HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, October 31, 2016

Mwanamitindo Ceccyleyer Godfrey anaomba kura yako

Ceccyleyer Godfrey ni msichana wa miaka 18, Ni Mwanamitindo wa kitanzania na ni mshiriki pekee anaeiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Miss Teen - Heritage yatakayo fanyika huko nchini Sri Lanka. anaomba kura yako moja kila siku kupitia site maalumu ya shindano hilo ambayo ni hii: 


ili kumuwezesha kuipeperusha vyema Bendera yetu ya Tanzania. Kumbuka. kura moja kila siku. 
Asante.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad