Mshindi wa jiongeze na M-pawa mkazi wa Ngudu Mkoani Mwanza Peter Magina,akionesha mfano wa hundi,kwenye hafla ya makabidhiano iliyofanyika jijini Mwanza.
Mshindi
wa jiongeze na M-pawa mkazi wa Ngudu Mkoani Mwanza Peter
Magina(katiktai) akipokea mfano wa hundi kutoka kwa Mkuu wa Vodacom
Tanzania Kanda ya Ziwa,Ayubu Kalufya(kushoto), wakati wa hafla ya
makabidhiano iliyofanyika jijini Mwanza, kulia ni Meneja wa duka la kampuni hiyo mkoani humo Jumeo Khamis.
No comments:
Post a Comment