Naibu
Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Mhandisi Edwin Ngonyani
akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika mkutano watano wa Bunge la 11
linaloebdelea Mjini Dodoma Novemba 7, 2016.
Waziri
wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu
akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika mkutano watano wa Bunge la 11
linaloebdelea Mjini Dodoma Novemba 7, 2016.
Naibu
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt
Susan Kolimba akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika mkutano watano
wa Bunge la 11 linaloebdelea Mjini Dodoma Novemba 7, 2016.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Gerson Lwenge akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika mkutano watano wa Bunge la 11 linaloebdelea Mjini Dodoma Novemba 7, 2016.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Hamadi Massauni akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika mkutano watano wa Bunge la 11 linaloebdelea Mjini Dodoma Novemba 7, 2016.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. George Masaju akijibu hoja mbalimbali za wabunge katika mkutano watano wa Bunge la 11 linaloebdelea Mjini Dodoma Novemba 7, 2016.
Waziri
Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim majaliwa
akijadiliana jambo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. George Masaju katika mkutano watano wa Bunge la 11 linaloebdelea Mjini Dodoma Novemba 7, 2016.
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia wambura akifuatilia mkutano watano wa Bunge la 11 linaloebdelea Mjini Dodoma Novemba 7, 2016.
Mwanasheria
Mkuu wa Serikali Mhe. George Masaju(kulia) Waziri wa Elimu Sayansi na
teknolojia Mhe. Prof Joyce Ndalichako(katikati) na Waziri wa Nchi ofisi
ya Waziri Mkuu Mhe. Jenista Mhagama wakijadiliana jambo wakati wa
mkutano watano wa Bunge la 11 linaloebdelea Mjini Dodoma Novemba 7,
2016.
Baadhi
ya mawaziri na wabunge wakiwasili katika viwanja vya bunge kuhudhulia
mkutano wa tano wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma Novemba 7,
2016. Picha zote na Idara ya Habari MAELEZO
No comments:
Post a Comment