HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 11, 2016

MTENDAJI MKUU TEMESA AWATAKA WATENDAJI WAKE KUWEKA MAZINGIRA YA KUJITEGEMEA KWA KUZALISHA MAPATO ZAIDI.

 Mtendaji Mkuu wa TEMESA Dkt. Mussa Mgwatu (kulia) akisikiliza taarifa ya Meneja wa TEMESA Geita Mhandisi Gilly Chacha (Kushoto) alipotembelea kituoni hapo.
 Mtendaji Mkuu wa TEMESA Dkt. Mussa Mgwatu (kulia) akikagua sehemu ya kutengenezea magari katika karakana ya TEMESA Geita alipotembelea kituoni hapo  (aliyevaa miwani) ni Meneja wa TEMESA Geita Mhandisi Gilly Chacha
 Watumishi wa karakana ya TEMESA Geita wakimsikiliza Mtendaji Mkuu wa TEMESA Dkt. Mussa Mgwatu (hayupo pichani) alipotembelea kituoni hapo.
Picha zote na Theresia mwami TEMESA Geita.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad