HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 16, 2016

HAPPY BIRTHDAY MH RC DR REHEMA NCHIMBI

  Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mh. Dr Rehema Nchimbi  akiwa kwenye chumba cha wazazi akiwapatia akina mama waliojifungua watoto zawadi mbali mbali.
Wanafamilia tunapenda kuungana na watanzania wote kumtakia heri ya kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa mama yetu mpendwa Dr Rehema Nchimbi, Mungu azidi kumlinda na kumtunza ili aendelee kutumika kwa faida ya Taifa letu.
 Pichani ndie mama mzazi wa mh  Dr Rehema Rehema Nchimbi Bibi Mwl Selina Daudi. Pongezi kwake kwa kutuletea kiongozi wa wote.
Mama DR Rehema Nchimbi akifurahia jambo na watoto wake.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad