HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, November 17, 2016

KIKAO CHA VIONGOZI KATIKA OFISI YA RAIS NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI

  Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee (katikati) alipokuwa akizungumza na Viongozi wa Idara mbali mbali za Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi leo katika  kikao  kilichohusu masuala ya utendaji wa kazi za kila siku katika ukumbi wa Jumba la Wananchi Forodhani,[Picha na Ikulu.] 17/11/2016.
 Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee (katikati) alipokuwa akizungumza na Viongozi wa Idara mbali mbali za Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi katika kikao  kilichozungumzia  masuala ya utendaji wa kazi za kila siku kilichofanyika leo katika ukumbi wa Jumba la Wananchi Forodhani,[Picha na Ikulu.] 17/11/2016.
 Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu Nd,Hassan Khatibu Hassan  akitoa mchango wake wakati wa kikao cha siku moja kilichozungumzia masuala ya uwajibikaji katika kazi za kila siku chini ya Mwenyekiti wake Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee (hayupo pichani),kilichofanyika leo ukumbi wa Jumba la Wananchi Forodhani,(kushoto) Mkurugenzi Mipango wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Nd,Mwadini Haji [Picha na Ikulu.] 17/11/2016.
 Mwandishi wa Rais wa Zanzibar Nd,Said Ameir akichangia wakati wa kikao cha watendaji mbali mbali wa idara zilizo katika Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,kilichozungumzia zaidi utendaji wa kila siku katika  ukumbi wa Jumba la Wananchi Forodhani leo chini ya Mwenyekiti Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee(hayupo pichani) [Picha na Ikulu.] 17/11/2016.
Watendaji mbali mbali wa idara zilizo katika Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,wakiwa katika kikao cha siku moja kilichozungumzia zaidi utendaji wa kazi za kila siku katika  ukumbi wa Jumba la Wananchi Forodhani leo, chini ya Mwenyekiti Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee(hayupo pichani) [Picha na Ikulu.] 17/11/2016.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad