi ya washiriki wa kozi ya Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga Duniani (ICAO) ya wakaguzi wa kitaifa wa Usalama wa usafiri wa anga wakifuatilia hotuba ya kufunguzi iliyokuwa inatolewa na Mkuu wa Chuo cha CATC ambaye pia ni Mkurugenzi wa Mafunzo hayo ya ICAO upande wa Usalama wa Usafiri wa Anga (ASTC) Dar es Salaam Bw. Aristid Kanje.</div><div style="text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj6gOno9o6BU7UeRREuXDRxllI1_aP3FjqMgap5W-o5mlH4K8CaBX4e7VTr4b1Hrs_ofTAyRVOZF-3te2ibkl_FBtnhWdZuktUEJbnjdWfcKplCGr_DbGi_jIM4MIIc04XW5DLTCA4bhSVjWZeGFnoOkjw8RcXYOs_aLXU2qzv1bjDfksIVyghiToaYS_k/s4803/ICAO%20&%20CATC%20(207)1.JPG"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj6gOno9o6BU7UeRREuXDRxllI1_aP3FjqMgap5W-o5mlH4K8CaBX4e7VTr4b1Hrs_ofTAyRVOZF-3te2ibkl_FBtnhWdZuktUEJbnjdWfcKplCGr_DbGi_jIM4MIIc04XW5DLTCA4bhSVjWZeGFnoOkjw8RcXYOs_aLXU2qzv1bjDfksIVyghiToaYS_k/s16000/ICAO%20&%20CATC%20(207)1.JPG" /></a></div><div style="text-align: justify;">Mkuu wa Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC) Aristid Kanje akiwa kwenye picha ya pamoja na wataalam waliothibitishwa na ICAO, Bi. Millicent Henga kutoka nchini Kenya na Bi. Kagiso Mooketsi kutoka nchini Afrika Kusini, wakufunzi wa CATC Dar es Salaam pamoja na washiriki wa kozi ya Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga Duniani (ICAO) ya wakaguzi wa kitaifa wa Usalama wa Usafiri wa Anga.</div></span></div>Ahmad Michuzihttp://www.blogger.com/profile/03608058217608553857noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-15418789633454386652024-03-18T15:27:00.002+03:002024-03-18T15:27:38.827+03:00 LAAC yatoa siku moja kwa halmashauri kuwasilisha madai yao dhidi ya MSD<span style="font-family: verdana; font-size: small;">Angela Msimbira KAGERA<br /><br />Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa(LAAC) imetoa siku moja kwa halmashauri zote za Mkoa wa Kagera kuainisha madai yote ya vifaa na vifaa tiba wanayoidai Bohari Kuu ya Dawa (MSD).<br /><br />Agizo hilo limetolewa leo machi 17,2024 na Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Stanslaus Mabula baada ya kufika kwenye Hospitali ya Halmashauri ya Misenyi na kukuta MSD inadaiwa vifaa na vifaa tiba vyenye thamani ya Shilingi milioni 400.<br /><br />“Niangize halmashauri zote za Mkoa wa Kagera kuainisha mnachoidai MSD hadi ifikapo kesho wakati wa kufanya majumuisho ili kamati ijiridhishe na kuelekeza yashughulikiwe kwa wakati.”<br /><br />Kwa upande wake Meneja wa MSD Kanda ya Kagera Kalendero Masatu amesema, MSD imefanya maboresho makubwa ya kusambaza bidhaa za afya ambazo halmashauri za mkoa wa Kagera zinaidai MSD kuanzia mwaka 2021/23.<br /><br />Aidha, aliyeongoza kikao cha Kamati, Mhe. Daimu Mpakate ambaye ni Mbunge wa Tunduru Kusini ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi kufanya tathmini ya mazingira kabla ya utekelezaji wa miradi kutokana na unyevunyevu unaolikabili eneo hilo.<br /><br />“Hakikisheni mnatengeneza muundo mahususi kwa ajili ya ujenzi wa majengo kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi kutokana na unyevunyevu wa ardhi uliopo.”<br /><br />Pia amewataka kuhakikisha wanatumia mapato ya ndani ili kukamilisha ujenzi wa shule ya Sekondari Kitoga na Hospitali ya Wilaya ya Missenyi ili majengo yatumike ipasavyo kutoa huduma kwa jamii kama ilivyokusudiwa.<br /><br />Mpakate pia ameishauri halmashauri hiyo kuhakikisha wanasimamia miradi ya maendeleo kikamilifu ili kiwango cha fedha kinachotumika kiendane na ubora wa majengo yanayojengwa.<br /><br />Pamoja na ushauri huo, Kamati iliupongeza uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi kwa usimamizi mzuri wa ujenzi wa miundombinu ya hospitali hiyo.<br /><br />Naye, Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI anayeshughulikia afya Dkt.Charles Mahera amesema TAMISEMI itaendelea kuzisimamia Mamlaka za Serikali za Mitaa nchi nzima ili ziweze kukamilisha miradi kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa ili thamani ya fedha iendane na miradi inayotekelezwa.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEitr_s9F_mxeHLtbCJGHv-xMaes6lncIE7qMN05ksd4VD7273_626sZRB_ADeVytp9hoxu6u4IfTnVtFCws-ost976frbQ-zol8d7PUpDHlP7xNgFgPGsh0BE04aDqT41y9sp0Uw8xA8Twi7LBXTCDDH74SOq82VfHnSJgFC68i4p5e-9UDGyYvGHPVHJs/s1080/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2019.18.08%20%281%29.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEitr_s9F_mxeHLtbCJGHv-xMaes6lncIE7qMN05ksd4VD7273_626sZRB_ADeVytp9hoxu6u4IfTnVtFCws-ost976frbQ-zol8d7PUpDHlP7xNgFgPGsh0BE04aDqT41y9sp0Uw8xA8Twi7LBXTCDDH74SOq82VfHnSJgFC68i4p5e-9UDGyYvGHPVHJs/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2019.18.08%20%281%29.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgD3qSCiK5nA1G6_-KHPXSOkH0Zoo1PorjixabvXh87wB0rAJ6UITl3j3rlNcXNhayOChxkKDfqbBwtnIwUpjL0rwi3E1pgQ9D5qDbWjP1Ie4zz11u256E_oBmdZZ6d_4je3ScU343sfdOJ-Cr6oIjJe7sta51pmKaJt2M578XpqGAHx3qIRQvAipyDQk0/s1080/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2019.18.08.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgD3qSCiK5nA1G6_-KHPXSOkH0Zoo1PorjixabvXh87wB0rAJ6UITl3j3rlNcXNhayOChxkKDfqbBwtnIwUpjL0rwi3E1pgQ9D5qDbWjP1Ie4zz11u256E_oBmdZZ6d_4je3ScU343sfdOJ-Cr6oIjJe7sta51pmKaJt2M578XpqGAHx3qIRQvAipyDQk0/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2019.18.08.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiMVHYtmxIfAGfqUypW2Is5d9S1badMl0n13VURYRCQzm-6Y8_zs7Mmbx_hubtuGunAogHBnfmp4scCvVRKXKKLLkSt4D2b8wMoyVNqcERcLkcm9Zhs_UIRReOiK7wknsbPJKV4sC11OA0Z0U_MlbElojftmkmuZOYmwjuDYgFkfXmp9GFKX9UjMLrm6Lc/s1080/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2019.18.09%20%281%29.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiMVHYtmxIfAGfqUypW2Is5d9S1badMl0n13VURYRCQzm-6Y8_zs7Mmbx_hubtuGunAogHBnfmp4scCvVRKXKKLLkSt4D2b8wMoyVNqcERcLkcm9Zhs_UIRReOiK7wknsbPJKV4sC11OA0Z0U_MlbElojftmkmuZOYmwjuDYgFkfXmp9GFKX9UjMLrm6Lc/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2019.18.09%20%281%29.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgs3Fy-r_S7q7sps2-ayksoiaNQ1Hie7Z80_QdhcQj9xJSsj6W72K5XwfyXQWNBzq-TlL2QH2sdw1zobInRqnhtu0fzzsEHl6ejsXGAZPXSu9VpN5CTRAJ8DcFeyCRjB-a4nXsK4hlNQet_rzUQCkZ-A8mVIhSdyulvzAOj50tP5RAowIaDeu1Ld2D9yHE/s1080/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2019.18.09.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgs3Fy-r_S7q7sps2-ayksoiaNQ1Hie7Z80_QdhcQj9xJSsj6W72K5XwfyXQWNBzq-TlL2QH2sdw1zobInRqnhtu0fzzsEHl6ejsXGAZPXSu9VpN5CTRAJ8DcFeyCRjB-a4nXsK4hlNQet_rzUQCkZ-A8mVIhSdyulvzAOj50tP5RAowIaDeu1Ld2D9yHE/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2019.18.09.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhqEGnRPR3nMngJ5WKnExCuELr3YUCWXkGbBy_6-mvq7DfU7GItfVKNBCUg9H-PWQLaskcd8LreGX0uT-2oMS3cvYL7kegT0_ffBwEhJ_V941n4BckDkNt4TdILYdogkUilJNYzk8DdIsKXMy6R9No3Mx1wT9fFSjj0Wace9JdCdxST0HCTMmtFNzhJ-Q0/s1080/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2019.18.10.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhqEGnRPR3nMngJ5WKnExCuELr3YUCWXkGbBy_6-mvq7DfU7GItfVKNBCUg9H-PWQLaskcd8LreGX0uT-2oMS3cvYL7kegT0_ffBwEhJ_V941n4BckDkNt4TdILYdogkUilJNYzk8DdIsKXMy6R9No3Mx1wT9fFSjj0Wace9JdCdxST0HCTMmtFNzhJ-Q0/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2019.18.10.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhRE7R44wL9uPey3RqxVvtMalwnTHJQQcLmD8UNvwNMQc3h5fvUC1ufkEneMrvSt6MfAOcgeMA0o7NFSB4WUCkIviJ7GJBEqUwT8J4vCihms2uwNxuLobsxWSjCCY3aIGwtuL1yJTZa6hAO93H37uwGkwTFOSYp1cAteBJ9U7a5Ton35BOHrnt_kDI75VA/s1080/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2019.18.11.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhRE7R44wL9uPey3RqxVvtMalwnTHJQQcLmD8UNvwNMQc3h5fvUC1ufkEneMrvSt6MfAOcgeMA0o7NFSB4WUCkIviJ7GJBEqUwT8J4vCihms2uwNxuLobsxWSjCCY3aIGwtuL1yJTZa6hAO93H37uwGkwTFOSYp1cAteBJ9U7a5Ton35BOHrnt_kDI75VA/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2019.18.11.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjiyxZRZN4f3181QZOYp_tPN-XTkjv2yS7EAWdVYli5AMkQkJFapL188yDM4Jc-lkhQqZf3G1__Rwt-9RVW8-AMpeoOiAh3AvLgum290lvRofaTfbgqepU0S9_oClTUbNGDsthYkmJXuN0QjtnrgexcJTIWKpWbGFLY22tfsTnhsCm0n70hQMbdxLWN35s/s1080/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2019.18.12.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjiyxZRZN4f3181QZOYp_tPN-XTkjv2yS7EAWdVYli5AMkQkJFapL188yDM4Jc-lkhQqZf3G1__Rwt-9RVW8-AMpeoOiAh3AvLgum290lvRofaTfbgqepU0S9_oClTUbNGDsthYkmJXuN0QjtnrgexcJTIWKpWbGFLY22tfsTnhsCm0n70hQMbdxLWN35s/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2019.18.12.jpeg" /></a></span>Ahmad Michuzihttp://www.blogger.com/profile/03608058217608553857noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-48214860025847047372024-03-18T14:30:00.001+03:002024-03-18T19:42:14.581+03:00 JOKER ICE FRENZY EPIC KASINO YENYE BONASI KUBWA<p> <img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjlthVQ6_yxjuuhn2XG__9S2p7Sl8XWaDwp9RFM8xl1OuLER-x0Ga5cVxxxYFjGZdSJLyUpnOcqjGMwc1YbgS-5nNWc6dkq-bRyvGiu7fCMfvgRuvuzryQtaAW_RKP6rqvsZw1aYl6RMM1X-moD6CVLsytNOvAx6wTPPcIGNZKuc6iVqq4USt804w/s16000/Jokeri.jpg" style="font-family: verdana; text-align: justify;" /></p><span style="font-family: verdana;"><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">JOKER ICE FRENZY EPIC STRIKE ni <a href="https://meridianbet.co.tz/sw/kasino/category/slots/5454">sloti</a> iliyopo kwenye <a href="https://a.meridianbet.co.tz/c/r7T2yx">kasino ya mtandaoni</a> ya Meridianbet ina nguzo tano zilizopangwa kwenye mistari mitatu yenye njia 20 za malipo. Ili kupata ushindi wowote, ni lazima kupata alama tatu au zaidi kwenye mstari wa malipo.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div></span><div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Mtiririko wowote wa ushindi, isipokuwa wale wenye alama za sketi na bonasi za kasino huhesabiwa kutoka kushoto kwenda kulia kuanzia nguzo ya kwanza upande wa kushoto.</span></div><span style="font-family: verdana;"><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Katika <a href="https://a.meridianbet.co.tz/c/r7T2yx">kasino ya mtandaoni</a> hii unaweza kupata ushindi mmoja kwenye mstari mmoja wa malipo. Ikiwa una muunganiko wa ushindi zaidi kwenye mstari mmoja wa malipo, utalipwa ushindi wenye thamani kubwa zaidi.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Kiwango kikubwa cha ushindi kinawezeka ikiwa kitaunganishwa kwenye ushindi zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja</div><div style="text-align: justify;"><br /></div></span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Ndani ya eneo la Bet, kuna vitufe vya plus na minus ambavyo unaweza kutumia kubadilisha thamani ya dau kwa kila mzunguko. Wachezaji wakubwa watapenda sana kitufe cha Max Bet. Kwa kubonyeza eneo hili, unaweza kuweka moja kwa moja dau kubwa zaidi kwa kila mzunguko.</span></div><div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"><br /></span></div><span style="font-family: verdana;"><div style="text-align: justify;">Kuna pia chaguo la Autoplay unaloweza kulifanya wakati wowote. Unaweza kuweka hadi mizunguko 100 kwa pamoja kupitia chaguo hili.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Ikiwa unapenda mchezo wenye kasi zaidi, wezesha mizunguko ya haraka kwa kubonyeza eneo lenye picha ya radi. <a href="https://a.meridianbet.co.tz/c/Drnar0">Jisajili na Meridianbet</a> kasino ya mtandaoni kufurahia mchezo huu.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Alama za sloti ya Joker Ice Frenzy Epic Strike.</div><div style="text-align: justify;">Linapokuja suala la alama za <a href="https://meridianbet.co.tz/sw/kasino/category/slots/5454">mchezo wa kasino</a>, malipo ya chini zaidi ni cherry, alama za Bar, kengele, na nyota. Ni muhimu kusema kwamba alama zote za mchezo huu zimeganda.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Alama za kimsingi zenye nguvu za malipo ni alama za Lucky 7 moja, mbili, na tatu. Thamani kubwa kati yao ni Lucky 7 tatu. Ikiwa unapata alama tano za hizi katika mtirirko wa ushindi, utashinda mara 37.5 zaidi ya dau lako.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Jambo kubwa ni kwamba unaweza kuunda safu ya ushindi kutoka kwa alama tofauti za Lucky 7 pia. Kwa kweli, malipo ni kidogo kidogo wakati huo.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Joker anawakilishwa na nembo ya wild. Inachukua nafasi ya alama zote, isipokuwa bonasi na sketi, na kuwasaidia kuunda muunganiko wa ushindi.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Wakati huo huo, hii ni alama yenye nguvu ya malipo. Ikiwa unakusanya alama tano za hizi katika muunganiko wa ushindi, utashinda mara 125 ya dau lako.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">NB: <a href="https://a.meridianbet.co.tz/c/Drnar0">Jisajili na Meridianbet</a> na cheza michezo ya kasino ya mtandaoni upate ushindi kirahisi, Pia ongeza maokoto yako kwa kubashiri michezo mbalimbali yenye <a href="https://a.meridianbet.co.tz/c/iHj43R">ODDS KUBWA</a>. PIGA *149*10# AU tembelea tovuti yao meridianbet.co.tz</div></span></div>MICHUZI BLOGhttp://www.blogger.com/profile/04130017808001951362noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-25427777837796866962024-03-17T22:39:00.000+03:002024-03-17T22:39:03.442+03:00TANZANIA NA ITALIA KUIMARISHA USHIRIKIANO SEKTA ZA KIMKAKATI<p> <a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi6mTx-5-GOqHv7IODbYVCxKaO4AcBn_9ql6Jc0fV8MSAfKPoOu0wbB0y1hR1zWDxU78l7mZuv1KXe_2h2ukAy735bP-ixM38vTL-8j7AEu0XefWXEHzEL311QIH6SbhsFNWnAU6Xzbd_vKlL3MsP-u38sg6Ug8ULw07yagnh1hctgCKpjJg4K-vg/s1600/B.jpeg" style="font-family: verdana; text-align: justify;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi6mTx-5-GOqHv7IODbYVCxKaO4AcBn_9ql6Jc0fV8MSAfKPoOu0wbB0y1hR1zWDxU78l7mZuv1KXe_2h2ukAy735bP-ixM38vTL-8j7AEu0XefWXEHzEL311QIH6SbhsFNWnAU6Xzbd_vKlL3MsP-u38sg6Ug8ULw07yagnh1hctgCKpjJg4K-vg/s16000/B.jpeg" /></a><span style="font-family: verdana; text-align: justify;">Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Italia, Balozi Riccardo Guariglia akiteta jambo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbaouk (kulia) wakati wa Iftari iliyoandaliwa na Ubalozi wa Italia nchini Tanzania jana jioni Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Balozi wa Italia nchini, Mhe. Marco Lombardi.</span></p><span style="font-family: verdana;"><div style="text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjL-KfBNJlMg9iM-utWet90P8vM64NAxcYoXS-9k1t1KyVS3zwNfYVk6cLlGbZWc2m5fg5-siP0WSYfF-RNJ_DPKvIT7w7Pz1MCgZjtaYuMgDWPm-XgrX_b5xbFPW4q6L3p-sDgVe9jnMp8Y0OTnn5txdhAmeNCLJ23WUCFizsca6F1hSP0ks7xLg/s1600/D.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjL-KfBNJlMg9iM-utWet90P8vM64NAxcYoXS-9k1t1KyVS3zwNfYVk6cLlGbZWc2m5fg5-siP0WSYfF-RNJ_DPKvIT7w7Pz1MCgZjtaYuMgDWPm-XgrX_b5xbFPW4q6L3p-sDgVe9jnMp8Y0OTnn5txdhAmeNCLJ23WUCFizsca6F1hSP0ks7xLg/w640-h426/D.jpeg" /></a>Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbaouk akistoa hotuba yake wakati wa Iftari iliyoandaliwa na Ubalozi wa Italia nchini Tanzania jana jioni Jijini Dar es Salaam</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhYtkMqyGrYkZw8353rZL3Nsrk9nrKaFiSREl4s6gUGohlN0zMI4utK61ihtumwzbDDbJDVbO5BprTI2ZA1vBYel2QflpRA-qGR1UHONFRvt9nCVIYIUnESorjKeQ4HHoCTMi4ovuppTtMo2Dza5uOuXn74ximpoWasvtIMwSpRbtcEFA_Hf25wHQ/s1600/A.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhYtkMqyGrYkZw8353rZL3Nsrk9nrKaFiSREl4s6gUGohlN0zMI4utK61ihtumwzbDDbJDVbO5BprTI2ZA1vBYel2QflpRA-qGR1UHONFRvt9nCVIYIUnESorjKeQ4HHoCTMi4ovuppTtMo2Dza5uOuXn74ximpoWasvtIMwSpRbtcEFA_Hf25wHQ/w640-h426/A.jpeg" /></a></div><div style="text-align: justify;">Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbaouk akisalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Italia, Balozi Riccardo Guariglia wakati wa Iftari iliyoandaliwa na Ubalozi wa Italia nchini Tanzania jana jioni Jijini Dar es Salaam</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">SERIKALI ya Tanzania na Italia zimeahidi kuimarisha ushirikiano katika sekta za kimkakati ambazo ni kilimo, nishati, elimu pamoja na uchumi wa buluu kwa maslahi ya pande zote mbili.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Ahadi hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbaouk (Mb.) alipokutana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Italia, Balozi Riccardo Guariglia wakati wa Iftari iliyoandaliwa na Ubalozi wa Italia nchini Tanzania jana jioni.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Balozi Mbarouk ameipongeza Serikali ya Italia kwa kuipa Serikali ya Tanzania kipaumbele cha kuwa moja kati ya nchi nne za Bara la Afrika zitakazonufaika na mpango mpya wa kimkakati wa Mattei (Mattei Plan). “Tanzania tunaamini kuwa kupitia mpango wa Mattei ushirikiano wa kiuchumi kati yetu na Italia utazidi kuimarika,” alisema Balozi Mbarouk.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Balozi Mbarouk aliongeza kuwa mpango wa mattei utainua sekta za kimkakati ambazo ni kilimo, nishati, elimu na uchumi wa buluu kwa upande wa Zanzibar, Sekta hizi zimepewa kipaumbele kufuatia umuhimu wake katika kukuza uchumi.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Pamoja na masuala mengine Tanzania imeihakikishia Italia ushirikiano katika kuunda kamati ya kuratibu mpango wa mattei ambayo itahakikisha sekta za kimkakati zilizoainishwa katika mpango huo zinananufaika kama ilivyopangwa kwa maslahi ya pande zote mbili.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Kwa upande wake Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Italia, Balozi Riccardo Guariglia alisema kuwa Italia ni rafiki wa Tanzania wa muda mrefu na mataifa hayo yamekuwa yakishirikiana katika sekta mbalimbali. Hivyo mpango wa Mattei ni moja ya njia za kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi baina ya Italia na Tanzania na Afrika kwa ujumla.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">“Tupo hapa kuonesha na kuhakikisha kuwa Tanzania inanufaika na mpango wa mattei, lakini pia kuiona Afrika ikifanikisha kuweka vipaumbele vya malengo na kutekeleza majukumu yake kupitia mpango wa mattei kwa ufanisi,” alisema Balozi Guariglia</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Balozi Guariglia aliongeza kuwa lengo la mpango wa mattei ni kuendelea kuimarisha uchumi wa Bara la Afrika kwa kuzishirikisha sekta za umma na binafsi za Italia katika kufadhili mpango huo kwa maslahi ya pande zote mbili.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Mwezi Januari 2024, baada ya kumalizika kwa mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na Italia, serikali ya nchi hiyo iliahidi kutuma ujumbe wa wataalam kutoka Chemba ya Biashara ya Italia kuja Tanzania kwa ajili ya kukutana na timu ya wataalam ya upande wa Tanzania kwa lengo la kukamilisha hatua za awali za utiaji saini wa ushirikiano za kutekeleza mpango wa mattei.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Aidha, katika kutekeleza hilo, mwezi Machi 15, 2024 Ujumbe wa Italia ukiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Ushirikiano wa Maendeleo katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ya Italia, Mhe. Stefano Gatti ulikutana na timu ya wataalamu wa Tanzania na kuainisha sekta za kipaumbele zitakazo nufaika na mpango mpya wa kimkakati wa Mattei (Mattei Plan).</div></span>MICHUZI BLOGhttp://www.blogger.com/profile/04130017808001951362noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-90870773026256640682024-03-17T22:26:00.003+03:002024-03-17T22:26:59.535+03:00KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA YATEMBELEA MAGHALA YA JESHI NA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI<p><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg2AMD9mIjKMMXKwqZeR7bjsf53TcSP4OSozOehaUC1CnZrCWq3sMGKbmbXBLlNF8tbWbT2D7z9gpY6gcw_b7dgWmqCg-l78SFdbdraxAnbquz2-iWRCbTDt2Jp_VUGLp9W6sIoFhpUJ5hSMXqpw2yego_UlpTctJvC5PcDLUnWb_orsZf-742ufK9ftbg/s1600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%202.51.04%20PM.jpeg" style="font-family: verdana; text-align: justify;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg2AMD9mIjKMMXKwqZeR7bjsf53TcSP4OSozOehaUC1CnZrCWq3sMGKbmbXBLlNF8tbWbT2D7z9gpY6gcw_b7dgWmqCg-l78SFdbdraxAnbquz2-iWRCbTDt2Jp_VUGLp9W6sIoFhpUJ5hSMXqpw2yego_UlpTctJvC5PcDLUnWb_orsZf-742ufK9ftbg/w640-h426/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%202.51.04%20PM.jpeg" /></a> <span style="font-family: verdana; text-align: justify;">*Wafurahishwa Na Utekelezaji Wa Miradi Hiyo</span></p><span style="font-family: verdana;"><div style="text-align: justify;">WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Stergomena Tax, leo Machi 16, 2024 ameshiriki katika ziara ya Kikazi ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya mambo ya Nje,Ulinzi na Usalama kukagua miradi ya maendeleo unayoendeshwa na Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga kupitia Jeshi la Ulinzi wa Tanzania Maghala ya Kuifadhia VIfaa ya Gongolamboto na Chuo cha Ulinzi wa Taifa, Kunduchi, Dar-es-salaam.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Kamati hiyo ya Bunge ya Nje,Ulinzi na Usalama iliongozwa na Mwenyekiti wake Mheshimiwa Vita Rashid Mfaume Kawawa ilikagua utekelezaji wa mradi wa maghala mapya yanayojengwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kambi ya Gongolamboto na baadaye kamati hiyo pamoja na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ilitembelea Chuo cha Taifa cha Ulinzi ambapo pia ilikagua mradi wa Ujenzi wa nyumba za makazi za washiriki wa kozi za chuo hicho.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nje ,Ulinzi na Usalama iliipongeza Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa katika kusimamia miradi hiyo ya Kimkakati Jeshini na kwa kuhakikisha pesa inayotolewa na Serikali inatimiza malengo yaliyokusudiwa. Aidha Kamati hiyo ya Bunge imeonyesha kufurahishwa Ubora wa majengo na Maghala hayo yanayojengwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania.<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhgo1P0rKC3RiUxiuFrjcZ7CwZPjahmoQtmF2MGYh8t9PR475Uy76GBXABs2VFjOpLQeNjeqi6rOJt7-c47xO0KkfwTaapJtlNEWmzgKwms30Xao-fu-f1vusVd7LoK3JGQfhvKdLI_6773RCXQ2T4q4IzsuDkT9-5Jpln7Yq3_OMLFrVGfZU1cCdFRszo/s1600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%202.50.59%20PM.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhgo1P0rKC3RiUxiuFrjcZ7CwZPjahmoQtmF2MGYh8t9PR475Uy76GBXABs2VFjOpLQeNjeqi6rOJt7-c47xO0KkfwTaapJtlNEWmzgKwms30Xao-fu-f1vusVd7LoK3JGQfhvKdLI_6773RCXQ2T4q4IzsuDkT9-5Jpln7Yq3_OMLFrVGfZU1cCdFRszo/w640-h426/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%202.50.59%20PM.jpeg" /></a></div></span><span style="font-family: verdana;"><div style="text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhPg6R-h_6nejQbguj60TRkqo4v1SkkXgeIrXyWSfdfhbejcKNE1WxcHgKy_v6O0y72ZAzFUmzlbPAwBIrYi9OscVG_qU9tXeNdz-pKIt3nnwSacRWxSOJYiU4WVfSBFhUkNwetZmacgSykOX9eVBkG_biYRO6VA0tBkcE9QaNQzqFhvMfQFgjnHMwoAc0/s1600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%202.50.58%20PM.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhPg6R-h_6nejQbguj60TRkqo4v1SkkXgeIrXyWSfdfhbejcKNE1WxcHgKy_v6O0y72ZAzFUmzlbPAwBIrYi9OscVG_qU9tXeNdz-pKIt3nnwSacRWxSOJYiU4WVfSBFhUkNwetZmacgSykOX9eVBkG_biYRO6VA0tBkcE9QaNQzqFhvMfQFgjnHMwoAc0/w640-h426/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%202.50.58%20PM.jpeg" /></a></div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiXquWmwhrY4aInMxwsEQBO-tXs6q9k2fFDwhhapOjQYjyOWzFNEdj5gLuVyXL9Kvr-NpNO-_9dU6ZW1aJQmWhPE6Heep2QCPCcxxpwpSFA4nL2ivNESowUHcx6YmqTxInARPdfpLXmaTG5z3palBX18JQ6cCmnz7OOVWNKjzv1pZPpRX_F3pr6LuqlY1Y/s1600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%202.51.01%20PM.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiXquWmwhrY4aInMxwsEQBO-tXs6q9k2fFDwhhapOjQYjyOWzFNEdj5gLuVyXL9Kvr-NpNO-_9dU6ZW1aJQmWhPE6Heep2QCPCcxxpwpSFA4nL2ivNESowUHcx6YmqTxInARPdfpLXmaTG5z3palBX18JQ6cCmnz7OOVWNKjzv1pZPpRX_F3pr6LuqlY1Y/w640-h426/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%202.51.01%20PM.jpeg" /></a></div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhSXCyDsHJvkdzA_TFKu7HFNKLmxVeqQ_Qhc4-Ko-XbUj4piha_sm8LJOsI_UMAgBj-9TMRSzsLmt9DJw8Z5A5HefjtWnapGekKiNrfPKg1_UI46827bXyvPbVyyL-irbkEjccYa5DSQL8iCMHT5itbGKsIkZGacDF4KwZp2dU9gUAKsjPVKm0Ol7gQzRw/s1600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%202.51.01%20PM%20(1).jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhSXCyDsHJvkdzA_TFKu7HFNKLmxVeqQ_Qhc4-Ko-XbUj4piha_sm8LJOsI_UMAgBj-9TMRSzsLmt9DJw8Z5A5HefjtWnapGekKiNrfPKg1_UI46827bXyvPbVyyL-irbkEjccYa5DSQL8iCMHT5itbGKsIkZGacDF4KwZp2dU9gUAKsjPVKm0Ol7gQzRw/w640-h426/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%202.51.01%20PM%20(1).jpeg" /></a></div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgS5enG-neh9UdiCYOGoPwz5v9vC67Nz-qogjPR2V0ZGUxnwOqB9Nq_7S8Eg0XSW4-xGpZasvYWKH0_VjthpskLWobhyVAd4D00N0A0IDMvhXbODAeE-F55WuKelS1HSsa79OjX_XaTEtA-9OmqFDFlF8F-F1PlXd4H_AOV5nPqA9edrCKILu9sjLbsVsM/s1600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%202.51.02%20PM.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgS5enG-neh9UdiCYOGoPwz5v9vC67Nz-qogjPR2V0ZGUxnwOqB9Nq_7S8Eg0XSW4-xGpZasvYWKH0_VjthpskLWobhyVAd4D00N0A0IDMvhXbODAeE-F55WuKelS1HSsa79OjX_XaTEtA-9OmqFDFlF8F-F1PlXd4H_AOV5nPqA9edrCKILu9sjLbsVsM/w640-h426/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%202.51.02%20PM.jpeg" /></a></div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgE2hxCDato9rALWQfaNve0okMFCOm9jSl_lSzgBomQjwrsOAVyGTJxiZmJh7a5arB25WIwkZNCDBO7tV1j5C4XnflsolQEhCx07x28VQX0zO2o2Jx9KFzlxHaVw2hky-rpNuj6KjwCLhaeWaUOLV_9PyAf5SOus4-bBOv_kpPNgEvqWJL9IYuwTnbUQkk/s1600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%202.51.06%20PM.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgE2hxCDato9rALWQfaNve0okMFCOm9jSl_lSzgBomQjwrsOAVyGTJxiZmJh7a5arB25WIwkZNCDBO7tV1j5C4XnflsolQEhCx07x28VQX0zO2o2Jx9KFzlxHaVw2hky-rpNuj6KjwCLhaeWaUOLV_9PyAf5SOus4-bBOv_kpPNgEvqWJL9IYuwTnbUQkk/w640-h426/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%202.51.06%20PM.jpeg" /></a></div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhUTOgBEdhj2cM5qQ_LUUYbOZUEFzdqE3YyZsAKonm1YY7gRHWvpDsD-7ApWmFA68sTi5pFPrDFBmRwba8Fxivh2rLXY7QcbB-ncF0o90NwQEPo_PFJ7ibBdFL_MpfdgcFG0hHq98TiwxaBGRbjtt1NKyBYyT2r4cLV4ED2rQ_5KK9AcO-U8VaSLXt2iw8/s1600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%202.51.09%20PM.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhUTOgBEdhj2cM5qQ_LUUYbOZUEFzdqE3YyZsAKonm1YY7gRHWvpDsD-7ApWmFA68sTi5pFPrDFBmRwba8Fxivh2rLXY7QcbB-ncF0o90NwQEPo_PFJ7ibBdFL_MpfdgcFG0hHq98TiwxaBGRbjtt1NKyBYyT2r4cLV4ED2rQ_5KK9AcO-U8VaSLXt2iw8/w640-h426/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%202.51.09%20PM.jpeg" /></a></div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgxmJRO70C714LqXvsyF5UKh4zA00zxUx6GlA7M0ciLPWcSCzhxPZJbAf_PdxCDSfRG4K9DmZOFL8VdN0uqsqccsOUWwXzcIFAydHYJIhuzCQ0Zuhx907kcjE-xYk4oKSk9JeJugEN18krmHeZwJf_aF_1Nq7GhGpkmP13OEVsofs6voHezpWyYZDDVojw/s1600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%202.51.11%20PM.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgxmJRO70C714LqXvsyF5UKh4zA00zxUx6GlA7M0ciLPWcSCzhxPZJbAf_PdxCDSfRG4K9DmZOFL8VdN0uqsqccsOUWwXzcIFAydHYJIhuzCQ0Zuhx907kcjE-xYk4oKSk9JeJugEN18krmHeZwJf_aF_1Nq7GhGpkmP13OEVsofs6voHezpWyYZDDVojw/w640-h426/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%202.51.11%20PM.jpeg" /></a></div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj3dhPe5xIr3bFi6xChVWRPrMnTBv-h8SwonGNVTqjM3lFuwQPgmnRdEvvNVGkTBwikOQCcw47dxOMSZH3jemRS7jZV-fcO8iGCp2sAk0J_NL1lbM2kDNwNIENxjW8YG3KsNWXKvNr7On6_oSv1YQt31Da4DZojTlq9HR1BNojB5_UE7Xsb-RA9_HE4SKE/s1600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%202.51.12%20PM.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj3dhPe5xIr3bFi6xChVWRPrMnTBv-h8SwonGNVTqjM3lFuwQPgmnRdEvvNVGkTBwikOQCcw47dxOMSZH3jemRS7jZV-fcO8iGCp2sAk0J_NL1lbM2kDNwNIENxjW8YG3KsNWXKvNr7On6_oSv1YQt31Da4DZojTlq9HR1BNojB5_UE7Xsb-RA9_HE4SKE/w640-h426/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%202.51.12%20PM.jpeg" /></a></div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-kIXeUehEdQEe3pLsD2ztFWbJYM7pkt6LZOU1om0DzIpnGlyzitaJM5Bola43Dn3toZefk6i7X5Oj-hYNhPprackzmrxMGpciKPhA8nJfGceL9ca98nxqIX0XWHm2oB3IQdpkDFu9jyXZN7hL69S8-xM0GXOCU5jIIE7922KOp_3IeakqPcCDD3Bl6j0/s1600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%202.51.13%20PM%20(1).jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-kIXeUehEdQEe3pLsD2ztFWbJYM7pkt6LZOU1om0DzIpnGlyzitaJM5Bola43Dn3toZefk6i7X5Oj-hYNhPprackzmrxMGpciKPhA8nJfGceL9ca98nxqIX0XWHm2oB3IQdpkDFu9jyXZN7hL69S8-xM0GXOCU5jIIE7922KOp_3IeakqPcCDD3Bl6j0/w640-h426/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%202.51.13%20PM%20(1).jpeg" /></a></div></span>MICHUZI BLOGhttp://www.blogger.com/profile/04130017808001951362noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-5170844423600254162024-03-17T21:59:00.002+03:002024-03-17T21:59:37.763+03:00 WANANCHI ELFU 9,659 KUNUFAIKA NA MRADI WA MAJI MALUNGU NYASA<span style="font-family: verdana;">NAIBU Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi amemuagiza Meneja wa RUWASA Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Rebman Ganshonga, kuhakikisha anapeleka huduma ya maji kwenye vitongoji ambavyo bado havina huduma ya maji.<br /><br />Mhandisi Mahundi ametoa maagizo hayo leo Machi 17, 2024 akiwa katika muendelezo wa ziara ya kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira ya kukagua utekelezaji wa miradi ya Maji Mkoani Ruvuma <br /><br />Akiwa ziarani pia Mhandisi Mahundi ametoa rai kwa wananchi kuendelea kutunza vyanzo vya maji ili miradi ya maji iwe endelevu.<br /><br />Nae Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira Mhe.Jackson Kiswaga ameishukuru Serikali kupitia Wizara ya Maji kwa usimamizi na utekelezaji wa miradi. <br /><br />"Mradi huu ukamilike kwa wakati pia wananchi muweze kutunza Miundombinu yake ili mradi uwe endelevu. Lakini chombo cha watumiaji maji katika jamii kiundwe ili kiweze kukusanya fedha na kufanya matumizi mazuri ya ukarabati wa mradi pindi inapotokea mradi umeharibika"amesema Mhe.Kiswaga<br /><br />Akitoa taarifa ya utekelezaji wa mradi wa maji Malungu Meneja wa RUWASA Wilaya ya Nyasa Mhandisi Masoud Samila amesema mradi wa Malungu unatekelezwa kwa gharama ya Shilingi Bilioni 1.2 <br /><br />Mhandisi Samila amesema kukamilika kwa mradi huo kunalenga kuwanufaisha wananchi wapatao 9,659 kutoka vijiji vya Malungu na Tingi vilivyopo katika kata ya Tingi.<br /><br />" Mradi pia utasaidia kupunguza magonjwa mbalimbali ya mlipuko kwa jamii. Vilevile kutokana na kuimarika kwa huduma ya maji, jamii itapata muda wa kufanya shughuli za maendeleo"amesema Mhandisi Samila<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhfhK1z9ZcUa1y6u7l7BHlYJs5lGDmjmeMdrOBGpO37iKoZyzO9AuKqsbcot1WTFkX0IA0aNqhXRRsj_xYgG95Vp2dK2CVg9R7kChtZuRvdfgDqXBOppXv4Wzt6ST5vb8mKHPgOWkWf5_gR4sc9htELs5u6fTZf2ziXavsdacb1oaYC4RbRBmO9BUPyqhE/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2020.29.12%20%281%29.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhfhK1z9ZcUa1y6u7l7BHlYJs5lGDmjmeMdrOBGpO37iKoZyzO9AuKqsbcot1WTFkX0IA0aNqhXRRsj_xYgG95Vp2dK2CVg9R7kChtZuRvdfgDqXBOppXv4Wzt6ST5vb8mKHPgOWkWf5_gR4sc9htELs5u6fTZf2ziXavsdacb1oaYC4RbRBmO9BUPyqhE/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2020.29.12%20%281%29.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgoSSfVmpjo5XzGC94gTTflAG3OiUMXiOd-qYRK1ImwtqoUyz2tiKl4pztTZIq850qpb1qu0k0sFID2eSc8ddr8bms352i3bujVvSyw-NrJ-X9gP1BtVvcWvfq-JdHodUIrQHyuVVGNp5fg9BlpEiANJXunbRMRUttvJRnUJY2uFjwS710FqwN1Mrn6vMw/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2020.29.12%20%282%29.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgoSSfVmpjo5XzGC94gTTflAG3OiUMXiOd-qYRK1ImwtqoUyz2tiKl4pztTZIq850qpb1qu0k0sFID2eSc8ddr8bms352i3bujVvSyw-NrJ-X9gP1BtVvcWvfq-JdHodUIrQHyuVVGNp5fg9BlpEiANJXunbRMRUttvJRnUJY2uFjwS710FqwN1Mrn6vMw/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2020.29.12%20%282%29.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiMbboWcJZp8a1gf3po8ppLMek1qUoqQ9Qgbbk6YzpgSzU1TPoZXoICoJn_ytXqtq731Lb5RttAVoYKQqezTqDmBHSWx2xu2HmP0qNOvKYcYwWWUTRAx3RZCq2Y5D96oBahqCO7sI2idKqsHd8Sk_9nocdgVm0SCXSUA5jS2M_rjPsz9ArkWllRvfaYuac/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2020.29.12.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiMbboWcJZp8a1gf3po8ppLMek1qUoqQ9Qgbbk6YzpgSzU1TPoZXoICoJn_ytXqtq731Lb5RttAVoYKQqezTqDmBHSWx2xu2HmP0qNOvKYcYwWWUTRAx3RZCq2Y5D96oBahqCO7sI2idKqsHd8Sk_9nocdgVm0SCXSUA5jS2M_rjPsz9ArkWllRvfaYuac/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2020.29.12.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg_fInXpgsdhoPj36XUhzfbxJ0A5PWV7jlxGSsDha-ZDNQJ92n0pnPm8l-WNaAO1zF0Pjjs9W4mMO6Mein0JL_1dvemRsjXmz_-VlkFDY5w2pOezavt52t2sYn1Ilyr8NGaJHOT1kulwknlpY7vpQDK0R_oAfvsj5sqE_ZjkhxvS_fQaDeZ9EXkuTC4eMY/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2020.29.13.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg_fInXpgsdhoPj36XUhzfbxJ0A5PWV7jlxGSsDha-ZDNQJ92n0pnPm8l-WNaAO1zF0Pjjs9W4mMO6Mein0JL_1dvemRsjXmz_-VlkFDY5w2pOezavt52t2sYn1Ilyr8NGaJHOT1kulwknlpY7vpQDK0R_oAfvsj5sqE_ZjkhxvS_fQaDeZ9EXkuTC4eMY/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2020.29.13.jpeg" /></a></span>Ahmad Michuzihttp://www.blogger.com/profile/03608058217608553857noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-45804620169132717562024-03-17T19:07:00.001+03:002024-03-17T19:07:36.457+03:00 DK. NCHIMBI AWASILI ZIMBABWE MKUTANO WA VYAMA VYA UKOMBOZI KUSINI MWA AFRIKA<span style="font-family: verdana; font-size: small;">Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, akiambatana na baadhi ya Wajumbe wa Halmashauri Kuu CCM ya CCM ya Taifa (NEC), amewasili nchini Zimbabwe kushiriki Mkutano wa 11 wa Makatibu Wakuu wa Vyama Marafiki vya Ukombozi Kusini mwa Afrika (FLMS), ambao pamoja na masuala mengine utajadili maendeleo ya mshikamano wao na kuuendelea kuuimarisha zaidi.<br /><br />Mkutano huo ambao pia utashirikisha watendaji wakuu wa Jumuiya za Wazazi, Wanawake na Vijana wa vyama hivyo, utafanyika kwa siku tatu, kuanzia Machi 17 hadi 20, 2024, katika Mji wa Victoria Falls, kwa ajili ya kujadili agenda mbalimbali zinazohusu urafiki na uhusiano wa vyama hivyo ambavyo vyote viko madarakani, vikiongoza Serikali na Nchi husika.<br /><br />Katika msafara wake, Katibu Mkuu Balozi Dk. Nchimbi ameambatana na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Komredi Gilbert Kalima, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Vijana wa CCM (UVCCM), Komredi Fack Raphael Lulandala, na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT) Zanzibar, Komredi Tunu Juma Kondo.<br /><br />Mbali ya Chama Cha Mapinduzi, vyama vingine vinavyoshiriki mkutano huo ni pamoja na mwenyeji ZANU – PF (Zimbabwe), MPLA (Angola), SWAPO (Namibia), FRELIMO (Msumbiji), ANC (Afrika Kusini) na Botswana Democratic Party (BDP – cha Botswana).<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEidoVxQeugSfLzPVD8Levn_PN9KXj43Etu_T3Dz26a6wJz0pkFN7wUzuunhW-O-5Weib-f3papPkEWaMnzxoZPNTZAtnrIHxAQrQctN9E8eHYAnFYQRPeRVYNcrxAExpIzT8ob-hrM7JnB-HKSYBkqItnA58zlYSaOONkW-3Qr51eC8bL6RgJLDBlJCZtM/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2018.31.04.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEidoVxQeugSfLzPVD8Levn_PN9KXj43Etu_T3Dz26a6wJz0pkFN7wUzuunhW-O-5Weib-f3papPkEWaMnzxoZPNTZAtnrIHxAQrQctN9E8eHYAnFYQRPeRVYNcrxAExpIzT8ob-hrM7JnB-HKSYBkqItnA58zlYSaOONkW-3Qr51eC8bL6RgJLDBlJCZtM/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2018.31.04.jpeg" /></a><br /><br /><br />Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, akisalimiana na kuzungumza jambo na Katibu Mkuu wa Chama cha SWAPO (Namibia), Komredi Mama Sophia Shaningwa walipokutana mara baada ya kuwasili nchini Zimbabwe, leo mchana Machi 17, 2024, kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 11 wa Makatibu Wakuu wa Vyama Marafiki vya Ukombozi Kusini mwa Afrika, utakaofanyika nchini humo.<br /><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgOnCk3hdjp0puBo-5_qI_rm84ecwyeC-_0ccysac866aBtBBbUHDXlhWCnfRkcQ3CuI_uoJQ749lKfDvC-3dNKQBIZbfdasw1ae25UFRJwvzTvzEE_D5c5T8ue0jLRUUJzQQpBiY60tTTuyb3qnVuNdL_GO0S2-IYI9KphOxkUpT4sc3228MbD2ZR4KXo/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2018.31.04%20%281%29.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgOnCk3hdjp0puBo-5_qI_rm84ecwyeC-_0ccysac866aBtBBbUHDXlhWCnfRkcQ3CuI_uoJQ749lKfDvC-3dNKQBIZbfdasw1ae25UFRJwvzTvzEE_D5c5T8ue0jLRUUJzQQpBiY60tTTuyb3qnVuNdL_GO0S2-IYI9KphOxkUpT4sc3228MbD2ZR4KXo/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2018.31.04%20%281%29.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAJbKP72LaTKAuLiWDWxFDpXL2octAr9ShBCXySr6qdXuZ7bzu58L3sxU3okJ3YDwAIfEH1GS8aHmETP8XHlZPNbIDmbxMpYIw_NHACm4cl6c_HHJ4ywvDbsuD4VPMFcjoCrq3HWcD6UsXhKw2KxTdkLPJqPxQuJek72ksXvVsWVI3dGrNo4FcPzoATwA/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2018.31.04%20%282%29.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAJbKP72LaTKAuLiWDWxFDpXL2octAr9ShBCXySr6qdXuZ7bzu58L3sxU3okJ3YDwAIfEH1GS8aHmETP8XHlZPNbIDmbxMpYIw_NHACm4cl6c_HHJ4ywvDbsuD4VPMFcjoCrq3HWcD6UsXhKw2KxTdkLPJqPxQuJek72ksXvVsWVI3dGrNo4FcPzoATwA/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2018.31.04%20%282%29.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg1USv5cBvo7GgX6nCPvSmDe6QRkBDSDimMQoD71Z9-KNvG0Az6sTBNMS7Ak8FJD2Xue4Q_mASJcv8Rl-xVbvmllDbKF_lXJ_pkRMPmY_Jr0svoTeRM71Mx6u3lLn8uA5Q5esBMouTOUo9WB1plU_GQxbGL1u8KilLXuspQL6pRrv-HYY52mBZXHCMXkeM/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2018.31.05%20%281%29.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg1USv5cBvo7GgX6nCPvSmDe6QRkBDSDimMQoD71Z9-KNvG0Az6sTBNMS7Ak8FJD2Xue4Q_mASJcv8Rl-xVbvmllDbKF_lXJ_pkRMPmY_Jr0svoTeRM71Mx6u3lLn8uA5Q5esBMouTOUo9WB1plU_GQxbGL1u8KilLXuspQL6pRrv-HYY52mBZXHCMXkeM/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2018.31.05%20%281%29.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgnXTes6QDRzyzCPCefV-urZYXwlnC1GYgA9WRItAobOGV5Wml52rdGE8ObKBOBTSTUC_kxcLbwfdr_pMJsyXdRvuMpDvrVyNfg565BuGqTvSwhXO1Yra3XhcPbGHwVOTPPZfFSCbAI1_KnvsBECdPR6fS6JuMmTCFFi0FmnTuW8UT8ZK-TKmOWX__gT2U/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2018.31.05%20%282%29.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgnXTes6QDRzyzCPCefV-urZYXwlnC1GYgA9WRItAobOGV5Wml52rdGE8ObKBOBTSTUC_kxcLbwfdr_pMJsyXdRvuMpDvrVyNfg565BuGqTvSwhXO1Yra3XhcPbGHwVOTPPZfFSCbAI1_KnvsBECdPR6fS6JuMmTCFFi0FmnTuW8UT8ZK-TKmOWX__gT2U/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2018.31.05%20%282%29.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhUtVYTMIpcgoPmUn-5lR1WeLzgH-uD6hUBuhaKdzbgPRALUYp5lcaZf1iUIUjMBJ26ETF32Hrc00UEboMpol08krQgZW322glupYv71HEQeeGC-A-uiokofQQ5ObOUxMQKU5cw770IIEeW11QlI_ZLo18GOcNqi37Ae7NsJqJ8Ayw5UENf2hGgMsEBIyQ/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2018.31.05.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhUtVYTMIpcgoPmUn-5lR1WeLzgH-uD6hUBuhaKdzbgPRALUYp5lcaZf1iUIUjMBJ26ETF32Hrc00UEboMpol08krQgZW322glupYv71HEQeeGC-A-uiokofQQ5ObOUxMQKU5cw770IIEeW11QlI_ZLo18GOcNqi37Ae7NsJqJ8Ayw5UENf2hGgMsEBIyQ/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2018.31.05.jpeg" /></a></span>Ahmad Michuzihttp://www.blogger.com/profile/03608058217608553857noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-58508723784005742052024-03-17T18:56:00.001+03:002024-03-17T18:56:52.897+03:00 HATI 8,325 ZATOLEWA KWA WANANCHI KUPITIA KLINIK YA ARDHI DAR ES SALAAM<span style="font-family: verdana; font-size: small;">Na Munir Shemweta, WANMM<br /><br />Jumla ya hati 8,325 zimesajliwa na kutolewa kwa wananchi waliofika kupata huduma katika Klinik za Ardhi mkoa wa Dar es Salaam.<br /><br />Aidha, wananchi 18,224 wamefika katika klinik ya ardhi kupata huduma mbalimbali mkoani humo.<br /><br />Hayo yamebainishwa tarehe 17 Machi 2024 na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe, Jerry Silaa wakati wa ziara ya Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Ardhi Maliasili na Utalii kukagua utekelezaji mradi wa uboreshaji Usalama wa Milki za ardhi (LTIP) katika mkoa wa Dar es Salaam.<br /><br />Amsema, katika Klinik Hiyo migogoro mbalimbali imetatuliwa ikiwemo migogoro ya mipaka, mirathi, matumizi ya ardhi pamoja na migogoro ya umiliki wa ardhi.<br /><br />Kwa mujibu wa Silaa, Serikali kupitia wizara ya ardhi imeendelea kuchukua hatua za makusdi ili kuhakikisha kuwa utoaji wa huduma za ardhi unaboreshwa kupitia mradi wa uboreshaji Usalama wa Milki za ardhi.<br /><br />Amezitaja hatua zinazochukuliwa kuwa ni kuunda timu za wataalamu wa ardhi katika ngazi za mitaa kwa ajili ya kukwamua kazi za urasimishaji wa makazi katika maeneo yaliyopangwa pamoja na kuendesha Klinik za ardhi katika maeneo mbalimbali.<br /><br />Hatua nyingine ni kutoa elimu kwa umma kuhusu masuala ya ardhi kupitia vipindi vya redio na telebisheni, mikutano ya wananchi katika mitaa yao sambamba na kuunda timu za kushughulikia kero na migogoro ya ardhi.<br /><br />Mhe, Silaa ameweka wazi kuwa, azma ya wizara yake ni kuendelea kufanya mageuzi kwenye sekta ya ardhi yanayolenga kuboresha huduma za ardhi kwa maslahi ya wananchi na taifa kwa ujumla.<br /><br />Akielezea zaidi kuhusu Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP), Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi amesema, mradi huo ni miongoni wa nyenzo muhimu zilizoonesha mafanikio makubwa katika kuongeza usawa wa kijinsia katika umiliki wa ardhi.<br /><br />‘’Kati ya Hatimiliki 8325 zilizosajiliwa katika mkoa wa Dar es Salaam Hatimiliki 2,461 sawa na asilimia 29.6 no za wanawake’’ alisema Mhe, Silaa<br /><br />Amefafanua kuwa, mradi huo wa uboreshaji milki za ardhi umewezesha kuongezeka kwa idadi ya wanawake wanaomiliki ardhi nchini kutoka asilimia 25 hadi asilimia 41 huku idadi ya hati za pamoja baina ya wana ndoa zikiongezeka na kufikia asilimia 10 ya hati zilizotolewa.<br /><br />Aidha, amesema Klinik za Ardhi zinazoendeshwa kupitia mradi wa LTIP zimekuwa jukwaa muhimu la kutoa elimu kwa umma kuhusu umuhimu wa wanawake kumililki ardhi.<br /><br />Kwa upande wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii kupitia Mwenyekiti wake Mhe, Timotheo Mzava mbali na kuridhishwa na utekelezaji mradi wa LTIP imeipongeza Wizara ya Ardhi kwa kazi nzuri ya kutekeleza miradi ya uboreshaji miliki za ardhi hususan katika klinik za ardhi.<br /><br />‘’Mnafanya kazi nzuri na sisi kama kamati tunaridhika na kazi inayofanyika na ki ukweli ni kazi ni nzuri na tunataka iendeleee’’ alisema Mhe, Silaa<br /><br />Aidha, Kamati imemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa anaayoifanya ikiwemo kuwezesha upatikanaji fedha za mradi wa LTIP ili kusaidia utatuzi wa changamoto katika sekta ya ardhi.<br /><br />Aidha, amemtaka Waziri wa Ardhi kuijenga taasisi ili muelekeo alio nao uende mpaka kwa watumishi wa chini kwa kuwa haitatosha maono aliyo nayo kubaki kwa viongozi pekee. ‘’Huwezi kuwa kila mahali lazima kuwemo mfumo wa kitaasisi utakaoshuka mpaka kwa watendaji wa chini na wimbo uende mpaka ngazi za chini na likifanikiwa hilo tutakwenda vizuri sana’’. Alisema Mhe, Mzava<br /><br />Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii mbali na kukagua utekelezaji mradi wa uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) ilishiriki pia kwenye utatuzi wa migogoro ya ardhi kwa wananchi wa eneo la Bunju Dar es Salaam.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEguVa5EXbk75hGbmk0s73zB4D0E5g9iA8qbIPcCLqe4FoIxKM6IotGLHWMqY6nGz4iy5jXDVO_dU6IW8Yxtj2Wnj48Chkl87G52dON2rOGdmtWlA7UnHkFP9j6y5WYoxwth5ORwj07nC_Onvk4nt8zRaqDi3IpfsoZGPawyebbJ8NtaRLcuvamyJBURrus/s1024/1.JPG"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEguVa5EXbk75hGbmk0s73zB4D0E5g9iA8qbIPcCLqe4FoIxKM6IotGLHWMqY6nGz4iy5jXDVO_dU6IW8Yxtj2Wnj48Chkl87G52dON2rOGdmtWlA7UnHkFP9j6y5WYoxwth5ORwj07nC_Onvk4nt8zRaqDi3IpfsoZGPawyebbJ8NtaRLcuvamyJBURrus/s600/1.JPG" /></a></span><div><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: verdana; font-size: small; text-align: justify;">Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga akimueleza jambo Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii Mhe, Timotheo Mzava wakati Kamati hiyo ilipokwenda kukagua utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Milki za Ardhi (LTIP) eneo la Bunju Dar es Salaam Machi 17, 2024.</span><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhouETlJjNtBhOOFwZYILYp3ceYAmJZk4YcLoI2k_EYqIJeMHxCk900BV_4gKrl6M017FYAeJQ4XfuG36I8uHF599kPcaNa6Z5N4qkqZPdlhhQ7le6Jqwn8-SDDtN9p3Bmbo_jPbyhqkf9JVFphTcB2g6L19IXhhyphenhyphenWZxFSG9097_vyohhfFvLlGyYPk__U/s1024/2.JPG"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhouETlJjNtBhOOFwZYILYp3ceYAmJZk4YcLoI2k_EYqIJeMHxCk900BV_4gKrl6M017FYAeJQ4XfuG36I8uHF599kPcaNa6Z5N4qkqZPdlhhQ7le6Jqwn8-SDDtN9p3Bmbo_jPbyhqkf9JVFphTcB2g6L19IXhhyphenhyphenWZxFSG9097_vyohhfFvLlGyYPk__U/s600/2.JPG" /></a></span><div><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: verdana; font-size: small; text-align: justify;">Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii Mhe, Timotheo Mzava pamoja na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe, Jerry Silaa wakimsikiliza mwananchi wakati kamati ya Bunge ilipokwenda kukagua utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Milki za Ardhi (LTIP) katika eneo la Bunju Dar es Salaam Machi 17, 2024.</span><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjucJTWahnR8YYIKdRNbyI94daO0VACGCIOK1PEbVZcaSi8ACH7rLmSY1NoB_uffJP5XW6200QAR4bVzedgVMTsYM4D1jrCuw0RBMjXx495ZRHeUC9saMn5wTCccGuFf7c-bJmDwtr4ujTsaXeEF_PN2HafgKCN5oxb2RIFnMucTnf0wz0YbSFsX4d9jgQ/s1024/3.JPG"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjucJTWahnR8YYIKdRNbyI94daO0VACGCIOK1PEbVZcaSi8ACH7rLmSY1NoB_uffJP5XW6200QAR4bVzedgVMTsYM4D1jrCuw0RBMjXx495ZRHeUC9saMn5wTCccGuFf7c-bJmDwtr4ujTsaXeEF_PN2HafgKCN5oxb2RIFnMucTnf0wz0YbSFsX4d9jgQ/s600/3.JPG" /></a></span><div><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: verdana; font-size: small; text-align: justify;">Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii Mhe, Timotheo Mzava akimkabidhi Hati milki ya ardhi mmoja wa wananchi wakati Kamati yake ilipokwenda kukagua utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Milki za Ardhi (LTIP) katika eneo la Bunju Dar es Salaam Machi 17, 2024.</span><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhRMk1FAl6B1Zoh5uavFNLx0Ilb3hiY_burkYCJVB4p_9Cq9nc50If7oFpknrtQxZg8ZWga7Yaio1R75OMDCJuwtVvXnrY3EZh3rBVtSrPh5rhhzNXdRQij19t0j2nmGwpLaGMQUGDspf_IXuM0LtEfxG6Q7nIp2cgrDkBjYkpwB5oVU5i4k8oEVNaNR3A/s1024/4.JPG"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhRMk1FAl6B1Zoh5uavFNLx0Ilb3hiY_burkYCJVB4p_9Cq9nc50If7oFpknrtQxZg8ZWga7Yaio1R75OMDCJuwtVvXnrY3EZh3rBVtSrPh5rhhzNXdRQij19t0j2nmGwpLaGMQUGDspf_IXuM0LtEfxG6Q7nIp2cgrDkBjYkpwB5oVU5i4k8oEVNaNR3A/s600/4.JPG" /></a></span><div><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: verdana; font-size: small; text-align: justify;">Mbunge wa Viti Maalum Neema Mgaya akimpatia Hati milki ya Ardhi mwananchi wakati Kamati ya Kudumu ya Bunge Ardhi Maliasili na Utalii ilipokwenda kukagua utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Milki za Ardhi (LTIP) katika eneo la Bunju Dar es Salaam Machi 17, 2024.</span><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiZBm0SrQJn7_AjPfcL-DHSvvBxWkLAyTb3uGTvc6HYM_YiWWkoVTR4zqrPQxBBzDrH0P3PhyphenhyphendEN0vhBc4TTKumOS6D2KJVwkkDKTnarvqwYgtC4jZbFaaXRzsBkDn8ZwFn8fELR9Za4MFO1i5UJVbW10oARF8GTgUSjbGA2WM_H7SmX54l5lOaYWrHzVc/s1024/5.JPG"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiZBm0SrQJn7_AjPfcL-DHSvvBxWkLAyTb3uGTvc6HYM_YiWWkoVTR4zqrPQxBBzDrH0P3PhyphenhyphendEN0vhBc4TTKumOS6D2KJVwkkDKTnarvqwYgtC4jZbFaaXRzsBkDn8ZwFn8fELR9Za4MFO1i5UJVbW10oARF8GTgUSjbGA2WM_H7SmX54l5lOaYWrHzVc/s600/5.JPG" /></a></span><div><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: verdana; font-size: small; text-align: justify;">Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe, Jerry Silaa akiwa na wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii katika gari wakielekea kukagua utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Milki za Ardhi (LTIP) katika eneo la Bunju Dar es Salaam Machi 17, 2024.</span><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj_BAAM2Bqan7m0LRJXTVPG-CRN_NF-5W0Bd6FpT5NziU8bK9_0v4Mo6y1ckmZtgBKLcd17eq5yKlqQwpOyFcz4fFkLmfcZghuN7KnEnDvFF-y8EU3hlXYOZKuc2kr49mp58kg475HpxkURkq92iM7xK-x4lHDmf9m-UZ4yjgEJzxHJTzLk21_BUPhO3HY/s1024/6.JPG"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj_BAAM2Bqan7m0LRJXTVPG-CRN_NF-5W0Bd6FpT5NziU8bK9_0v4Mo6y1ckmZtgBKLcd17eq5yKlqQwpOyFcz4fFkLmfcZghuN7KnEnDvFF-y8EU3hlXYOZKuc2kr49mp58kg475HpxkURkq92iM7xK-x4lHDmf9m-UZ4yjgEJzxHJTzLk21_BUPhO3HY/s600/6.JPG" /></a></span><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe, Geophrey Pinda akisalimiana na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii Mhe, Timotheo Mzava alipowasili eneo la Bunju kukagua utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji Milki za Ardhi (LTIP) katika eneo la Bunju Dar es Salaam Machi 17, 2024. Katikati ni Waziri wa Ardhi Mhe, Jerry Silaa (PICHA ZOTE NA WIZARA YA ARDHI)</span></div></div></div></div></div></div>Ahmad Michuzihttp://www.blogger.com/profile/03608058217608553857noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-45699307535866217502024-03-17T16:54:00.002+03:002024-03-17T16:54:31.233+03:00Benki ya Absa yaendelea kuwawezesha wanawake kiuchumi.<p> <a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj7DwvI9AVvTsw3FHCNjrGVVnNMO9WPOiy3yi25nJY83XcqB6e5vcf_EaKlZ5uNVagnFSVwb1X6jEtDZ-neh66dB89y0rN3lLzzFY0gfny4aLmwewG9cPiz7I6v1z121JQS3p5MGETkSYWpYlBkwVOmRFJRWqdXt8RSw-zfKv8GNQQPCroPfDvbAw/s3940/01.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em; text-align: center;"><img border="0" data-original-height="2590" data-original-width="3940" height="420" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj7DwvI9AVvTsw3FHCNjrGVVnNMO9WPOiy3yi25nJY83XcqB6e5vcf_EaKlZ5uNVagnFSVwb1X6jEtDZ-neh66dB89y0rN3lLzzFY0gfny4aLmwewG9cPiz7I6v1z121JQS3p5MGETkSYWpYlBkwVOmRFJRWqdXt8RSw-zfKv8GNQQPCroPfDvbAw/w640-h420/01.jpg" width="640" /></a></p><p></p><p></p><p class="MsoNormal" style="background-color: white; color: #222222; font-family: Calibri, "sans-serif"; font-size: 11pt; line-height: 16.8667px; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="background-clip: initial; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial; font-family: Arial, "sans-serif"; font-size: 12pt; line-height: 18.4px;">Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Zanzibar, Dkt. Saada Mkuya Salum (kulia), akikabidhi tuzo ya shukrani kwa Mkuu wa Uendeshaji wa Matawi ya Benki ya Absa Tanzania, Bi. Mwilongo Irene Msungu ( katikati ) kwa kutambua mchango wa benki hiyo kama mdhamini Mkuu katika uzinduzi wa Chama cha Wanawake Sekta ya Fedha Tanzania (TAWiFA), wakati wa hafla iliyofanyika, Kizimkazi, Zanzibar jana. Kushoto ni Meneja wa Absa Tawi la Zanzibar, Bi. Rabia Aboud.</span><span style="font-family: Arial, sans-serif; font-size: 16px;">Hii ni moja ya mikakati ya Benki ya Absa katika kuwezesha wanawake kiuchumi sambamba na akaunti maalumu Ya wanawake ya Absa She account, iliyozinduliwa hivi karibuni ambayo haina ada za mwezi wala makato ya miamala.</span></p><p class="MsoNormal" style="background-clip: initial; background-color: white; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial; color: #222222; font-family: Arial, Helvetica, sans-serif; font-size: small; line-height: normal; margin: 0in 0in 0.0001pt;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj8jaXDqixGiQStc49NWw5GTBJWIN-Q-RXmaHWZCQQt8JVJ3VzbGHPMEXDCWLHVn6MYHpVYDH7_FIxdToTxhTu_f6rVznGL5p1pH1zlO1JkyrEPttCrcFGlCsjQb6HgjqUC2UQuSEmh7G6IF5zZP4md_3gpOHQPjmtl2jvI3vchwbtOqP4b2fGM4A/s5760/02.jpg" imageanchor="1" style="background-color: transparent; margin-left: 1em; margin-right: 1em; text-align: center;"><img border="0" data-original-height="3840" data-original-width="5760" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj8jaXDqixGiQStc49NWw5GTBJWIN-Q-RXmaHWZCQQt8JVJ3VzbGHPMEXDCWLHVn6MYHpVYDH7_FIxdToTxhTu_f6rVznGL5p1pH1zlO1JkyrEPttCrcFGlCsjQb6HgjqUC2UQuSEmh7G6IF5zZP4md_3gpOHQPjmtl2jvI3vchwbtOqP4b2fGM4A/w640-h426/02.jpg" width="640" /></a></p><p><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: Arial, "sans-serif"; font-size: 12pt;">Mkuu wa Uendeshaji wa Matawi ya Benki ya Absa Tanzania, Bi. Mwilongo Irene Msungu (kushoto), akipokea tuzo ya shukurani kutoka Kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango wa Zanzibar, Dk. Saada Mkuya Salum, Kwa kutambua mchango wa Absa kama mdhamini mkuu katika uzinduzi wa Chama cha Wanawake Sekta ya Fedha Tanzania (TAWiFA), wakati wa hafla iliyofanyika Kizimkazi, Zanzibar jana. Mbele kushoto ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan aliyekuwa mgeni rasmi. </span><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: small;"><span style="font-size: 16px;">Hii ni moja ya mikakati ya Benki ya Absa katika kuwezesha wanawake kiuchumi sambamba na akaunti maalumu Ya wanawake ya Absa She account, iliyozinduliwa hivi karibuni ambayo haina ada ya mwezi wala makato ya miamala.</span></span><br /></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhftxcXZ03gJ01nCzH54vzs3RTU2w3R2P5gWZRSIN3fNnQKNOPcCdZ5BkGil5muXDJCBoQUOHhU13na-8-PER28rCsMtHuhq_mfLcEtZPdzFrtyit6fAEPqz03JaYMySEg9bIz8K4o73qsD3dLq0ABRo6NpCK-jCVurr_XgsriNbKKMctuBaZxiPA/s4928/03.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="3264" data-original-width="4928" height="424" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhftxcXZ03gJ01nCzH54vzs3RTU2w3R2P5gWZRSIN3fNnQKNOPcCdZ5BkGil5muXDJCBoQUOHhU13na-8-PER28rCsMtHuhq_mfLcEtZPdzFrtyit6fAEPqz03JaYMySEg9bIz8K4o73qsD3dLq0ABRo6NpCK-jCVurr_XgsriNbKKMctuBaZxiPA/w640-h424/03.jpg" width="640" /></a></div><p></p><p class="MsoNormal" style="background-color: white; color: #222222; font-family: Calibri, "sans-serif"; font-size: 11pt; line-height: 16.8667px; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="color: black; font-family: Arial, "sans-serif"; font-size: 12pt; line-height: 18.4px;"><span style="background-clip: initial; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial;">Mjane wa Rais wa kwanza wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Bi. Fatma Karume</span> ( kushoto) akisalimiana na </span><span style="font-family: Arial, "sans-serif"; font-size: 12pt; line-height: 18.4px;">Mkuu wa Uendeshaji wa Matawi ya Benki ya Absa Tanzania, Bi. mwilongo Irene Msungu ( kulia ) na <span style="background-clip: initial; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial;">Meneja wa Absa Tawi la Zanzibar, Bi. Rabia Aboud, wakati wa uzinduzi wa Chama cha Wanawake Sekta ya Fedha Tanzania (TAWiFA), uliodhaminiwa na Benki ya Absa na kufanyika mjini Kizimkazi, Zanzibar jana. </span></span><span style="font-family: Arial, sans-serif; font-size: 16px;">Hii ni moja ya mikakati ya Benki ya Absa katika kuwezesha wanawake kiuchumi sambamba na akaunti maalumu Ya wanawake ya Absa She account, iliyozinduliwa hivi karibuni ambayo haina ada ya mwezi wa makato ya miamala.</span></p><p></p><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEht6tTVFxDc0eeUur046iaXoIxhmeOdSFyYP9Ny-q6BTWuogjalfw9nxMmPrOzkvuYK1kNgTs9s5wJA_kkSm64IQN3sLF30Hi3yZM0x9nhrYkIIEKMFDdREotJzVei8fPhA1Eo70XZikihuoJt0qQdCbq5rT1BGpdvNK93HCeHTo709ShZ2EfCYFw/s4928/04.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="3264" data-original-width="4928" height="424" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEht6tTVFxDc0eeUur046iaXoIxhmeOdSFyYP9Ny-q6BTWuogjalfw9nxMmPrOzkvuYK1kNgTs9s5wJA_kkSm64IQN3sLF30Hi3yZM0x9nhrYkIIEKMFDdREotJzVei8fPhA1Eo70XZikihuoJt0qQdCbq5rT1BGpdvNK93HCeHTo709ShZ2EfCYFw/w640-h424/04.jpg" width="640" /></a></div><span style="background-clip: initial; background-color: white; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial; color: #222222; font-family: Arial, "sans-serif"; font-size: 12pt; line-height: 18.4px;">Baadhi ya washiriki wakisikiliza hotuba ya Rais </span><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: Arial, "sans-serif"; font-size: 12pt; line-height: 18.4px;">wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan wakati wa <span style="background-clip: initial; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial;">uzinduzi wa Chama cha Wanawake Sekta ya Fedha Tanzania (TAWiFA) uliofanyika, Kizimkazi, Zanzibar jana. Benki ya Absa ilikuwa mdhamini mkuu wa uzinduzi huo.</span></span><span style="background-color: white; color: #222222; font-family: Arial, sans-serif; font-size: 16px;">Hii ni moja ya mikakati ya Benki ya Absa katika kuwezesha wanawake kiuchumi sambamba na akaunti maalumu ya wanawake ya Absa She account, iliyozinduliwa hivi karibuni ambayo haina ada ya mwezi wala makato ya miamala.</span><br /><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjsXkPgZHqaiVaAfSVSJmxYrCmGe91u58DNdjfLJOreoTiqx7PKNDWzQwJ4zx1DAI6RezGbjPkYi8SVKiaVdG0XlpE8cKLQmg5HYfFC4z9yfDGfIbB2uEW2C7ac3Y2oycDdmNRZTarsdnRGI187BJDQ8nG7roiR5LqlpjGfRRXswuXF1Tyb53f65w/s4928/05.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="3264" data-original-width="4928" height="424" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjsXkPgZHqaiVaAfSVSJmxYrCmGe91u58DNdjfLJOreoTiqx7PKNDWzQwJ4zx1DAI6RezGbjPkYi8SVKiaVdG0XlpE8cKLQmg5HYfFC4z9yfDGfIbB2uEW2C7ac3Y2oycDdmNRZTarsdnRGI187BJDQ8nG7roiR5LqlpjGfRRXswuXF1Tyb53f65w/w640-h424/05.jpg" width="640" /></a></div><p></p><p class="MsoNormal" style="background-color: white; color: #222222; font-family: Arial, Helvetica, sans-serif; font-size: small; line-height: 14.95px; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: Arial, "sans-serif"; font-size: 12pt; line-height: 18.4px;">Mkuu wa Uendeshaji wa Matawi ya Benki ya Absa Tanzania, Bi. Mwilongo Irene Msungu (wa tatu kushoto) na <span style="background-clip: initial; background-image: initial; background-origin: initial; background-position: initial; background-repeat: initial; background-size: initial;">Meneja wa Absa Tawi la Zanzibar, Bi. Rabia Aboud ( wa tatu kulia ) wakionyesha tuzo iliyopewa benki hiyo, kama mdhamini mkuu katika hafla ya uzinduzi wa Chama cha Wanawake Sekta ya Fedha Tanzania (TAWiFA), uliofanyika, Kizimkazi, Zanzibar jana.</span></span><span style="line-height: 14.95px;"></span><span style="font-family: Arial, sans-serif;"><span style="font-size: 16px;">Hii ni moja ya mikakati ya Benki ya Absa katika kuwezesha wanawake kiuchumi sambamba na akaunti maalumu Ya wanawake ya Absa She account, iliyozinduliwa hivi karibuni ambayo haina ada ya mwezi wala makato ya kufanya miamala.</span></span></p>Ahmad Michuzihttp://www.blogger.com/profile/03608058217608553857noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-65945235825515737862024-03-17T14:30:00.001+03:002024-03-17T22:30:44.667+03:00SUKA MKEKA WAKO NA MERIDIANBET LEO<p> <img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhsZ8ayYi2cTB4xMLJ0Pxu5uY3AI-8zmjxnlpCWYXAuXHXF2ixj4q6Tp3YMpwAlAuituNmmc1Zul_SlO6l2LSQYGaBwpiEPyQeK5WtchC6hfhkTBBOBadn9v4b7s01RQyAi_E09Yykvw0fzkvJM-GsEOnKdcCMg4lAOepFWZ_PYC4lgZu2Y7LOg7w/s16000/PR-Design-17MARCH-660X248.png" style="font-family: verdana; text-align: justify;" /></p><span style="font-family: verdana;"><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">BAADA ya ligi kibao kupigwa hapo jana, hatimaye leo hii mwendo ni ule ule hakuna kupoa yani si Ujerumani, Uingereza, Italia na kwingineko mechi kibao za pea zipo meridianbet. Ingia na ubashiri sasa</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Uingereza pale kutakuwa na mchezo mmoja wa EPL ambapo West Ham United atamkaribisha<a href="https://a.meridianbet.co.tz/c/dORph1"> </a><a href="https://a.meridianbet.co.tz/c/dORph1">Aston Villa</a> nyumbani kwake katika dimba la London kusaka pointi tatu muhimu. Vijana wa Moyes wapo nafasi ya 7 na vijana wa Unai wapo nafasi ya 4. Meridianbet wamempa mwenyeji nafasi kubwa ya kushinda kwa ODDS 2.55 kwa 2.60. Wewe unampa nani?. Beti sasa hapa.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Ligi nyingine ni ya LALIGA ambapo mapema tuu majira ya saa 10:00 jioni Sevilla atakiwasha dhidi ya Celta Vigo huku mara ya mwisho kukutana walitoshan nguvu. Mwenyeji kapewa 1.90 kushinda mchezo huu kwa 4.01. Je nani kuondoka na ushindi hii leo. <a href="https://a.meridianbet.co.tz/c/G3OlIC">Jisajili hapa.</a></div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Kumbuka kucheza michezo ya <a href="https://a.meridianbet.co.tz/c/h2t0IA">Kasino ya Mtandaoni </a>ambayo inatolewa ndani ya meridianbet kama vile Poker, Roullette, Aviator, Rockertman, Keno, Sloti na mingine kibao. Ingia mchezoni na ucheze sasa.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Saa 12:15 Villarreal watapepetana dhidi ya Valencia ambapo timu zote mbili zimetoka kushinda mechi zao zilizopita. Nyambizi wa njano wapo nafasi ya 12 na mgeni wake yupo nafasi ya 8. Mara ya mwisho kukutana, Valencia alishinda. Je leo hii mwenyeji kulipa kisais?. Mechi hii imepewa ODDS KUBWA, bashiri sasa.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Usiku wa saa 5:00 <a href="https://a.meridianbet.co.tz/c/dORph1">Barcelona</a> ya Xavi itakiwasha dhidi ya Atletico Madrid ya Simeone Diego ambao wapo nafasi ya 5 kwenye ligi. Atletico kushinda mechi hii wamepewa ODDS 2.21 kwa 2.99. Je mwenyei atalipa kisasi leo baada ya kupoteza mechi ya kwanza walipokutana?. Tengeneza mkeka wako hapa.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Vilevile ligi kuu ya Italia SERIE A, itaendelea hii leo kwa mechi kadhaa AC Milan atakuwa ugenini hii leo kusaka alama tatu dhidi ya <a href="https://a.meridianbet.co.tz/c/dORph1">Hellas Verona</a><a href="https://a.meridianbet.co.tz/c/dORph1"> </a>ambao wapo nafasi ya 15 kwenye msimamo wa ligi. Pioli na vijana wake wamepewa ODDS 1.62 kwa 5.48 kushinda mechi hii. Suka mkeka na meridianbet leo.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Saa 2:00 <a href="https://a.meridianbet.co.tz/c/dORph1">Atalanta</a> atakuwa katika dimba la Gewiss kukichapa dhidi ya Fiorentina ambao wamepewa ODDS 3.82 kwa 1.91 kushinda mecgi hii. Gasperini na vijana wake wapo nafasi ya 6 kwa ya 8 huku tofauti ya pointi ikiwa ni 4 pekee. Je unadhani alama tatu zinaenda kwa nani leo?. Bashiri kijanja hapa.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Nao AS Roma watamenyana dhidi ya Sassuolo Calcio ambao wanashika nafasi ya 19 kwenye msimamo wa ligi. Mwenyeji yupo nafasi ya 5 na 1.42 ndio ODDS yake ya ushindi kwa 7.05. Weka mkeka wako sasa.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Na mechi kati Itali leo hii ni hii hapa ambayo inawakutanisha kati ya kinara wa ligi hiyo <a href="https://a.meridianbet.co.tz/c/dORph1">Inter Milan</a> dhidi ya bingwa mtetezi ambaye amepoteana msimu huu Napoli. Mechi hiyo itapigwa katika dimba la Giuseppe Meazza huku Inzaghi baada ya kutolewa UEFA sasa anaelekeza nguvu huku akiwa na ODDS ya 1.60 kwa 5.09. Mara ya mwisho Inter alishinda, je leo hii atashinda pia?. Suka mkeka hapa.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">BUNDESLIGA moto utawaka kama kawaida baada ya jana mechi kibao kupigwa leo hii zitapigwa mechi mbili katika viwanja tofauti, SC Freiburg atamulaika kinara wa ligi hiyo Bayer Leverkusen ambao hawajapoteza mechi yoyote msimu huu. Tofauti ya pointi kati yao ni pointi 34 huku ODS zao ikiwa ni 5.88 kwa mwenyeji na 1.50 kwa mgeni. Jisajili na ubeti hapa.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Saa 1:30 usiku Borussia Dortmund uso kwa uso dhidi ya Eintracht Frankfurt huku timu zote zikiwa zimetoka kushinda mechi zao zilizopita. Dortmund yupo nafasi ya 5 na mgeni wake yupo nafasi ya 6, tofauti ya pointi ni 7. 1.59 kwa 4.90 ndio ODDS za mechi hii. Beti sasa.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Na sasa tunamulika ligi kuu ya Ufaransa LIGUE 1 ambapo leo hii huku kuna mechi nyingi za pesa kuanzia mechi ya<a href="https://a.meridianbet.co.tz/c/dORph1"> </a><a href="https://a.meridianbet.co.tz/c/dORph1">AS Monaco</a> dhidi ya FC Lorient ambapo mwenyeji anapendelewa kushinda mechi hii akiwa na ODDS 1.32 kwa 7.84. Mara ya mwisho walitoa sare. Je nani kuibuka kidedea leo?</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Huku mechi nyingine itakuwa saa 1:05 Stade Rennes itakipiga dhidi ya Olympique Marseille ambaye yupo nafasi ya 7 kwenye ligi. Tofauti ya pointi ni 3 pekee ambapo leo hii kila mtu anahitaji ushindi kusonga mbele. 2.65 kwa 2.60 ndio ODDS za mechi hii bashiri sasa.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Naye bingwa mtetezi wa ligi hiyo<a href="https://a.meridianbet.co.tz/c/dORph1">, </a><a href="https://a.meridianbet.co.tz/c/dORph1">PSG</a> atakuwa ugenini leo dhidi ya Montpellier ambao wametoka kushinda mchezo wao uliopita. Paris wamekuwa na matokeo ambayo hayaridhidi mechi zao tatu zilizopita za ligi na leo wana ODDS 1.52 kwa 5.29. Je na leo wataangusha pointi. Suka jamvi lako hapa.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;"><br /></div></span><div style="text-align: justify;"><br /></div>MICHUZI BLOGhttp://www.blogger.com/profile/04130017808001951362noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-60650857595924194372024-03-17T13:39:00.003+03:002024-03-17T13:39:54.620+03:00 *Trilioni 2.53 yaipaisha TARURA ndani ya miaka mitatu*<p> <img border="0" data-original-height="1706" data-original-width="2560" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgKrRXHPddzZ8WcmOtCUsKBJgLNUhtOcYr802C0CfNfWRHJRS5dgsvHr40dg223GtmBHxCoOe_HM3loN8VhZFVjmmowJ_XZhH6-ieK3_xzw50HBH35aebZZK053I_ubgo3FylS7JN5PucfrBYqibTDbdlSc4CoM6Ec350uOofMIPyAxQ111IP9pwg/w640-h426/IMG-20240316-WA0004.jpg" style="font-family: verdana; text-align: justify;" width="640" /></p><div style="background-color: white; color: #222222; font-size: 16px; text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Waziri Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa akielezea mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita katika kuboresha huduma za AfyaMsingi, Elimumsingi na miundombinu.</span></div><div class="separator" style="clear: both; text-align: justify;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEju12iSaRerIq49GA7LBj47ENqr97lVpwnBRPYisp3f4vxaFEkQ7WlZc9awtr-ZJ_PVep0NSTl0EYGP5NijkR9xFhzR_LKdaQ2enuYHLDIg08v2nyjEbYDJB58fAbAQVjX9bytZLZdi8WiZT5CA8uVTvnSDW3y_vfg15lG9Re4bQefM-oxlLvMBSA/s2560/IMG-20240316-WA0001.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><span style="font-family: verdana;"><img border="0" data-original-height="1706" data-original-width="2560" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEju12iSaRerIq49GA7LBj47ENqr97lVpwnBRPYisp3f4vxaFEkQ7WlZc9awtr-ZJ_PVep0NSTl0EYGP5NijkR9xFhzR_LKdaQ2enuYHLDIg08v2nyjEbYDJB58fAbAQVjX9bytZLZdi8WiZT5CA8uVTvnSDW3y_vfg15lG9Re4bQefM-oxlLvMBSA/w640-h426/IMG-20240316-WA0001.jpg" width="640" /></span></a></div><div style="background-color: white; color: #222222; font-size: 16px;"><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam Mhe. Omary Kumbilamoto akielezea namna mradi wa DMDP-1 ilivyo wanufaisha wakazi wa Dar es Salaama</span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"><br /></span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"><br /></span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">*Mameya wa Ilala na Kinondoni wafurahia mradi wa DMDP*</span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"><br /></span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Na. Catherine Sungura, Dar es Salaam</span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"><br /></span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Katika kipindi cha miaka mitatu ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, bajeti ya kuboresha miundombinu chini ya TARURA takribani Trilioni 2.53 zimepokelewa kwaajili ya uboreshaji wa miundombinu ya barabara za vijijini na mijini.</span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"><br /></span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Hayo yameelezwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa wakati akielezea mafanikio ya miaka mitatu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mkoani Dar es Salaam.</span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"><br /></span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Mhe. Mchengerwa alisema nyakati ambayo Serikali imefanya kazi kubwa upande wa miundombinu ni kipindi cha Awamu ya Sita ndio maana Rais aliliona hilo na kuongeza bajeti ya TARURA.</span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"><br /></span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Alitaja mafanikio ya ujenzi wa barabara za lami na miradi ya kimkakati, zimejengwa barabara za Lami Km 819.22 ambazo zimeongeza mtandao wa barabara za lami toka Km 2,404.90 hadi Km 3,224.12.</span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"><br /></span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">“Wakati wa Baba wa Taifa alipoanzisha msingi wa kukuza miji kupitia dhana ya ujamaa, Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendeleza misingi ya Hayati Mwalimu Julius Nyerere”.</span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"><br /></span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Kwa upande wa ujenzi wa barabara za changarawe Waziri Mchengerwa alisema Km 11,924.36 zimejengwa na kuongezeka mtandao wa barabara za changarawe toka Km 29,183.17 hadi Km 41,107.52 na ujenzi wa Madaraja Wakala imejenga madaraja makubwa sita (6) ambayo ni ya Berega (140m) -(Kilosa,) Msadya (60m) -(Mpimbwe DC), Mwasanga (40m)- (Mbeya) yamejengwa na yanatumika. </span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"><br /></span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">“Rais amewagusa wananchi wengi wa vijijini kwa ujenzi wa madaraja ya Kiwila-(40m)-Ileje, Mkomanzi-Korogwe (60m) na Kalambo (80m)-(Kalambo) ujenzi ambao unaendelea kukamilishwa, tunawapongeza TARURA”.</span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"><br /></span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Aidha, alitaja mafanikio mengine ni ujenzi wa barabara na madaraja kwa kutumia malighafi za ujenzi zinazopatikana maeneo ya kazi zinapotekelezwa kama mawe, matofali ya kuchoma, ujenzi wa barabara kwa kutumia mawe.</span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"><br /></span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">“Mpaka sasa jumla ya Km 23.18 za Barabara ya Mawe zimejengwa kwa gharama ya bilioni 8.1 ambapo ni sawa na bilioni 12.8 kama tungetumia lami nyepesi (double surface dressing) na bilioni 33.6 kama tungetumia lami ya zege (Asphat Concrete)”, aliongeza kusema</span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"> </span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Vilevile alisema ujenzi wa madaraja kwa kutumia mawe ni mojawapo ya kipaumbele cha TARURA ni kutumia malighafi zinazopatikana maeneo ya kazi ili kupata ufanisi wa gharama za ujenzi. </span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"><br /></span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Hata hivyo alisema hadi Mwezi Februari, 2024 TARURA imejenga madaraja 226 ya mawe yenye thamani ya bilioni 12.52 ambapo gharama imepungua kwa zaidi ya asilimia 50.</span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"><br /></span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Wakala unaendelea kufanya majaribio ya teknolojia mbalimbali ili kutumia udongo uliopo eneo la kazi badala ya kusomba kutoka maeneo mengine ya mbali. </span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"><br /></span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Hadi sasa kwa kutumia Teknolojia ya ECOROADS zimejengwa Km 22 na ujenzi upo katika hatua mbalimbali za ukamilishaji.</span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"><br /></span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Naye, Mstahiki Meya wa jiji la Dar es Salaam Mhe. Omary Kumbilamoto alisema ndani ya miaka mitatu mradi wa DMDP kwa wilaya ya Ilala umeweza kuondosha kero za barabara kwa wakazi wengi wa Ulongoni hadi Gogolamboto ambao awali walijiona wametengwa.</span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"><br /></span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Alisema walipata bilioni 17.6 kwa ajili ya ujenzi wa barabara na mifereji na hivyo kuweza kuondoa changamoto na kuifanya Ilala kufunguka.</span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"><br /></span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Wakati huo huo Naibu Meya wa Kinondoni, Mhe. Joseph Rugasira alisema DMDP-1 walipata ujenzi wa barabara Km 55 na mitaro zaidi ya Km 8.9 na kufanya maeneo mengi ya Mwananyamala, Tandale na Kinondoni kwa ujumla kupendeza.</span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"><br /></span></div><div style="text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">“Tunampongeza Mhe. Rais kwani DMDP-2 itaenda kutatua changamoto za barabara na wananchi wanafurahia kuona maendeleo katika miundombinu”.</span></div></div><div style="background-color: white; color: #222222; font-size: 16px; text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;"><img border="0" data-original-height="1706" data-original-width="2560" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjC-03q9jTZp1xw-l7KHqakvC-Rd_AUK8CWyOGVTWfaro20qSiYzpJWbJOv8ugKFsVix_YgII4Ux8jBx6LRRJMgKOpntl3E8Hbf8Tm7BogAMoQAMdEl-9THobO_5n5opseOnI8ViIWHRNtGV2rZ_1UqRuayrv2G2yeUzurLfiqtDl-lQLN5B7Q285dozh8/w640-h426/IMG-20240316-WA0003%20(1).jpg" width="640" /></span></div><div style="background-color: white; color: #222222; font-size: 16px; text-align: justify;"><span style="font-family: verdana;">Wataalamu kutoka TARURA wakiongozwa na Mtendaji Mkuu Mhandisi Victor Seff wakiwa kwenye mjadala wa kuelezea mafanikio ya TARURA.</span></div>MICHUZI BLOGhttp://www.blogger.com/profile/04130017808001951362noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-16794326094939601422024-03-17T13:24:00.000+03:002024-03-17T13:24:20.759+03:00MERIDIANBET YATOA MSAADA MWENGE<p> <a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjdMFvHy3xcpCSr0PM09if83UyqkqeckfGsX5hmXTMQUfmpW5Hb1hPVmARd4GW_n5H1DnB-7I9Vb8WIeIlRjjiCUx0lmvws_0tr76Wg2Wy4HDtwcahkPVg1O4BDMXd8Duvvk4VjE102-Qtb0YIAAhyY-f05_pBUqXPU7J7NNspnutC3DhK5c8NvwLR56zw/s4680/IMG_7897.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em; text-align: center;"><img border="0" data-original-height="4680" data-original-width="3744" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjdMFvHy3xcpCSr0PM09if83UyqkqeckfGsX5hmXTMQUfmpW5Hb1hPVmARd4GW_n5H1DnB-7I9Vb8WIeIlRjjiCUx0lmvws_0tr76Wg2Wy4HDtwcahkPVg1O4BDMXd8Duvvk4VjE102-Qtb0YIAAhyY-f05_pBUqXPU7J7NNspnutC3DhK5c8NvwLR56zw/s16000/IMG_7897.jpg" /></a></p><span style="font-family: verdana;"><div style="text-align: justify;">MABINGWA wa michezo ya kubashiri kampuni ya <a href="https://a.meridianbet.co.tz/c/FLTFf4">Meridianbet</a> leo mapema wamefanikiwa kufika katika eneo la Mwenge jiji Da-es-salaam na kutoa msaada kwenye Zahanati inayopatika eneo hilo ikifahamika kama Mlalakuwa.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Huu ni utaratibu ambao Meridianbet imekua miaka na miaka wa kuhakikisha wanarudisha kwenye jamii yake, Ndivyo walivyofanya leo baada kufika kwenye Zahanati ya Mlalakuwa na kutoa msaada wa vifaa vya kuhifadhia takataka (Dustbins) ili kuimarisha usafi kwenye Zahanati hiyo.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Meridianbet wamefanya hivo kwakua hospitali ni sehemu ambayo inatoa huduma za kiafya hivo itakua sio jambo la busara kama sehemu ya kutoa huduma za kiafya ikawa sehemu ya kuharibu afya kwasababu ya uchafu, Na ndio maana mabingwa hao wa michezo ya kubashiri wameamua kutoa msaada wa vifaa vya kuhifadhi takataka.</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Aidha mkuu wa kitengo cha mawasiliano na masoko kutoka Meridianbet <a href="https://a.meridianbet.co.tz/c/FLTFf4">Bi. Nancy Ingram</a> alipata wasaa wa kuongea baada ya kutoa msaada wa vifaa hivo "Meridianbet tunajua na tunathamini sana umuhimu wa Utunzaji wa Mazingira hasa hasa katika zahanati, Kama wadau wa utunzaji wa mazingira tutaendelea kuimarisha na kuhamasisha zaidi utunzaji wa mazingira."</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">"Pia tunashukuru Uongozi wa Serikali ya Mtaa wa Mlalakuwa na Uongozi wa Zahanati ya Mlalakuwa kuungana na sisi katika zoezi hili nakutuunga mkono katika hili tulilolifanya leo”</div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Suka mkeka wako kwenye michezo mikali itakayopigwa leo kwenye ligi mbalimbali barani ulaya na dunia kwa ujumla. Machaguo zaidi za 1000 yapo huku lakini vile vile Turbo Cash pia ipo. Unasubiri nini sasa? Ingia meridianbet na<a href="https://a.meridianbet.co.tz/c/DpG92v"> ubashiri sasa.`</a></div><div style="text-align: justify;"><br /></div><div style="text-align: justify;">Mganga Mfawidhi katika Zahanati hiyo ya Mlalakuwa inayopatikana maeneo ya Mwenge Bi. Zamzam Said Omar alipata nafasi ya kuzungumza na kutoa shukrani zake kwa Meridianbet “Kiukweli ningependa kuwashukuru sana Meridianbet kutuchagua sisi Zahanati ya Mlalakuwa kua moja ya Zahanati ambazo zimepata msaada huu, Lakini kubwa zaidi ni sisi tutahakikisha tunaimarisha usafi eneo hili kwani kwa msaada huu mmetupa sisi deni asanteni sana”.</div></span><div style="text-align: justify;"><br /></div>MICHUZI BLOGhttp://www.blogger.com/profile/04130017808001951362noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-46543490699757492632024-03-17T11:29:00.001+03:002024-03-17T11:29:07.373+03:00 MABORESHO MSITU WA PUGU KAZIMZUMBWI YAMESAIDIA KUONGEZA WATALII-PROF SILAYO<p><span style="font-size: small;"><span style="font-family: verdana;">Na Said Mwishehe,Michuzi TV<br /><br />WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania(TFS) umesema jitihada mbalimbali za Serikali za kuimarisha uhifadhi, uboreshaji wa miundombinu, huduma za kiutalii na utangazaji wa vivutio vya utalii ikologia ndani na nje ya nchi imeongeza idadi ya mapato ya utalii kwa kasi katika Hifadhi ya Pugu Kazimzumbwi.<br /><br />Hayo yamesemwa na Kamishna wa Uhifadhi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania(TFS) Profesa Dos Santos Silayo alipokuwa akitoa maelezo kwa wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii walipotembelea Hifadhi ya Msitu wa Pugu Kazimzumbwe kwa lengo la kuangalia utekelezaji wa Mradi wa ustawi wa Taifa dhidi ya athari za UVIKO 19 katika msitu huo.<br /><br />“Shughuli za utalii katika msitu huu zilianza 2018/19 tukiwa na watalii 533 kwa mwaka na mapato Sh. 2,465,000 kwa mwaka lakini kutokana na maboresho mbalimbali yanayoendelea kufanyika kwa mwaka 2023 jumla ya watalii waliotembelea hifadhi hii walikuwa 22,491 na jumla ya mapato yaliyopatikana ni Sh.151,123,000.<br /><br />Kiasi hiki ni kikubwa ukilinganisha na uchanga wa shughuli hii katika msitu huu na TFS kwa ujumla.Tunamshukuru Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kwa kuweka msukumo mkubwa kwenye suala hili kwa vitendo kwa kutuwezesha fedha za kuimarisha miundombinu ya utalii kwenye maeneo ya misitu,”amesema Profesa Silayo.<br /><br />Kuhusu maboresho ya miundombinu katika msitu huo wa Hifadhi ya Mazingira Asilia Pugu,amesema ni miongoni mwa misitu 11 iliyonufaika na mradi wa kupunguza athari dhidi ya UVIKO 19. Mradi huo ulitekelezwa kama sehemu ya kuboresha miundombinu itakayokuza shughuli za utalii na kuvutia watalii kutoka maeneo mbalimbali.<br /><br />Amefafanua jumla ya Sh. 579,142,176 zilitengwa kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu katika msitu huo ambapo Sh. 294,764,800 zilitengwa kwa ajili ya kufungua barabara mpya yenye urefu wa kilometa 12 kutoka Kimani-Maguruwe na ukarabati wa barabara yenye urefu wa kilometa 1 kutoka Minaki – Bwawani na ujenzi wa kilometa 7 za njia za kutembea kwa miguu kwa pamoja.<br /><br />Pia Sh. 284,377,376.16 zilitengwa kwa ajili ya ujenzi wa lango la kuingilia lenye ofisi, kituo cha taarifa za utalii, ofisi ya malipo, kibanda cha mlinzi na vyoo huku akisisitiza utekelezaji wa mradi ulihusisha pia barabara mpya yenye urefu wa kilometa 12 kutoka Kimani – Maguruwe ambayo tayari ilifunguliwa. <br /><br />“Ukarabati wa kilometa moja ya barabara kutoka Minaki – Bwawani ulifanyika.Ujenzi wa njia za kutembea kwa miguu ulifanyika kwa kiwango cha zege kwenye maeneo magumu ya njia zenye urefu wa kilometa 7 kati ya njia zenye mtandao wa kilometa 34 za kutembea kwa miguu.<br /><br />“Kazi ya kufungua Barabara mpya, ukarabati wa barabara na ujenzi wa kiwango cha zege wa njia za kutembea kwa miguu ulifanyika kwa mkataba wa pamoja kwa jumla ya Sh.247,742,640.00 kwa kutumia mkandarasi Jamta Construction na kazi ilikamilika kwa mujibu wa mkataba,”amesema Profesa Silayo.<br /><br />Ameongeza katika kuendelea kuimaraisha barabara hiyo mpya iliyofunguliwa, Wakala ulijenga makalavati kwa kutumia MS Controlled Blasting and Construction Co Limited ambapo line culverts 14 zilijengwa kwa Sh.126,062,350 ambazo zilikuwa ni bakaa kutoka kwenye maeneo mengine ya mradi wa UVIKO - 19 na mradi huu umekamilika.<br /><br />Pia ujenzi wa kituo cha utalii cha kuingilia Pugu/Kazimzumbwi ulifanyika kwa kujenga jengo lenye ofisi ya wahifadhi, waongoza utalii, curio shop, ofisi ya malipo, chumba cha taarifa za utalii, vyoo na banda la mlinzi ambapo Sh.284,462,967.19 zilitumika.<br /><br />Amewaambia wajumbe wa kamati hiyo ya Bunge kwamba miradi ya UVIKO -19 katika msitu wa Pugu Kazimzumbwi umetumia jumla la Sh.658,267,957.19 ikijumuisha na bakaa ya fedha kutoka kwenye miradi mingine.<br /><br />Kuhusu manufaa ya mradi huo katika Msitu wa Pugu Kazimzumbwi ni uwepo wa barabara ya Kimani Maguruwe kilometa 12 ambayo imeanzishwa mahsusi kwa ajili ya shughuli za ulinzi wa msitu na kuongeza bidhaa za utalii kama mbio za miguu,mashindano ya mbio za baiskeli na pikipiki hifadhini.<br /><br />Ameongeza pia itasaidia kuimarisha ulinzi kwa maeneo yaliyokuwa yanavamiwa hasa safu ya Kazimzumbwi (Chanika na Nyeburu).Faida nyingine ni njia za kutembea kwa miguu zinazosaidia watalii kutembea msituni kwani awali maeneo hayo yalikuwa korofi na kusababisha watalii kushindwa kufika baadhi ya maeneo yenye bidhaa za utalii.<br /><br />“Ndani ya hifadhi kuna mtandao wa njia za kutembea kwa miguu zenye urefu wa jumla ya kilometa 34, ukarabati wa njia kupitia mradi wa UVIKO 19 kwa maeneo tofauti wenye jumla ya kilometa saba umefanyika na kuwa na jumla ya kilometa 25 ambazo zinafanya watalii kufikia vivutio vya utalii zilizoko ndani ya Hifadhi ya Msitu wa Pugu Kazimzumbwi.<br /><br />Pamoja na mradi wa kupunguza athari za UVIKO-19, Wakala kwa kutumia fedha zake za ndani na kushirikiana na wadau mbalimbali unaendelea na utekelezaji wa miradi mingine inayoendelea katika Hifadhi ya Pugu Kazimzumbwi.<br /><br />Awali akizungumza kwa niaba ya wajumbe wa kamati hiyo,Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Aridhi, Maliasili na Utalii Najma Giga amesema kamati imeridhishwa na matumizi ya fedha za mradi wa UVIKO-19 zilizotumika kuboresha miundimbinu ya msitu huo huku wakishauri ni vema msitu huo ukatengewa fedha kwa ajili ya kuutangaza kwani wanaamini ukiendelea kutangazwa utakuwa chanzo kikubwa cha mapato.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEipUdXeYD_xgHzD6wpRHYsldYlLflN4PWR7q8g-p4k0y99-FaqBninnQEoZbcU1_zMufbUvOsDAeIdoio9vjFg2_mHTn9yXnOoi_hG6Yie7zkA2abROJUJmm3y2SJTpShRsJCv2a8pkugmnVldvHf-D5NNFyP-qkKVJ8xtnyG613obtA2L6s7EcIg/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2009.31.08.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEipUdXeYD_xgHzD6wpRHYsldYlLflN4PWR7q8g-p4k0y99-FaqBninnQEoZbcU1_zMufbUvOsDAeIdoio9vjFg2_mHTn9yXnOoi_hG6Yie7zkA2abROJUJmm3y2SJTpShRsJCv2a8pkugmnVldvHf-D5NNFyP-qkKVJ8xtnyG613obtA2L6s7EcIg/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2009.31.08.jpeg" /> </a></span></span></p><p><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Matukio mbalimbali katika pich baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii walipotembelea Msitu wa Pugu Kazimzumbwi wilayani Kisarawe mkoani Pwani kwa lengo la kukagua utekelezaji wa mradi wa ustawi wa Taifa dhidi ya athari za UVIKO-19 katika msitu huo.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjg1Ii0w3tQ4YB92H_uFvZZyXTcaJ3KrJBF4uwL2zerZ66ZXPtYqtfweJAUEkiH4-DK-Flo_av5zdkL1z4zKVxNPpwhsSJ91nDXzrsVE-utYODSXBFbV-k3y-eVsHQ5ZfxBygqIJh67wRmGnImsJDphAAb4JV1cGyZZ8bUrMK6wiI1RV3LgkTaoFQ/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2009.31.09%20%281%29.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjg1Ii0w3tQ4YB92H_uFvZZyXTcaJ3KrJBF4uwL2zerZ66ZXPtYqtfweJAUEkiH4-DK-Flo_av5zdkL1z4zKVxNPpwhsSJ91nDXzrsVE-utYODSXBFbV-k3y-eVsHQ5ZfxBygqIJh67wRmGnImsJDphAAb4JV1cGyZZ8bUrMK6wiI1RV3LgkTaoFQ/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2009.31.09%20%281%29.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhulRwOJeFgDtZ89bV3vTCr996v1MkPkmzBbIm5T1y9nta4KJ9LPcbqqMchxJDtqy6OBEFmtpbhOTY4buchLqCRIhIJeF4yEpNpalI19mve1G91asLWwJclK7_rQJRygyWDq_8SzAWjw9pfvnnNfq-s-p2pZNz0lIg3nfuF0009tSBua152Yv9cVg/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2009.31.09.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhulRwOJeFgDtZ89bV3vTCr996v1MkPkmzBbIm5T1y9nta4KJ9LPcbqqMchxJDtqy6OBEFmtpbhOTY4buchLqCRIhIJeF4yEpNpalI19mve1G91asLWwJclK7_rQJRygyWDq_8SzAWjw9pfvnnNfq-s-p2pZNz0lIg3nfuF0009tSBua152Yv9cVg/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2009.31.09.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhYUn1Gs7m0f4fLF7dyUNUTRP_FyU4DMkdV-iJwsl6GuMn0bpEVMeowQB5zzQQylvlXFtq2jo3aJ6MeWqR5xfGbs80ulr30un1-C_9FerYwCRo48rgnXdNNqjjq0bHGSrzGsSQXdjXT1Ih4Df_bE8L1kO6-5AId13z6_Qt1D9Dm4DlXnb3we1QTxQ/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2009.31.10%20%281%29.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhYUn1Gs7m0f4fLF7dyUNUTRP_FyU4DMkdV-iJwsl6GuMn0bpEVMeowQB5zzQQylvlXFtq2jo3aJ6MeWqR5xfGbs80ulr30un1-C_9FerYwCRo48rgnXdNNqjjq0bHGSrzGsSQXdjXT1Ih4Df_bE8L1kO6-5AId13z6_Qt1D9Dm4DlXnb3we1QTxQ/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2009.31.10%20%281%29.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhvaKvyGi7Imw396Mvi2P1BQ6BsP17mV0v9uX_9pQhnvREKzaPLqVWWLhWeTgWdt2KWiJLEMImQPhcGXgZjz8kadxKOPvRbcezhAluloh6mK210lb96ZhQntj8lXwAXhsub03fqtwvd43BzVt54Zm16X9yoRN6m1rEc0TSVAZ6JEmcSiyDXo-zxqA/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2009.31.10%20%282%29.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhvaKvyGi7Imw396Mvi2P1BQ6BsP17mV0v9uX_9pQhnvREKzaPLqVWWLhWeTgWdt2KWiJLEMImQPhcGXgZjz8kadxKOPvRbcezhAluloh6mK210lb96ZhQntj8lXwAXhsub03fqtwvd43BzVt54Zm16X9yoRN6m1rEc0TSVAZ6JEmcSiyDXo-zxqA/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2009.31.10%20%282%29.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjiEhGK4UltkEiOgkcbSMeQRTuTAWTyKlzaNlFwvzLPo817CCGi0dovPR84-cOYrgFezy2LTyGL3bit2H4RC4nEgOt4L0jvH3c4WgzOO9f2ixTI5t1Ftbr6soxWXhDsmuYCDTV2YdCPJAwpAaEcH2lOdQZCnFEGHv2z6wOgx2CGW_Ei5TRTV1iwJA/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2009.31.10.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjiEhGK4UltkEiOgkcbSMeQRTuTAWTyKlzaNlFwvzLPo817CCGi0dovPR84-cOYrgFezy2LTyGL3bit2H4RC4nEgOt4L0jvH3c4WgzOO9f2ixTI5t1Ftbr6soxWXhDsmuYCDTV2YdCPJAwpAaEcH2lOdQZCnFEGHv2z6wOgx2CGW_Ei5TRTV1iwJA/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2009.31.10.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQAPS57RmtBWN-9mK-PPSdklaqiMri981A54M1G03d2KqG9grb88U-XorijWZg-xF4QIV0bZ1prGv3wlNoUW1-1W9DXwmxktXboPw27MjDhGlXIel1lto-3x2PpOd8HsTmLNxAR8SG5OK3xhmvBsr00k_Khh0chdi2a-t4EcRyKzMlwZTu0iXIfQ/s2560/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2009.31.11.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgQAPS57RmtBWN-9mK-PPSdklaqiMri981A54M1G03d2KqG9grb88U-XorijWZg-xF4QIV0bZ1prGv3wlNoUW1-1W9DXwmxktXboPw27MjDhGlXIel1lto-3x2PpOd8HsTmLNxAR8SG5OK3xhmvBsr00k_Khh0chdi2a-t4EcRyKzMlwZTu0iXIfQ/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-17%20at%2009.31.11.jpeg" /></a></span></p>Ahmad Michuzihttp://www.blogger.com/profile/03608058217608553857noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-17631148747191491762024-03-16T19:17:00.003+03:002024-03-16T19:17:25.770+03:00UBALOZI WA KENYA NCHINI TANZANIA WASHIRIKI KUPANDA MITI 300 SIKU YA WANGARI MAATHAI<span style="font-size: small;"><span style="font-family: verdana;">Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Isaac Njenga amesema kila mmoja analo deni na jukumu kubwa la kuhakikisha kwamba ana tunza mazingira kwa manufaa ya kizazi kijacho.<br /><br />Amesema mazingira ambayo tunajivunia kwasasa ni sababu ya kuwapo kwa watangulizi ambao walijitoa kwa kupanda miti na kuitunza na leo inasaidia kuzalisha chakula, maji na mahitaji mengine.<br /><br />Balozi Njenga ameyasema hayo leo Jumamosi Machi 16, 2024 wakati wa kupanda miti 300 katika Hifadhi ya Misitu ya Kazimzumbwi iliyoko wilayani Kisarawe mkoani Pwani.<br /><br />Upandaji huo wa miti umeshirikisha Wakala wa Misitu Tanzania(TFS) na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) ikiwa ni Maadhimisho ya Siku ya Wangari Maathai inayoenda sambamba na siku ya Mazingira Afrika ambayo huadhimishwa Machi 3, kila mwaka.<br /><br />Haata hivyo kwa mwaka huu siku hiyo ilisogezwa mbele baada ya msiba wa Rais wa Awamu ya Pili wa Tanzania, Hayati Ali Hassan Mwinyi, aliyefariki dunia Februari 29, 2024.<br /><br />“Tumeiadhimisha siku ya leo ya Wangari Maathai Day na siku ya Mazingira Afrika badala ya Machi 3, kutokana na msiba wa Mzee wetu, Hayati Ali Hassan Mwinyi, tunashukuru kuona kwamba kumekuwa na watu wengi kwani kutunza mazingira ni muhimu.<br /><br />“Katika mambo ambayo Wangari alihimiza na kuzingatia ni kwamba sisi tuna wajibu kama kizazi kilichopo sasa kupanda mti ili kukisaidia ama kutunza mazingira na hali ya maisha ya vizazi vijavyo.<br /><br />“Hivyo, kila mmoja wetu ana jukumu na deni la vizazi vijavyo katika utunzi wa mazingira, kwani haya tunayojivunia sasahivi ni sababu kulikuwa na watu waliopanda miti na kuitunza na ndiyo sasahivi tunapata maji, hali ya hewa nzuri na kupata chakula, hivyo hiyo ndiyo sababu inayotukutanisha katika siku yake na kuzingatia mambo aliyoyatilia mkazo siyo Kenya peke yake bali ukanda na dunia nzima kwa ujuma,” amesema Balozi Njenga.<br /><br />Akimzungumzia zaidi Wangari, Balozi Njenga amemwelezea kama mtu esema: “Wangari maisha yake yote alizingatia utuanzaji wa mazingira maisha yake yote hadi kuwa mwananmke wa kwanza kushinda tuzo ya Nobel kutokana na juhudi yake, mwaka 1977 alianzisha vuguvugu la kutetea mazingira (Greenberg Movement) kwa ajili ya kutetea haki za binadamu na kutunza mazingira,” amesema Balozi Njenga.<br /><br />Awali, akizungumza katika siku hiyo iliyokuwa na kauli mbinu ya Panda mti, Okoa Dunia, Mwakilishi wa Kamishna wa Uhifadhi TFS, …amesema miti iliyopanda katika hifadhi hiyo ni inayostahimili ukame huku akiitaja baadhi kuwa ni migunga na mkangazi ambayo huoteshwa kando ya mto.<br /><br />Upande wake Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dk. Immaculate Sware Semesi amesema mti ni mmoja ya kiungo cha dunia kinachoiwezesha kuishi kwani inaleta hewa, mvua, chakula na kulinda ardhi.<br /><br />“Hivyo, siku ya leo tunaisherehekea hii siku kama Afrika ikiwamo Tanzania kwa mchango mkubwa wa Kenya ambayo inasimamia Jumuiya ya Kimataifa inayoshughulikia mazingira, pia tunamsherehekea Mama Wangari ambaye alikuwa kinara Tanzania kutokea Kenya katyika nyanja ya utunzaji wa mazingira na alikuwa kinara katika upandaji miti kwa mltu mmoja mmoja ndani ya Bara letu la Afrika na ni mwanamke wa kwanza kupewa tuzo ya Nobel rekodi ambayo haijawahi kuvunjwa.<br /><br />“Kama Afrika na familia ya Afrika lazima tuwe kinara kuhakikisha kwamba mazingira yetu yako safi, yako hai na tunashughulikia hali ya mabadiliko ya tabianchi, tunadhibiti hatari yakutokea kwa jangwa hivyo hali hii ikiendelea hivi ilivyo tutashindwa kuishi sababu mti ni uhai,” amesema Dk. Immaculata.<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg0GWBLo0a7_KiKqD0ctNZI0Fsf6TB4nxiFQfsOIWHlgpfuhTpnS3LfPqgDc7Q_kmha7djuaBLMxKiQ8qFsDTwLc_Bif8Gay3jETYV9N-pDr-cF7QZaZYYe2waRegCTqDfSkXZVUwTfOetIOZnx0kHREVKGHJgnjVCZlePBsiTBe6EpjNoWQIdXvig87-Q/s3960/4034.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg0GWBLo0a7_KiKqD0ctNZI0Fsf6TB4nxiFQfsOIWHlgpfuhTpnS3LfPqgDc7Q_kmha7djuaBLMxKiQ8qFsDTwLc_Bif8Gay3jETYV9N-pDr-cF7QZaZYYe2waRegCTqDfSkXZVUwTfOetIOZnx0kHREVKGHJgnjVCZlePBsiTBe6EpjNoWQIdXvig87-Q/s600/4034.jpg" /></a><br />Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Balozi Isaac Njenga akizungumza katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiMa8UUT0oE17zcXll34LbuQhjdDULRSfHSWe_e5URTIFM-iXVCNalmi51qTbbDVmo9H2arXKtML-MH2Eu2azXUa-HXj05cOwFo9GgcArwQ5Ha5DmF_6WRMg1KSzrD1534UoZZKLdW2kLyWGnVjUlqauwIa_xP2c86sv2Dir_vxqx4IQJ_ziLXcdpMKoNc/s3960/4179.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiMa8UUT0oE17zcXll34LbuQhjdDULRSfHSWe_e5URTIFM-iXVCNalmi51qTbbDVmo9H2arXKtML-MH2Eu2azXUa-HXj05cOwFo9GgcArwQ5Ha5DmF_6WRMg1KSzrD1534UoZZKLdW2kLyWGnVjUlqauwIa_xP2c86sv2Dir_vxqx4IQJ_ziLXcdpMKoNc/s600/4179.jpg" /></a><br /> Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dkt. Immaculate Sware Semesi akiwa na Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Balozi Isaac Njenga, Naibu Kamishna Uhifadhi kutoka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania Bi.Carolen Mavunde pamoja na wadau wengine mbalimbali wa mazingira wakiwa kwenye picha ya pamoja huku wakiwa wameshika mche mmoja wa mti katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgvCYfzUzlj-sgxjapg51kU6iryLLQsWN6Lo-vnbZ2AaWRzvqOr3a2HG3OV-zSdpWcRFkq7b0NKipM2yxoXSd6MG4s7vwgHvDPoWk5gR1vi9lEIIbTbovMbCq3wh-569eg6OGRZVizW4Jo4KRfIN1dh8lCE5vHeoyWIihdXISm9R3lBuLtombkX6_G4-sc/s3960/4188.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgvCYfzUzlj-sgxjapg51kU6iryLLQsWN6Lo-vnbZ2AaWRzvqOr3a2HG3OV-zSdpWcRFkq7b0NKipM2yxoXSd6MG4s7vwgHvDPoWk5gR1vi9lEIIbTbovMbCq3wh-569eg6OGRZVizW4Jo4KRfIN1dh8lCE5vHeoyWIihdXISm9R3lBuLtombkX6_G4-sc/s600/4188.jpg" /></a><br /> Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dkt. Immaculate Sware Semesi akiwa na Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Balozi Isaac Njenga, Naibu Kamishna Uhifadhi kutoka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania Bi.Carolen Mavunde pamoja na wadau wengine mbalimbali wa mazingira wakiwa kwenye picha ya pamoja huku wakiwa wameshika mche mmoja wa mti katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgeQxqfjMvyAn3srlJi1SzY0PHkp7ggmGQcHILlPDRU0nhjL4aaWnz1j7-WVFLaGs1eYKJPxvbs412242rjVIgJ3SZCnr1_RTFcYM7aGB317DwxYpk9zhCdf9VIdqB_uPKljQ6rfWp0QAyqSjQ349wSLDFZHoVkyflkaGYqmEIVH-Z61KsApzAQjpNN16g/s3960/4190.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgeQxqfjMvyAn3srlJi1SzY0PHkp7ggmGQcHILlPDRU0nhjL4aaWnz1j7-WVFLaGs1eYKJPxvbs412242rjVIgJ3SZCnr1_RTFcYM7aGB317DwxYpk9zhCdf9VIdqB_uPKljQ6rfWp0QAyqSjQ349wSLDFZHoVkyflkaGYqmEIVH-Z61KsApzAQjpNN16g/s600/4190.jpg" /></a><br /> Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dkt. Immaculate Sware Semesi akipanda mti katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhkohMLS-C4SN8Z_Wpxmdf9o2mFrKnL9k66fRO-nXa3Qa6u5_x2mbKBtYNcPy5bFIPBtWlcGu5ya6nsH_6GVqNgvfXALxhqVoZtL75txqlPXmoTwwXzo6NXgT7h-UGebKQJiN4MrrOquSeQ9r6Wm2zM4DbjhpbqpCjJhZlEKuzvYVek2noxeiKMy2f_H5c/s3960/4203.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhkohMLS-C4SN8Z_Wpxmdf9o2mFrKnL9k66fRO-nXa3Qa6u5_x2mbKBtYNcPy5bFIPBtWlcGu5ya6nsH_6GVqNgvfXALxhqVoZtL75txqlPXmoTwwXzo6NXgT7h-UGebKQJiN4MrrOquSeQ9r6Wm2zM4DbjhpbqpCjJhZlEKuzvYVek2noxeiKMy2f_H5c/s600/4203.jpg" /></a><br /> Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dkt. Immaculate Sware Semesi akipanda mti katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgKIGtymVen72jjpk_OMvi0JTsGM97a7K5nP5zPhf7QTdgO7IloMcggcSqYumjbuFGPPfFthX00fMtQUFdb6WV2GeHtZLPnyoBMyKBXwIBzN9bxZRm668o44Aot3c-WmRK8ttlrHDgHg11WBNmAC-4wI2kKZR86SVwffauLiHUNUP9ZgOwR32ddEfnmiuc/s3960/4192.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgKIGtymVen72jjpk_OMvi0JTsGM97a7K5nP5zPhf7QTdgO7IloMcggcSqYumjbuFGPPfFthX00fMtQUFdb6WV2GeHtZLPnyoBMyKBXwIBzN9bxZRm668o44Aot3c-WmRK8ttlrHDgHg11WBNmAC-4wI2kKZR86SVwffauLiHUNUP9ZgOwR32ddEfnmiuc/s600/4192.jpg" /></a><br /> Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dkt. Immaculate Sware Semesi akipanda mti katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjmvoO3d80aB_jUPs_6z6j2lzLjTocemEFwr3cvIXh8c3fAt9dhwT5W3aWwkzUkYEYYugOm7zlSh5vvcvO-ICBCUeYsaV81y3K2mkQgG0a21dEgnjJ_EIVbR7pQxT-n39-a7pGQZomUaVT4hkcFRdjdM39wK3yhUZl9Cx9Z4FGHwL16Zvss2Nvs9VJ-CQk/s3960/4194.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjmvoO3d80aB_jUPs_6z6j2lzLjTocemEFwr3cvIXh8c3fAt9dhwT5W3aWwkzUkYEYYugOm7zlSh5vvcvO-ICBCUeYsaV81y3K2mkQgG0a21dEgnjJ_EIVbR7pQxT-n39-a7pGQZomUaVT4hkcFRdjdM39wK3yhUZl9Cx9Z4FGHwL16Zvss2Nvs9VJ-CQk/s600/4194.jpg" /></a><br /> Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dkt. Immaculate Sware Semesi akipanda mti katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjkFwX5IQ_DDGX3XiZYRigsJ3MA1GssLP126VFb4xWDVQiLx0V3yx2FSi430G6M4VnvQDCAJe9v0cs4wF1RoeQwbWfFU9BUGHOYJnMReOotkZoXyXcBDFLcJ6cY4MwFv3WqRmbzSFQQdaeZ3m3RNVYmQY3eaTQko5oVFWciocPjfwCyOUhLWBXNY4K_QyY/s3960/4228.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjkFwX5IQ_DDGX3XiZYRigsJ3MA1GssLP126VFb4xWDVQiLx0V3yx2FSi430G6M4VnvQDCAJe9v0cs4wF1RoeQwbWfFU9BUGHOYJnMReOotkZoXyXcBDFLcJ6cY4MwFv3WqRmbzSFQQdaeZ3m3RNVYmQY3eaTQko5oVFWciocPjfwCyOUhLWBXNY4K_QyY/s600/4228.jpg" /></a><br />Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Balozi Isaac Njenga akipanda mti katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEijHyHuCtNCjz0HAvimgbgMnG-i5gtEPv39eXEtykyfW8_xHpPrCIQ9eTPOnEevcJjP-V7zKkThyphenhyphenccl4MW6WVRdT_2icgW4soIC0cbatpJxGyJCTz1Q1v7xctfjdDIqG6i3r4XguCFp9w-EA3B8d6mwOBzVEMfSYeyBvZeCPonyy3pQcd9p4KTyCDrmSeM/s3960/4229.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEijHyHuCtNCjz0HAvimgbgMnG-i5gtEPv39eXEtykyfW8_xHpPrCIQ9eTPOnEevcJjP-V7zKkThyphenhyphenccl4MW6WVRdT_2icgW4soIC0cbatpJxGyJCTz1Q1v7xctfjdDIqG6i3r4XguCFp9w-EA3B8d6mwOBzVEMfSYeyBvZeCPonyy3pQcd9p4KTyCDrmSeM/s600/4229.jpg" /></a><br />Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Balozi Isaac Njenga akipanda mti katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.<br /><br /><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjKyVWQaX_xkn3EBS7PQAm7Hccta9E8SPnDe7mu1EI5_7lrS8NaTk4QERlEQP32kravbw3NFGZG73aLsN2tKeVh1Nqc-wrWbTwk5IP1fxCcd38kXmnaB59K0DdbFqKRAkTN7aAUh-AWCnKAWjB-bPtrYLVuaWIANz4TkCdJRSKKkjmh35jgOChjscQAHFc/s3960/4035.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjKyVWQaX_xkn3EBS7PQAm7Hccta9E8SPnDe7mu1EI5_7lrS8NaTk4QERlEQP32kravbw3NFGZG73aLsN2tKeVh1Nqc-wrWbTwk5IP1fxCcd38kXmnaB59K0DdbFqKRAkTN7aAUh-AWCnKAWjB-bPtrYLVuaWIANz4TkCdJRSKKkjmh35jgOChjscQAHFc/s600/4035.jpg" /></a><br />Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Balozi Isaac Njenga akizungumza katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgnqBlYsFB2S-qOMDNnSM0mhGJwjqutsrsnqrRl8Tp9P-xnjw13mQfaQO4lIpVZV88bdtCZXVmQavevcaA-Oo2_Pfzspef2GWzvrAgI-oUgZVtQ1aV5EWw403rKwBV9AYnIB0g7jnLE4VCJxo7E2jCGmIUdTcDFIrEMdDIindqagOHbRm6Ro9xp-f-BgTc/s3960/4037.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgnqBlYsFB2S-qOMDNnSM0mhGJwjqutsrsnqrRl8Tp9P-xnjw13mQfaQO4lIpVZV88bdtCZXVmQavevcaA-Oo2_Pfzspef2GWzvrAgI-oUgZVtQ1aV5EWw403rKwBV9AYnIB0g7jnLE4VCJxo7E2jCGmIUdTcDFIrEMdDIindqagOHbRm6Ro9xp-f-BgTc/s600/4037.jpg" /></a><br />Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Balozi Isaac Njenga akizungumza katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhGFltf1FHVEZ6jR_d2nQJZzDaMiY_Gaevcu7-KJ9lKJ-MR5LastOVsJ_yO8e-CqvV2SFBPJPTD_5WDWfFJ69CXbzJfOh4dZo_RiAoBCtKsXJmgoei0kZu_q-P6p0SKUengrP_rm0cSVfwkQhDaxgtZQtnDqT79HtgF4MnYAfpFI4bRgAs-jKHhM6Y0Y1c/s3960/4088.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhGFltf1FHVEZ6jR_d2nQJZzDaMiY_Gaevcu7-KJ9lKJ-MR5LastOVsJ_yO8e-CqvV2SFBPJPTD_5WDWfFJ69CXbzJfOh4dZo_RiAoBCtKsXJmgoei0kZu_q-P6p0SKUengrP_rm0cSVfwkQhDaxgtZQtnDqT79HtgF4MnYAfpFI4bRgAs-jKHhM6Y0Y1c/s600/4088.jpg" /></a><br />Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dkt. Immaculate Sware Semesi akizungumza katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiVY4Pj2kmVfwaNzpemPMjwNehlK3pWUsuKEic00J5oKSOBXy85zkl0SmS_Zkc2DxT3sY_GqvXHfYCNLO_iM5ztAlEZ2Du_hkY3fi-pn_m6Gcz-A7MYy-jlR-7s1i9E5WzNFe0KDS_-NBJGZ9zPkAIRs_jjmElCAYenBHV8Gc-lSCzQFNjo5iC8C5Nfg1o/s3960/4093.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiVY4Pj2kmVfwaNzpemPMjwNehlK3pWUsuKEic00J5oKSOBXy85zkl0SmS_Zkc2DxT3sY_GqvXHfYCNLO_iM5ztAlEZ2Du_hkY3fi-pn_m6Gcz-A7MYy-jlR-7s1i9E5WzNFe0KDS_-NBJGZ9zPkAIRs_jjmElCAYenBHV8Gc-lSCzQFNjo5iC8C5Nfg1o/s600/4093.jpg" /></a><br />Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dkt. Immaculate Sware Semesi akizungumza katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjq7GU1UPooT2HPI5VCGnXlozbuNZ-jtX4pSI1ALIXQ6XW_65rpf_uRNctEGtIySAWIW7ZvcqgrGegNYVis_MUm6yGp0juxjS5TX7V9F9pvClbFViYx_PNwY2X4_qf-62nVzVacAueo7vrDDbfALSI7NFFo9ecT-pSoZ9sB5t7gTBMPXQL7KSFQKzzRAD0/s3960/4101.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjq7GU1UPooT2HPI5VCGnXlozbuNZ-jtX4pSI1ALIXQ6XW_65rpf_uRNctEGtIySAWIW7ZvcqgrGegNYVis_MUm6yGp0juxjS5TX7V9F9pvClbFViYx_PNwY2X4_qf-62nVzVacAueo7vrDDbfALSI7NFFo9ecT-pSoZ9sB5t7gTBMPXQL7KSFQKzzRAD0/s600/4101.jpg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-lgNjmKuhTiVeyNFVSo9JUz9ZYG8jBCEOXl7Pz4008ugWb1v7IhMPWABSL0CcemzU3VCbfTZ0H075Sxib_4zwz-eXiEwj8dONL14E8qFMGx9qNwcxVkD5CpKLaRsrxcvBnsVeshI0eTJtso64DIBK-LBIbbXJskR4gLiWd9Hf0xH6q_4zkJCr_7YskSg/s3960/4105.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-lgNjmKuhTiVeyNFVSo9JUz9ZYG8jBCEOXl7Pz4008ugWb1v7IhMPWABSL0CcemzU3VCbfTZ0H075Sxib_4zwz-eXiEwj8dONL14E8qFMGx9qNwcxVkD5CpKLaRsrxcvBnsVeshI0eTJtso64DIBK-LBIbbXJskR4gLiWd9Hf0xH6q_4zkJCr_7YskSg/s600/4105.jpg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhj2QL-LKxQ-OVZmeTzGJW5KgEJ4Pz4KmoN07bAl0BVOG82U5FMHt79Pbu11v8PLGkdo-TKaqwOCx3ciKUFlnQN3DaroLGfjxU59vnEPOqBjbu1sTq1M6HXdlNEZyWwuT724aO_tw03XTqk01Y0M54wxAVzggVKH_X38K9Dng5_mky-GJTzyTmWk7RL8Vc/s3960/4113.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhj2QL-LKxQ-OVZmeTzGJW5KgEJ4Pz4KmoN07bAl0BVOG82U5FMHt79Pbu11v8PLGkdo-TKaqwOCx3ciKUFlnQN3DaroLGfjxU59vnEPOqBjbu1sTq1M6HXdlNEZyWwuT724aO_tw03XTqk01Y0M54wxAVzggVKH_X38K9Dng5_mky-GJTzyTmWk7RL8Vc/s600/4113.jpg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhi1qYsw9LK2-HHR_Z0RLNZL8b-CNVRDT9reptkkj_1OWXoRDhXIgZ9byXFJ_UgTGz5QyfIykmVEFbExlcuSfAf1umX_G3M4Hy8WXwDCot3eVkcJOG8mYXQEKEM40KJMGkMVs39aEkBW2wX2kdXqYnvjA_c7IHDk6l1_pCu8vGCASNFM9BZZiey2-q6lEQ/s3960/4121.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhi1qYsw9LK2-HHR_Z0RLNZL8b-CNVRDT9reptkkj_1OWXoRDhXIgZ9byXFJ_UgTGz5QyfIykmVEFbExlcuSfAf1umX_G3M4Hy8WXwDCot3eVkcJOG8mYXQEKEM40KJMGkMVs39aEkBW2wX2kdXqYnvjA_c7IHDk6l1_pCu8vGCASNFM9BZZiey2-q6lEQ/s600/4121.jpg" /></a><br /> Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dkt. Immaculate Sware Semesi akiwa na Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Balozi Isaac Njenga, Naibu Kamishna Uhifadhi kutoka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania Bi.Carolen Mavunde pamoja na wadau wengine mbalimbali wa mazingira wakiwa kwenye picha ya pamoja katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjIL27d-uL9B1xuwP2zby4t7KRNXBo2lXNI2lCaZ7S2RmllxTZ3QDbYMBJfKDGXjkYQf38nm79W-FNiE5cmnVwwGHfClypc6bkwIAGmCvUEzV38dI6QfpxkIxFBXDJoNCh7iPAtxLYQv2LXI88o-FM1Z4BpobLEbFpCxZ6G2sfrVMqBbQgiXxsqcmB0dVU/s3960/4041.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjIL27d-uL9B1xuwP2zby4t7KRNXBo2lXNI2lCaZ7S2RmllxTZ3QDbYMBJfKDGXjkYQf38nm79W-FNiE5cmnVwwGHfClypc6bkwIAGmCvUEzV38dI6QfpxkIxFBXDJoNCh7iPAtxLYQv2LXI88o-FM1Z4BpobLEbFpCxZ6G2sfrVMqBbQgiXxsqcmB0dVU/s600/4041.jpg" /></a><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEibwBT9XlzfagGccMYEio7lQeYW7kWx83YuetWDWCAMJtsHWr8LpzC8nFVOSTErV6g6PSRTA8XR82Nal7kVy6DPOrJy0fnHuske4i_raBp6wn1kSQTTzPTA88A3jh4yX5ckXvwxULo7EPXEQeAp9SaxS4xI_-EZqn9r8f2Ey6gbxtSTpYGKtMbnsmBELNY/s3960/4045.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEibwBT9XlzfagGccMYEio7lQeYW7kWx83YuetWDWCAMJtsHWr8LpzC8nFVOSTErV6g6PSRTA8XR82Nal7kVy6DPOrJy0fnHuske4i_raBp6wn1kSQTTzPTA88A3jh4yX5ckXvwxULo7EPXEQeAp9SaxS4xI_-EZqn9r8f2Ey6gbxtSTpYGKtMbnsmBELNY/s600/4045.jpg" /></a><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjwtNoPlY73ZIWbZ6iCUDVq2w1VtYKuDL33A1F_XUqHzIWTYaRbZ2iFhyv0VUoT9PbbzRR-ERjMNSn-BctkB79klixSeQGg2-SwUXvG0sDc6QAYNKhfjF5QRmyXlp1xEuiuHScg_1X_-XyrMw0NL43EMcTJ8GQA_ivIP_uvGVyKD31IRVpvc-8A7WIUwfk/s3960/4032.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjwtNoPlY73ZIWbZ6iCUDVq2w1VtYKuDL33A1F_XUqHzIWTYaRbZ2iFhyv0VUoT9PbbzRR-ERjMNSn-BctkB79klixSeQGg2-SwUXvG0sDc6QAYNKhfjF5QRmyXlp1xEuiuHScg_1X_-XyrMw0NL43EMcTJ8GQA_ivIP_uvGVyKD31IRVpvc-8A7WIUwfk/s600/4032.jpg" /></a><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiV1TOVr6y0x_eXMhwpet7YKc7OxciwZlQUDfNdNagkWuSYicmMaKpAYFWU2qUjBJ24hp2VJM28W13HDV3vwj3RDtAen3lb_Lp9Emfq056MZfXSEghcikPp_qFwIQsY9ihbMX-jT5tGoPSC3nS6c2JnV_ZUfXrc5KoRZeb3dg9DsvJdlF6T_sMcz7Kx5z4/s3960/4042.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiV1TOVr6y0x_eXMhwpet7YKc7OxciwZlQUDfNdNagkWuSYicmMaKpAYFWU2qUjBJ24hp2VJM28W13HDV3vwj3RDtAen3lb_Lp9Emfq056MZfXSEghcikPp_qFwIQsY9ihbMX-jT5tGoPSC3nS6c2JnV_ZUfXrc5KoRZeb3dg9DsvJdlF6T_sMcz7Kx5z4/s600/4042.jpg" /></a><br />Wadau mbalimbali wa mazingira wakiwa kwenye katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.<br /><br /><br />(PICHA ZOTE NA EMMANUEL MBATILO)<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjIL27d-uL9B1xuwP2zby4t7KRNXBo2lXNI2lCaZ7S2RmllxTZ3QDbYMBJfKDGXjkYQf38nm79W-FNiE5cmnVwwGHfClypc6bkwIAGmCvUEzV38dI6QfpxkIxFBXDJoNCh7iPAtxLYQv2LXI88o-FM1Z4BpobLEbFpCxZ6G2sfrVMqBbQgiXxsqcmB0dVU/s3960/4041.jpg"><br /></a></span></span> Ahmad Michuzihttp://www.blogger.com/profile/03608058217608553857noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-1163674002645118032024-03-16T19:02:00.001+03:002024-03-16T19:21:37.564+03:00KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA UJENZI BANDARI YA MWANZA KASKAZINI<span style="font-family: verdana; font-size: small;">Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeridhishwa na utekelezaji wa Mradi wa ujenzi, upanuzi na uboreshaji wa Bandari ya Mwanza Kaskazini iliyopo Jijini Mwanza. <br /><br />Hayo yamesemwa tarehe 16 Machi, 2024 Jijini Mwanza na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Seleman Kakoso ( Mb) wakati wa ziara ya kutembelea na kukagua mradi wa ujenzi, upanuzi na uboreshaji wa Bandari ya Mwanza Kaskazini.<br /><br />“ Kamati inaridhika na usimamizi wa mradi huu pamoja na miradi mingine yote ya TPA ambayo imetembelewa. Simamieni huu mradi uweze kukamilika kwa wakati na kuwa na tija kwa Watanzania”, amesema Mhe. Kakoso. <br /><br />Kwa upande wake Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Kihenzile ( Mb) akizungumza kwa niaba ya Waziri wa Uchukuzi, amesema Wizara imepokea maoni, mapendekezo na maelekezo ya Kamati na itaenda kuyafanyia kazi na kuyatekeleza. <br /><br />Mradi wa Utekelezaji wa ujenzi, upanuzi na uboreshaji wa Bandari ya Mwanza Kaskazini unatekelezwa kwa gharama ya shilingi bilioni 18.6 na utachukua miezi 18 kukamilika kwake ambapo hadi sasa umefikia Asilimia 30%.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiNCpM8stVJ6_RlVomt18vig_VKBPQQ5GVZXwIQtxU8Wyi22IKVs_EDkhLyu4GcqkzR1AaLBo8K97lVce-ZAat1iUXbrfbXjsgE9MBcZb6JBlidUYZCIyQvkzRWWclBWY4FZ4umetIRwSdrNxnlcTBc8lsrNFSwD8J5Ayz1s8d_5CKP0AJaLADHctkfLRM/s1280/WhatsApp%20Image%202024-03-16%20at%2017.46.51.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiNCpM8stVJ6_RlVomt18vig_VKBPQQ5GVZXwIQtxU8Wyi22IKVs_EDkhLyu4GcqkzR1AaLBo8K97lVce-ZAat1iUXbrfbXjsgE9MBcZb6JBlidUYZCIyQvkzRWWclBWY4FZ4umetIRwSdrNxnlcTBc8lsrNFSwD8J5Ayz1s8d_5CKP0AJaLADHctkfLRM/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-16%20at%2017.46.51.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiPTw9ovGW8f7LDi37s9_A1ySaFRlN59EC0aK7Gu5UJEKJY7Hc5FpVDGnoYnoAJQ_-DvlVRKZ6-6fh4DlgcrQZFMxSLDakjB8-Y43qrjlSu8maz_k0iGCPxBxzSp3rmyJzHw_6b5BX7zAH4AHTuhFqLLlKXRBJMhf1-O4xKay3IBKKV5_aODMfVpFIwhRc/s1280/WhatsApp%20Image%202024-03-16%20at%2017.46.52.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiPTw9ovGW8f7LDi37s9_A1ySaFRlN59EC0aK7Gu5UJEKJY7Hc5FpVDGnoYnoAJQ_-DvlVRKZ6-6fh4DlgcrQZFMxSLDakjB8-Y43qrjlSu8maz_k0iGCPxBxzSp3rmyJzHw_6b5BX7zAH4AHTuhFqLLlKXRBJMhf1-O4xKay3IBKKV5_aODMfVpFIwhRc/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-16%20at%2017.46.52.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjsq1BjylDOu7FcsTkgOHgrBQQxjjZFIH4meV5q0Y-QrNlyBZ9BGBCnDq2BTmePD2B-Tj26FpobxBhqckU8ANjyJ-Wo3LQhUT1atxGeJ2h0PhzKQRjqTg_Vn2fnh4tw1UZSydvQq9iVt9HpbrmHMpKUoiDL_iR1WFFUlwaawnqMEFtdvg6ZnzF0_LUNTSo/s1280/WhatsApp%20Image%202024-03-16%20at%2017.46.53%20%281%29.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjsq1BjylDOu7FcsTkgOHgrBQQxjjZFIH4meV5q0Y-QrNlyBZ9BGBCnDq2BTmePD2B-Tj26FpobxBhqckU8ANjyJ-Wo3LQhUT1atxGeJ2h0PhzKQRjqTg_Vn2fnh4tw1UZSydvQq9iVt9HpbrmHMpKUoiDL_iR1WFFUlwaawnqMEFtdvg6ZnzF0_LUNTSo/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-16%20at%2017.46.53%20%281%29.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgh5wffI4NDX11mXn5Yei-ypabtlxHV0Ve4bLe8spFJNz6VKCjjIxI4wHrqO3pMh04CggMkjV463g52EYgGQ_vRf1tOFVeD0bxg3Q25opxt8JVmvlBXDGvIORbwmWbkiCFP7ORvMX0bLqWPfRsQSSZap0OMZC8B68uWys1ayrIWpu988g8exzwLNTVUZs0/s1280/WhatsApp%20Image%202024-03-16%20at%2017.46.53.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgh5wffI4NDX11mXn5Yei-ypabtlxHV0Ve4bLe8spFJNz6VKCjjIxI4wHrqO3pMh04CggMkjV463g52EYgGQ_vRf1tOFVeD0bxg3Q25opxt8JVmvlBXDGvIORbwmWbkiCFP7ORvMX0bLqWPfRsQSSZap0OMZC8B68uWys1ayrIWpu988g8exzwLNTVUZs0/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-16%20at%2017.46.53.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgCJfphSg8fe7kZtSIUplHo6Y20tsV4Hpt2gmlRtmGilZ3BUkXPSuOq0KQ7puz6bLaD0gtXliNB24dk6qR6rvHcxT_A0fUKokdY_so4PwR7yCpnGv1IeGlL-l7sdLpgfBEUns0WuMkfCtU4egjeZT1Qzy6jrCKAcgt0qCJ-sd9xW_t36156TX9i77n2WhQ/s1280/WhatsApp%20Image%202024-03-16%20at%2017.46.54.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgCJfphSg8fe7kZtSIUplHo6Y20tsV4Hpt2gmlRtmGilZ3BUkXPSuOq0KQ7puz6bLaD0gtXliNB24dk6qR6rvHcxT_A0fUKokdY_so4PwR7yCpnGv1IeGlL-l7sdLpgfBEUns0WuMkfCtU4egjeZT1Qzy6jrCKAcgt0qCJ-sd9xW_t36156TX9i77n2WhQ/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-16%20at%2017.46.54.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiLWAHf-_ziVAgQCZKJhVO74tTHXatu-N6x_Qx5w1mkc7xcoOsAbx92hwBkRfpgQCDkXCTOf9rhlNZtNlZGcG-owyR3sJytYd2xPkfza9juras54Lq2BqMK31MALLXK_FuTibfa9PyDipOrY3emFZcwiJnNzEW8jjDH0lYgqZXZhtRll5IhFtN8RkC62t4/s1280/WhatsApp%20Image%202024-03-16%20at%2017.46.55.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiLWAHf-_ziVAgQCZKJhVO74tTHXatu-N6x_Qx5w1mkc7xcoOsAbx92hwBkRfpgQCDkXCTOf9rhlNZtNlZGcG-owyR3sJytYd2xPkfza9juras54Lq2BqMK31MALLXK_FuTibfa9PyDipOrY3emFZcwiJnNzEW8jjDH0lYgqZXZhtRll5IhFtN8RkC62t4/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-16%20at%2017.46.55.jpeg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgSAQoeJelLYSPcNwukHi_b2hqqOtTZNdRK_4aBjKfMfpwVGYIYN6H9SsU7HSQKvY4pyddjM5U9yLGlvmMxAKzwW2qwaNsHjZkU5F1sK1s8ux7Z-mmrid59Go8yhl3cz_pK_OSC2SlP1tQyzbMhjRf0p9e_BpxandujSr3gzgB54UzczQphQdq0GNZ7A2w/s1280/WhatsApp%20Image%202024-03-16%20at%2017.46.57.jpeg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgSAQoeJelLYSPcNwukHi_b2hqqOtTZNdRK_4aBjKfMfpwVGYIYN6H9SsU7HSQKvY4pyddjM5U9yLGlvmMxAKzwW2qwaNsHjZkU5F1sK1s8ux7Z-mmrid59Go8yhl3cz_pK_OSC2SlP1tQyzbMhjRf0p9e_BpxandujSr3gzgB54UzczQphQdq0GNZ7A2w/s600/WhatsApp%20Image%202024-03-16%20at%2017.46.57.jpeg" /></a></span>Ahmad Michuzihttp://www.blogger.com/profile/03608058217608553857noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-84556449236891906382024-03-16T18:51:00.002+03:002024-03-16T18:51:13.272+03:00MAMA WANGARI ALIKUWA KINARA KATIKA NYANJA YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA- DKT. IMMACULATE<div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV<br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">BARAZA la <span face="arial, sans-serif" style="background-color: white; color: #4d5156;">Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (</span>NEMC) kwa kushirikiana na Ubalozi wa Kenya Wakala wa huduma za Misitu Tanzania (TFS) pamoja na wadau mbalimbali wameshiriki katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani.</span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Hafla hiyo ya upandaji Miti kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai imekuwa ikiadhimishwa Machi 3, kila mwaka.</span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Akizungumza katika hafla hiyo leo Machi 16, 2024, Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dkt. Immaculate Sware Semesi ambaye alimuwakilisha Katibu Mkuu ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mary Maganga, amesema mti ni mmoja ya kiungo cha dunia kinachoiwezesha kuishi kwani inaleta hewa, mvua, chakula na kulinda ardhi.</span></div><div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">“Hivyo, siku ya leo tunaisherehekea hii siku kama Afrika ikiwamo Tanzania kwa mchango mkubwa wa Kenya ambayo inasimamia Jumuiya ya Kimataifa inayoshughulikia mazingira, pia tunamsherehekea Mama Wangari ambaye alikuwa kinara Tanzania kutokea Kenya katika nyanja ya utunzaji wa mazingira na alikuwa kinara katika upandaji miti kwa mtu mmoja mmoja ndani ya Bara letu la Afrika na ni mwanamke wa kwanza kupewa tuzo ya Nobel rekodi ambayo haijawahi kuvunjwa.</span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">“Kama Afrika na familia ya Afrika lazima tuwe kinara kuhakikisha kwamba mazingira yetu yako safi, yako hai na tunashughulikia hali ya mabadiliko ya tabianchi, tunadhibiti hatari yakutokea kwa jangwa, hivyo hali hii ikiendelea hivi ilivyo hivi sasa tutashindwa kuishi sababu mti ni uhai,”. Amesema Dkt. Immaculata.</span></div></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Kwa upande wake Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Balozi Isaac Njenga amesema kila mmoja analo deni na jukumu kubwa la kuhakikisha kwamba anatunza mazingira kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho.</span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Amesema mazingira ambayo tunajivunia hii hivi sasa ni sababu ya kuwapo kwa watangulizi ambao walijitoa kwa kupanda miti na kuitunza na leo inasaidia kuzalisha chakula, maji na mahitaji mengine.</span></div></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">“Katika mambo ambayo Wangari alihimiza na kuzingatia ni kwamba sisi tuna wajibu kama kizazi kilichopo sasa kupanda mti ili kukisaidia ama kutunza mazingira na hali ya maisha ya vizazi vijavyo.</span></div><div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">“Hivyo, kila mmoja wetu ana jukumu na deni la vizazi vijavyo katika utunzi wa mazingira, kwani haya tunayojivunia sasahivi ni sababu kulikuwa na watu waliopanda miti na kuitunza na ndiyo sasahivi tunapata maji, hali ya hewa nzuri na chakula, hiyo ndiyo sababu inayotukutanisha katika siku yake na kuzingatia mambo aliyoyatilia mkazo siyo Kenya peke yake bali Afrika na Duniani kwa ujumla,”. Amesema Balozi Njenga.</span></div></div><div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Akihitimisha hafla hiyo iliyoambatana na zoezi la upandaji miti , Naibu Kamishna Uhifadhi kutoka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania Bi.Carolen Mavunde kwa niaba ya Kamishna wa hifadhi wa wakala wa huduma za misitu Tanzania amesema msitu huu unaukubwa wa hekta 8965, unaaina 80 za ndege na 14 za wanyama wadogo pamoja na mimea ambayo Iko hatarini kutoweka.</span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"> Aidha amesema kuwa miti iliyopandwa katika hifadhi hiyo ni ile inayostahimili ukame huku akiitaja baadhi yake kuwa ni migunga na mkangazi ambayo huoteshwa kando ya mto.</span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Hata hivyo kwa mwaka huu sherehe hizo zilisogezwa mbele baada ya kifo cha Rais wa Awamu ya Pili wa Tanzania, Hayati Ali Hassan Mwinyi, aliyefariki dunia Februari 29, 2024.</span></div></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgvCYfzUzlj-sgxjapg51kU6iryLLQsWN6Lo-vnbZ2AaWRzvqOr3a2HG3OV-zSdpWcRFkq7b0NKipM2yxoXSd6MG4s7vwgHvDPoWk5gR1vi9lEIIbTbovMbCq3wh-569eg6OGRZVizW4Jo4KRfIN1dh8lCE5vHeoyWIihdXISm9R3lBuLtombkX6_G4-sc/s3960/4188.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgvCYfzUzlj-sgxjapg51kU6iryLLQsWN6Lo-vnbZ2AaWRzvqOr3a2HG3OV-zSdpWcRFkq7b0NKipM2yxoXSd6MG4s7vwgHvDPoWk5gR1vi9lEIIbTbovMbCq3wh-569eg6OGRZVizW4Jo4KRfIN1dh8lCE5vHeoyWIihdXISm9R3lBuLtombkX6_G4-sc/s600/4188.jpg" /></a></span></div><div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"> Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dkt. Immaculate Sware Semesi akiwa na Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Balozi Isaac Njenga, Naibu Kamishna Uhifadhi kutoka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania Bi.Carolen Mavunde pamoja na wadau wengine mbalimbali wa mazingira wakiwa kwenye picha ya pamoja huku wakiwa wameshika mche mmoja wa mti katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.</span></div></div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgeQxqfjMvyAn3srlJi1SzY0PHkp7ggmGQcHILlPDRU0nhjL4aaWnz1j7-WVFLaGs1eYKJPxvbs412242rjVIgJ3SZCnr1_RTFcYM7aGB317DwxYpk9zhCdf9VIdqB_uPKljQ6rfWp0QAyqSjQ349wSLDFZHoVkyflkaGYqmEIVH-Z61KsApzAQjpNN16g/s3960/4190.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgeQxqfjMvyAn3srlJi1SzY0PHkp7ggmGQcHILlPDRU0nhjL4aaWnz1j7-WVFLaGs1eYKJPxvbs412242rjVIgJ3SZCnr1_RTFcYM7aGB317DwxYpk9zhCdf9VIdqB_uPKljQ6rfWp0QAyqSjQ349wSLDFZHoVkyflkaGYqmEIVH-Z61KsApzAQjpNN16g/s600/4190.jpg" /></a></span><div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"> Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dkt. Immaculate Sware Semesi akipanda mti katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.</span></div></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhkohMLS-C4SN8Z_Wpxmdf9o2mFrKnL9k66fRO-nXa3Qa6u5_x2mbKBtYNcPy5bFIPBtWlcGu5ya6nsH_6GVqNgvfXALxhqVoZtL75txqlPXmoTwwXzo6NXgT7h-UGebKQJiN4MrrOquSeQ9r6Wm2zM4DbjhpbqpCjJhZlEKuzvYVek2noxeiKMy2f_H5c/s3960/4203.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhkohMLS-C4SN8Z_Wpxmdf9o2mFrKnL9k66fRO-nXa3Qa6u5_x2mbKBtYNcPy5bFIPBtWlcGu5ya6nsH_6GVqNgvfXALxhqVoZtL75txqlPXmoTwwXzo6NXgT7h-UGebKQJiN4MrrOquSeQ9r6Wm2zM4DbjhpbqpCjJhZlEKuzvYVek2noxeiKMy2f_H5c/s600/4203.jpg" /></a></span></div><div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"> Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dkt. Immaculate Sware Semesi akipanda mti katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.</span></div></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgKIGtymVen72jjpk_OMvi0JTsGM97a7K5nP5zPhf7QTdgO7IloMcggcSqYumjbuFGPPfFthX00fMtQUFdb6WV2GeHtZLPnyoBMyKBXwIBzN9bxZRm668o44Aot3c-WmRK8ttlrHDgHg11WBNmAC-4wI2kKZR86SVwffauLiHUNUP9ZgOwR32ddEfnmiuc/s3960/4192.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgKIGtymVen72jjpk_OMvi0JTsGM97a7K5nP5zPhf7QTdgO7IloMcggcSqYumjbuFGPPfFthX00fMtQUFdb6WV2GeHtZLPnyoBMyKBXwIBzN9bxZRm668o44Aot3c-WmRK8ttlrHDgHg11WBNmAC-4wI2kKZR86SVwffauLiHUNUP9ZgOwR32ddEfnmiuc/s600/4192.jpg" /></a></span></div><div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"> Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dkt. Immaculate Sware Semesi akipanda mti katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.</span></div></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjmvoO3d80aB_jUPs_6z6j2lzLjTocemEFwr3cvIXh8c3fAt9dhwT5W3aWwkzUkYEYYugOm7zlSh5vvcvO-ICBCUeYsaV81y3K2mkQgG0a21dEgnjJ_EIVbR7pQxT-n39-a7pGQZomUaVT4hkcFRdjdM39wK3yhUZl9Cx9Z4FGHwL16Zvss2Nvs9VJ-CQk/s3960/4194.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjmvoO3d80aB_jUPs_6z6j2lzLjTocemEFwr3cvIXh8c3fAt9dhwT5W3aWwkzUkYEYYugOm7zlSh5vvcvO-ICBCUeYsaV81y3K2mkQgG0a21dEgnjJ_EIVbR7pQxT-n39-a7pGQZomUaVT4hkcFRdjdM39wK3yhUZl9Cx9Z4FGHwL16Zvss2Nvs9VJ-CQk/s600/4194.jpg" /></a></span></div><div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"> Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dkt. Immaculate Sware Semesi akipanda mti katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjkFwX5IQ_DDGX3XiZYRigsJ3MA1GssLP126VFb4xWDVQiLx0V3yx2FSi430G6M4VnvQDCAJe9v0cs4wF1RoeQwbWfFU9BUGHOYJnMReOotkZoXyXcBDFLcJ6cY4MwFv3WqRmbzSFQQdaeZ3m3RNVYmQY3eaTQko5oVFWciocPjfwCyOUhLWBXNY4K_QyY/s3960/4228.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjkFwX5IQ_DDGX3XiZYRigsJ3MA1GssLP126VFb4xWDVQiLx0V3yx2FSi430G6M4VnvQDCAJe9v0cs4wF1RoeQwbWfFU9BUGHOYJnMReOotkZoXyXcBDFLcJ6cY4MwFv3WqRmbzSFQQdaeZ3m3RNVYmQY3eaTQko5oVFWciocPjfwCyOUhLWBXNY4K_QyY/s600/4228.jpg" /></a></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Balozi Isaac Njenga akipanda mti katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.