HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, November 8, 2016

MAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUGUMZA NA WAUMINI WA DINI YA KIKRISTO PEMBA NA KUZINDUA ALBAM YA KWAYA YA R G C

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akisalimiana na Viongozi wa Dini wakati akiwasili katika ukumbi wa Chuo cha Amali Vitongoji Pemba, kuzungumza na Waumini wa Dini na kuzindua Albam la Kwaya ya R.G.C, ya chakechake.9Picha na Othman Maulid) 7-11-2016
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akiangalia bidhaa zinazotengenezwa na Kikundi cha Wawanawake cha Nia Njema cha Wete Pemba wakati wa mkutano huo na Viongozi wa Dini Kisiwani Pemba uliofanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Amali Vitongoji.(Picha na Othman Maulid)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akizungumza na Waumini madhehebu mbalimbali ya dini ya Kikristo kisiwani Pemba wakati wa mkutano wake wa kutoa shukrani kwa ushirikiano wao katika shughuli na maendeleo na kudumisha amali Zanzibar na hafla ya uzindua Albam ya Kwanya ya Kikundi cha Kanisa la R.G.C, Chakechake Pemba iliozinduliwa katika ukumbi wa Chuo cha Amali Vitongoji Pemba leo.(Picha na Othman Maulid)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akizungua Albam ya Kwaya ya Kanisa la T.G.C ya Nyimbo za kuitakia Amani Zanzibar uzinduzi huo umefanyika kastika Ukumbi wa Chuo cha Mafunzo ya Amali Vitongoji Pemba kulia Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman na Mchungaji wa Kanisa la Anglikana Zanzibar Emanuel Masoud.(Picha na Othman Maulid)
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akionesha Albam ya Kwaya ya R.G.C ya Chakechake baada ya kuinduwa ikiwa na nyimbo za kuitakia Amani Zanzibar uzinduzi huo umefanyika katika ukumbi wa Chuo cha Mafunzo ya Amali Vitongoji Pemba.(Picha na Othman Maulid).
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, akizungumza na Waumini wa Dini wa madhehebu mbalimbali ya Kikristo kisiwani Pemba wakati wa mkutano wake wa kuwashukuru kwa ushirikiano katika shughuli za maendeleo na kudumisha amani na kuwazinduliwa Albam ya Kwaya ya Kanisa la R.G.C Chakechake, uliofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Amali Vitongoji Pemba. kulia Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman na Mchungaji wa Kanisha la Anglikana Zanzibar Emanuel Masoud.(Picha na Othman Maulid)
BAADHI ya Waumini wa madhehebu mbalimbali wa Dini ya Kikristo kisiwani Pemba wakimsikiliza Mke wa Rais wa Zanzibar akitowa nasaha zake kwa waumini hao katika ukumbi wa Chuo cha Mafunzo ya Amali Vitongoji Pemba.(Picha na Othman Maulid)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad