Mkuu
wa Mkoa wa Njombe Mh. Dr Rehema Nchimbi
akiwa kwenye chumba cha wazazi akiwapatia akina mama waliojifungua
watoto zawadi mbali mbali.
Wanafamilia tunapenda kuungana na watanzania wote kumtakia heri ya kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa mama yetu mpendwa Dr Rehema Nchimbi, Mungu azidi kumlinda na kumtunza ili aendelee kutumika kwa faida ya Taifa letu.
Pichani ndie mama mzazi wa mh Dr Rehema Rehema Nchimbi Bibi Mwl Selina
Daudi. Pongezi kwake kwa kutuletea kiongozi wa wote.
Mama DR Rehema Nchimbi akifurahia jambo na
watoto wake.
No comments:
Post a Comment