Ceccyleyer Godfrey ni msichana wa miaka 18, Ni Mwanamitindo wa kitanzania na ni mshiriki pekee anaeiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Miss Teen - Heritage yatakayo fanyika huko nchini Sri Lanka. anaomba kura yako moja kila siku kupitia site maalumu ya shindano hilo ambayo ni hii:
ili kumuwezesha kuipeperusha vyema Bendera yetu ya Tanzania. Kumbuka. kura moja kila siku.
Asante.
No comments:
Post a Comment