</span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEijHyHuCtNCjz0HAvimgbgMnG-i5gtEPv39eXEtykyfW8_xHpPrCIQ9eTPOnEevcJjP-V7zKkThyphenhyphenccl4MW6WVRdT_2icgW4soIC0cbatpJxGyJCTz1Q1v7xctfjdDIqG6i3r4XguCFp9w-EA3B8d6mwOBzVEMfSYeyBvZeCPonyy3pQcd9p4KTyCDrmSeM/s3960/4229.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEijHyHuCtNCjz0HAvimgbgMnG-i5gtEPv39eXEtykyfW8_xHpPrCIQ9eTPOnEevcJjP-V7zKkThyphenhyphenccl4MW6WVRdT_2icgW4soIC0cbatpJxGyJCTz1Q1v7xctfjdDIqG6i3r4XguCFp9w-EA3B8d6mwOBzVEMfSYeyBvZeCPonyy3pQcd9p4KTyCDrmSeM/s600/4229.jpg" /></a></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Balozi Isaac Njenga akipanda mti katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.</span></div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg0GWBLo0a7_KiKqD0ctNZI0Fsf6TB4nxiFQfsOIWHlgpfuhTpnS3LfPqgDc7Q_kmha7djuaBLMxKiQ8qFsDTwLc_Bif8Gay3jETYV9N-pDr-cF7QZaZYYe2waRegCTqDfSkXZVUwTfOetIOZnx0kHREVKGHJgnjVCZlePBsiTBe6EpjNoWQIdXvig87-Q/s3960/4034.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg0GWBLo0a7_KiKqD0ctNZI0Fsf6TB4nxiFQfsOIWHlgpfuhTpnS3LfPqgDc7Q_kmha7djuaBLMxKiQ8qFsDTwLc_Bif8Gay3jETYV9N-pDr-cF7QZaZYYe2waRegCTqDfSkXZVUwTfOetIOZnx0kHREVKGHJgnjVCZlePBsiTBe6EpjNoWQIdXvig87-Q/s600/4034.jpg" /></a></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Balozi Isaac Njenga akizungumza katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjKyVWQaX_xkn3EBS7PQAm7Hccta9E8SPnDe7mu1EI5_7lrS8NaTk4QERlEQP32kravbw3NFGZG73aLsN2tKeVh1Nqc-wrWbTwk5IP1fxCcd38kXmnaB59K0DdbFqKRAkTN7aAUh-AWCnKAWjB-bPtrYLVuaWIANz4TkCdJRSKKkjmh35jgOChjscQAHFc/s3960/4035.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjKyVWQaX_xkn3EBS7PQAm7Hccta9E8SPnDe7mu1EI5_7lrS8NaTk4QERlEQP32kravbw3NFGZG73aLsN2tKeVh1Nqc-wrWbTwk5IP1fxCcd38kXmnaB59K0DdbFqKRAkTN7aAUh-AWCnKAWjB-bPtrYLVuaWIANz4TkCdJRSKKkjmh35jgOChjscQAHFc/s600/4035.jpg" /></a></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Balozi Isaac Njenga akizungumza katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgnqBlYsFB2S-qOMDNnSM0mhGJwjqutsrsnqrRl8Tp9P-xnjw13mQfaQO4lIpVZV88bdtCZXVmQavevcaA-Oo2_Pfzspef2GWzvrAgI-oUgZVtQ1aV5EWw403rKwBV9AYnIB0g7jnLE4VCJxo7E2jCGmIUdTcDFIrEMdDIindqagOHbRm6Ro9xp-f-BgTc/s3960/4037.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgnqBlYsFB2S-qOMDNnSM0mhGJwjqutsrsnqrRl8Tp9P-xnjw13mQfaQO4lIpVZV88bdtCZXVmQavevcaA-Oo2_Pfzspef2GWzvrAgI-oUgZVtQ1aV5EWw403rKwBV9AYnIB0g7jnLE4VCJxo7E2jCGmIUdTcDFIrEMdDIindqagOHbRm6Ro9xp-f-BgTc/s600/4037.jpg" /></a><br />Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Balozi Isaac Njenga akizungumza katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhGFltf1FHVEZ6jR_d2nQJZzDaMiY_Gaevcu7-KJ9lKJ-MR5LastOVsJ_yO8e-CqvV2SFBPJPTD_5WDWfFJ69CXbzJfOh4dZo_RiAoBCtKsXJmgoei0kZu_q-P6p0SKUengrP_rm0cSVfwkQhDaxgtZQtnDqT79HtgF4MnYAfpFI4bRgAs-jKHhM6Y0Y1c/s3960/4088.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhGFltf1FHVEZ6jR_d2nQJZzDaMiY_Gaevcu7-KJ9lKJ-MR5LastOVsJ_yO8e-CqvV2SFBPJPTD_5WDWfFJ69CXbzJfOh4dZo_RiAoBCtKsXJmgoei0kZu_q-P6p0SKUengrP_rm0cSVfwkQhDaxgtZQtnDqT79HtgF4MnYAfpFI4bRgAs-jKHhM6Y0Y1c/s600/4088.jpg" /></a></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dkt. Immaculate Sware Semesi akizungumza katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiVY4Pj2kmVfwaNzpemPMjwNehlK3pWUsuKEic00J5oKSOBXy85zkl0SmS_Zkc2DxT3sY_GqvXHfYCNLO_iM5ztAlEZ2Du_hkY3fi-pn_m6Gcz-A7MYy-jlR-7s1i9E5WzNFe0KDS_-NBJGZ9zPkAIRs_jjmElCAYenBHV8Gc-lSCzQFNjo5iC8C5Nfg1o/s3960/4093.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiVY4Pj2kmVfwaNzpemPMjwNehlK3pWUsuKEic00J5oKSOBXy85zkl0SmS_Zkc2DxT3sY_GqvXHfYCNLO_iM5ztAlEZ2Du_hkY3fi-pn_m6Gcz-A7MYy-jlR-7s1i9E5WzNFe0KDS_-NBJGZ9zPkAIRs_jjmElCAYenBHV8Gc-lSCzQFNjo5iC8C5Nfg1o/s600/4093.jpg" /></a></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dkt. Immaculate Sware Semesi akizungumza katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.<br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjq7GU1UPooT2HPI5VCGnXlozbuNZ-jtX4pSI1ALIXQ6XW_65rpf_uRNctEGtIySAWIW7ZvcqgrGegNYVis_MUm6yGp0juxjS5TX7V9F9pvClbFViYx_PNwY2X4_qf-62nVzVacAueo7vrDDbfALSI7NFFo9ecT-pSoZ9sB5t7gTBMPXQL7KSFQKzzRAD0/s3960/4101.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjq7GU1UPooT2HPI5VCGnXlozbuNZ-jtX4pSI1ALIXQ6XW_65rpf_uRNctEGtIySAWIW7ZvcqgrGegNYVis_MUm6yGp0juxjS5TX7V9F9pvClbFViYx_PNwY2X4_qf-62nVzVacAueo7vrDDbfALSI7NFFo9ecT-pSoZ9sB5t7gTBMPXQL7KSFQKzzRAD0/s600/4101.jpg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-lgNjmKuhTiVeyNFVSo9JUz9ZYG8jBCEOXl7Pz4008ugWb1v7IhMPWABSL0CcemzU3VCbfTZ0H075Sxib_4zwz-eXiEwj8dONL14E8qFMGx9qNwcxVkD5CpKLaRsrxcvBnsVeshI0eTJtso64DIBK-LBIbbXJskR4gLiWd9Hf0xH6q_4zkJCr_7YskSg/s3960/4105.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-lgNjmKuhTiVeyNFVSo9JUz9ZYG8jBCEOXl7Pz4008ugWb1v7IhMPWABSL0CcemzU3VCbfTZ0H075Sxib_4zwz-eXiEwj8dONL14E8qFMGx9qNwcxVkD5CpKLaRsrxcvBnsVeshI0eTJtso64DIBK-LBIbbXJskR4gLiWd9Hf0xH6q_4zkJCr_7YskSg/s600/4105.jpg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhj2QL-LKxQ-OVZmeTzGJW5KgEJ4Pz4KmoN07bAl0BVOG82U5FMHt79Pbu11v8PLGkdo-TKaqwOCx3ciKUFlnQN3DaroLGfjxU59vnEPOqBjbu1sTq1M6HXdlNEZyWwuT724aO_tw03XTqk01Y0M54wxAVzggVKH_X38K9Dng5_mky-GJTzyTmWk7RL8Vc/s3960/4113.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhj2QL-LKxQ-OVZmeTzGJW5KgEJ4Pz4KmoN07bAl0BVOG82U5FMHt79Pbu11v8PLGkdo-TKaqwOCx3ciKUFlnQN3DaroLGfjxU59vnEPOqBjbu1sTq1M6HXdlNEZyWwuT724aO_tw03XTqk01Y0M54wxAVzggVKH_X38K9Dng5_mky-GJTzyTmWk7RL8Vc/s600/4113.jpg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhi1qYsw9LK2-HHR_Z0RLNZL8b-CNVRDT9reptkkj_1OWXoRDhXIgZ9byXFJ_UgTGz5QyfIykmVEFbExlcuSfAf1umX_G3M4Hy8WXwDCot3eVkcJOG8mYXQEKEM40KJMGkMVs39aEkBW2wX2kdXqYnvjA_c7IHDk6l1_pCu8vGCASNFM9BZZiey2-q6lEQ/s3960/4121.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhi1qYsw9LK2-HHR_Z0RLNZL8b-CNVRDT9reptkkj_1OWXoRDhXIgZ9byXFJ_UgTGz5QyfIykmVEFbExlcuSfAf1umX_G3M4Hy8WXwDCot3eVkcJOG8mYXQEKEM40KJMGkMVs39aEkBW2wX2kdXqYnvjA_c7IHDk6l1_pCu8vGCASNFM9BZZiey2-q6lEQ/s600/4121.jpg" /></a><br /></span><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"> Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Dkt. Immaculate Sware Semesi akiwa na Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Balozi Isaac Njenga, Naibu Kamishna Uhifadhi kutoka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania Bi.Carolen Mavunde pamoja na wadau wengine mbalimbali wa mazingira wakiwa kwenye picha ya pamoja katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.</span></div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjIL27d-uL9B1xuwP2zby4t7KRNXBo2lXNI2lCaZ7S2RmllxTZ3QDbYMBJfKDGXjkYQf38nm79W-FNiE5cmnVwwGHfClypc6bkwIAGmCvUEzV38dI6QfpxkIxFBXDJoNCh7iPAtxLYQv2LXI88o-FM1Z4BpobLEbFpCxZ6G2sfrVMqBbQgiXxsqcmB0dVU/s3960/4041.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjIL27d-uL9B1xuwP2zby4t7KRNXBo2lXNI2lCaZ7S2RmllxTZ3QDbYMBJfKDGXjkYQf38nm79W-FNiE5cmnVwwGHfClypc6bkwIAGmCvUEzV38dI6QfpxkIxFBXDJoNCh7iPAtxLYQv2LXI88o-FM1Z4BpobLEbFpCxZ6G2sfrVMqBbQgiXxsqcmB0dVU/s600/4041.jpg" /></a><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEibwBT9XlzfagGccMYEio7lQeYW7kWx83YuetWDWCAMJtsHWr8LpzC8nFVOSTErV6g6PSRTA8XR82Nal7kVy6DPOrJy0fnHuske4i_raBp6wn1kSQTTzPTA88A3jh4yX5ckXvwxULo7EPXEQeAp9SaxS4xI_-EZqn9r8f2Ey6gbxtSTpYGKtMbnsmBELNY/s3960/4045.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEibwBT9XlzfagGccMYEio7lQeYW7kWx83YuetWDWCAMJtsHWr8LpzC8nFVOSTErV6g6PSRTA8XR82Nal7kVy6DPOrJy0fnHuske4i_raBp6wn1kSQTTzPTA88A3jh4yX5ckXvwxULo7EPXEQeAp9SaxS4xI_-EZqn9r8f2Ey6gbxtSTpYGKtMbnsmBELNY/s600/4045.jpg" /></a><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjwtNoPlY73ZIWbZ6iCUDVq2w1VtYKuDL33A1F_XUqHzIWTYaRbZ2iFhyv0VUoT9PbbzRR-ERjMNSn-BctkB79klixSeQGg2-SwUXvG0sDc6QAYNKhfjF5QRmyXlp1xEuiuHScg_1X_-XyrMw0NL43EMcTJ8GQA_ivIP_uvGVyKD31IRVpvc-8A7WIUwfk/s3960/4032.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjwtNoPlY73ZIWbZ6iCUDVq2w1VtYKuDL33A1F_XUqHzIWTYaRbZ2iFhyv0VUoT9PbbzRR-ERjMNSn-BctkB79klixSeQGg2-SwUXvG0sDc6QAYNKhfjF5QRmyXlp1xEuiuHScg_1X_-XyrMw0NL43EMcTJ8GQA_ivIP_uvGVyKD31IRVpvc-8A7WIUwfk/s600/4032.jpg" /></a><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiV1TOVr6y0x_eXMhwpet7YKc7OxciwZlQUDfNdNagkWuSYicmMaKpAYFWU2qUjBJ24hp2VJM28W13HDV3vwj3RDtAen3lb_Lp9Emfq056MZfXSEghcikPp_qFwIQsY9ihbMX-jT5tGoPSC3nS6c2JnV_ZUfXrc5KoRZeb3dg9DsvJdlF6T_sMcz7Kx5z4/s3960/4042.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiV1TOVr6y0x_eXMhwpet7YKc7OxciwZlQUDfNdNagkWuSYicmMaKpAYFWU2qUjBJ24hp2VJM28W13HDV3vwj3RDtAen3lb_Lp9Emfq056MZfXSEghcikPp_qFwIQsY9ihbMX-jT5tGoPSC3nS6c2JnV_ZUfXrc5KoRZeb3dg9DsvJdlF6T_sMcz7Kx5z4/s600/4042.jpg" /></a></span></div><div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Wadau mbalimbali wa mazingira wakiwa kwenye katika zoezi la upandaji miti 300 kwa heshima ya Mazingira ya Afrika na Siku ya Wangari Maathai katika Hifadhi ya Mazingira ya Pugu Kazimzumbwi mkoani Pwani leo Machi 16, 2024.</span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">(PICHA ZOTE NA EMMANUEL MBATILO)</span></div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span> </div>Ahmad Michuzihttp://www.blogger.com/profile/03608058217608553857noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-1202239865294843512.post-52543007441511621482024-03-15T19:16:00.002+03:002024-03-15T19:51:16.803+03:00KAMATI YA BUNGE YAIPONGEZA TET KWA UTENDAJI KAZI WAKE<div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imeipongeza Taasisi ya Elimu (TET) kwa utendaji kazi uliotukuka, hasa katika eneo la utekelezaji wa Mitaala iliyoboreshwa na uandaaji wa vitabu vya kiada kwa wanafunzi wa elimu ya Awali na Msingi.</span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Pongezi hizo zimetolewa leo Machi 15, 2024 na Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Husna Sekiboko aliyeambatana na wajumbe wa kamati pamoja na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda, Naibu Waziri wake, Makatibu Wakuu wa Wizara hiyo pamoja na wajumbe wa menejimenti ya TET walioongozwa na Mkurugenzi Mkuu Dkt. Aneth Komba.</span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Akitoa pongezi hizo katika Ofisi za TET Jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mhe. Husna Sekiboko amesema kuwa, kamati ya Bunge imeridhishwa na utendaji wa TET na kuwapongeza kwa kufanya kazi kwa weledi katika kipindi cha maboresho ya Mitaala yaliyofanyika miaka miwili iliyopita na utekelezaji wake ulioanza Januari 2024.</span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">“Kwa kweli TET imefanya kazi nzuri sana katika suala la uboreshaji elimu hapa nchini, hasa katika kipindi hiki ambacho tunahitaji wanafunzi waweze kujitegemea baada ya kupata elimu yao kutokana na kupata ujuzi.”Amesema Mhe. Sekiboko. </span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Pia, ameitaka TET kuhakikisha inaweka lengo la ugawaji wa vitabu vya kiada kwa wanafunzi nchi nzima kufikia uwiano wa kitabu kwa mwananafunzi mmoja badala ya sasa kitabu kimoja kwa wanafunzi watatu.</span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Kwa upande wake Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekinolojia Prof. Adolf Mkenda ameipongeza TET kwa utendaji wake mzuri na wa weledi, ikiwemo katika eneo la mafunzo kwa njia ya darasa la kidigitali (smart class) ambalo linaunganisha madarasa mia tatu kwa wakati mmoja.</span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">“Madarasa hayo ya kidigitali yatasaidia sana katika kuhakikisha wanafunzi wote nchini wanajifunza kwa kupitia digitali na kurahisisha eneo la ufundishaji na ujifunzaji.” Amesema Prof. Mkenda.</span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Nae, Mwenyekiti wa Baraza la TET, Prof. Maulid Mwatawala ameishukuru kamati ya bunge kwa kuitembelea Taasisi hiyo, huku akiwahakikishia kuyafanyia kazi maelekezo yote waliyoyatoa.</span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;">Awali akiwasilisha hali ya utendaji wa Taasisi ya Elimu Tanzania Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo, Dkt. Aneth Komba, ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha kwaajili ya utekelezaji wa Mtaala ulioboreshwa ikiwemo eneo la mafunzo na uchapaji wa vitabu vya kiada.</span></div></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><div><span style="font-family: verdana; font-size: small;"><br /></span></div><span style="font-size: small;"><span style="font-family: verdana;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjZ9-lzL3ZeGuP2F8IZEu34_gJDUMArBKAAHfPiCjGLFB-02XqN8LUzmsGjWiVNtPaZaHBJgySUgw1QmG8Fryjs_rYGCibzpyezFsDF9TrqX5dzaPKu0nkBFt18cPOgXpeDlKfmkcmBD0JA5QGQtOCkISJ7bOJOKKa8Tld6JCzmE-irhW3BPavjmWXaO7o/s3960/3924.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjZ9-lzL3ZeGuP2F8IZEu34_gJDUMArBKAAHfPiCjGLFB-02XqN8LUzmsGjWiVNtPaZaHBJgySUgw1QmG8Fryjs_rYGCibzpyezFsDF9TrqX5dzaPKu0nkBFt18cPOgXpeDlKfmkcmBD0JA5QGQtOCkISJ7bOJOKKa8Tld6JCzmE-irhW3BPavjmWXaO7o/s600/3924.jpg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgd0dOv6BQlI5ARKAYhjNDucaLO-cA-jr3iyF43Dj3-S4pnK2qljffgqSAVsS2xwLj1we8ZQN-e-AKLkG3QEbtP94V97zLu2bAIg91mVFSnaD1nFQbuhkxZ67KRcyOPWG9w3WTQzBnB5_AiIFGTVMzvd6Fg6O1yEdo7pT5Z73sGRgDTsAvkL58t9DNBEEc/s3960/3932.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgd0dOv6BQlI5ARKAYhjNDucaLO-cA-jr3iyF43Dj3-S4pnK2qljffgqSAVsS2xwLj1we8ZQN-e-AKLkG3QEbtP94V97zLu2bAIg91mVFSnaD1nFQbuhkxZ67KRcyOPWG9w3WTQzBnB5_AiIFGTVMzvd6Fg6O1yEdo7pT5Z73sGRgDTsAvkL58t9DNBEEc/s600/3932.jpg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjVnW5T01gynfG5VpIVDL4IWIjlof2hfeDRj2gre4E0ECh5LGDgipzm2MfY-QnwRFkLXt7ebUYfW4lEH7f4nRvEACadNANQ2wPF_EiChlV7Lqvdi27oT2VCkRDghrTTrXhjX0MhgntCH7tGH9fsDAE0sAd5mmjAGSUEB-lqyFf9Tsv1X05R7jE1TlEAljE/s3960/3941.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjVnW5T01gynfG5VpIVDL4IWIjlof2hfeDRj2gre4E0ECh5LGDgipzm2MfY-QnwRFkLXt7ebUYfW4lEH7f4nRvEACadNANQ2wPF_EiChlV7Lqvdi27oT2VCkRDghrTTrXhjX0MhgntCH7tGH9fsDAE0sAd5mmjAGSUEB-lqyFf9Tsv1X05R7jE1TlEAljE/s600/3941.jpg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgi2nY3JpiH2ooUD72T_3uC0RGD2_NOClH6fuvL1lUzKzRF0o1iNBqw1KwZH77dRiEcn_fOrdGukxyRHBMc1pYOYQOBGTIYUkpqwl6fQrZaO6LJJU6NoF6BTIs3ngsfLF5Xr9ZvyCpUDvXlwlxu8EMvALBXg0cb80vcAu8avDnt_PS-2ad5K9r1dIbp0Uc/s3960/3944.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgi2nY3JpiH2ooUD72T_3uC0RGD2_NOClH6fuvL1lUzKzRF0o1iNBqw1KwZH77dRiEcn_fOrdGukxyRHBMc1pYOYQOBGTIYUkpqwl6fQrZaO6LJJU6NoF6BTIs3ngsfLF5Xr9ZvyCpUDvXlwlxu8EMvALBXg0cb80vcAu8avDnt_PS-2ad5K9r1dIbp0Uc/s600/3944.jpg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg3dgw4uUt50hTyC4suPO3pQk64Tljjd2og6WtWz_ELqJya-aJbG0oK6LOIM8KpD1nrGvHZDVfxx2mseyU5jwrsNzgvLlkADaBqI79wpqB4dYcrPSosI0MUtAo-GMjpxYALSs64OD3mbwERw24gMrKdG_WP32WxadmMibnDftfC37FPqdfnPC6i-f_xYwo/s3960/3974.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg3dgw4uUt50hTyC4suPO3pQk64Tljjd2og6WtWz_ELqJya-aJbG0oK6LOIM8KpD1nrGvHZDVfxx2mseyU5jwrsNzgvLlkADaBqI79wpqB4dYcrPSosI0MUtAo-GMjpxYALSs64OD3mbwERw24gMrKdG_WP32WxadmMibnDftfC37FPqdfnPC6i-f_xYwo/s600/3974.jpg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhUHXE_Hquc6O0pgUGWSOnBFcW4LG9FobmWZR0x-lKt52_913a-ofIYBsEjg5m1HCsgIGW2FR8coGEAbmf_hJbWPN_pw4vGQCvpUq0dKgNm26-Pi2ie-kwj03K125oGxjKut0X4a49en-ds-rRdrH1w6VAAJPifq5gtmwDirtejv9OFMn49xGDRi6C91oo/s3960/4006.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhUHXE_Hquc6O0pgUGWSOnBFcW4LG9FobmWZR0x-lKt52_913a-ofIYBsEjg5m1HCsgIGW2FR8coGEAbmf_hJbWPN_pw4vGQCvpUq0dKgNm26-Pi2ie-kwj03K125oGxjKut0X4a49en-ds-rRdrH1w6VAAJPifq5gtmwDirtejv9OFMn49xGDRi6C91oo/s600/4006.jpg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhUsoITc3n6mbk__DD8gtTf922aSG37sikS-9kVFEEXQSHc9ospl8egtcZUihTTWRoPHD54DDL6_s7ZijN55xIPudpNrcd_LGbq0ub9PnAIaBdMDgWeSNullnbxK2n67-rpIMsuRX1_A0xH9sJ3qHqJAemkRjJ7XzCSSV4HoUOolDh8g7i8loyO1M6VWxw/s3960/4014.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhUsoITc3n6mbk__DD8gtTf922aSG37sikS-9kVFEEXQSHc9ospl8egtcZUihTTWRoPHD54DDL6_s7ZijN55xIPudpNrcd_LGbq0ub9PnAIaBdMDgWeSNullnbxK2n67-rpIMsuRX1_A0xH9sJ3qHqJAemkRjJ7XzCSSV4HoUOolDh8g7i8loyO1M6VWxw/s600/4014.jpg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiW4cNv28Rl-oF6cbsvlHjxsv8Fv4grrsQG3EhgAOh5JjdCqPiPVukKIuJtJMaLpH7350F9YrAsdDG6AiVEOqi0z3glxwTOHM3S6wSIXaYAZoYpr1Vbz15AGUtTk_mbqcs9CG_VzfSu3hPlR6fSo2sQr6MtYzpk7KEyMiP-0m_KWpfo39ld2MBXQScrctM/s3960/4015.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiW4cNv28Rl-oF6cbsvlHjxsv8Fv4grrsQG3EhgAOh5JjdCqPiPVukKIuJtJMaLpH7350F9YrAsdDG6AiVEOqi0z3glxwTOHM3S6wSIXaYAZoYpr1Vbz15AGUtTk_mbqcs9CG_VzfSu3hPlR6fSo2sQr6MtYzpk7KEyMiP-0m_KWpfo39ld2MBXQScrctM/s600/4015.jpg" /></a><br /><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhwMBHi2GZJLDHhrMhGRyS4csUQIiapgM4ivelHE14BhqatxY_RpdwBSAnJEdQLmUzb49ofIFPLJ6CxZfORH8afL29PUiZkPBs4DJrTD30wro4JC-lcx4AokdnY5GBGkyqfibV_4Y3kr7CcSj0QJ5RbWK0oE1unXxYdlkcvTKY7I8x14MtdL8oBu6cY2M0/s3960/4019.jpg"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhwMBHi2GZJLDHhrMhGRyS4csUQIiapgM4ivelHE14BhqatxY_RpdwBSAnJEdQLmUzb49ofIFPLJ6CxZfORH8afL29PUiZkPBs4DJrTD30wro4JC-lcx4AokdnY5GBGkyqfibV_4Y3kr7CcSj0QJ5RbWK0oE1unXxYdlkcvTKY7I8x14MtdL8oBu6cY2M0/s600/4019.jpg" /></a><br /></span><br /></span> Ahmad Michuzihttp://www.blogger.com/profile/03608058217608553857noreply@blogger.com0