HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, November 17, 2016

UGONJWA WA KIMETA WAANZA KUWAMALIZA WANYAMAPORI, TANAPA YAPANIA KUDHIBITI USIINGIE KWENYE HIFADHI ZA TAIFA


Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara, Noelia Myonga (kushoto) akizungumza wakati wa kupanga mikakati ya kudhibiti ugonjwa wa Kimeta ambao unahusisha watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro na Idara ya wanyamapori.
Maafisa wa idara ya wanyapori wakiangalia mmoja wa mizoga iliyokufa kutokana na ugonjwa wa Kimeta katika Shoroba ya Selela wilayani Monduli mkoa wa Arusha.

Daktari wa Mifugo wa halmashauri ya wilaya ya Monduli,Yandu Marmo akimkagua mnyama aliyekufa kwa ugonjwa wa Kimeta.

Mzoga wa Swala.

Ndege wakiwa wamejikusanya kula mizoga iliyokufa kwa ugonjwa wa Kimeta.

Mzoga wa mnyama aina ya Nyumbu.

Maafisa wa Shirika la Hifadhi za Taifa(Tanapa) na Idara ya Wanyamapori wakiwa kwenye Shoroba ya Selela kudhibiti ugonjwa wa Kimeta,katikati ni Meneja Uhusiano wa Tanapa,Pascal Shelutete na Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara,Noelia Myonga kulia kwake wajidaliana jambo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad