Msanii wa vichekesho kutoka nchini Kenya, Eric Omondi ametoka na kichekesho chake kingine baada ya vile vya "How to Be Diamond Platnumz, Akothee", sasa amekuja na hii aliyotoa sifa tano kwa yeyote anaetaka kuwa kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli "How To Be Magufuli".
Unaweza kuicheki video yake hiyo video hapa chini.
Wednesday, October 5, 2016
Home
BURUDANI
EAC
VIJANA
WASANII
Mchekeshaji Eric Omondi wa Kenya kaja na "How To Be Magufuli", icheki video yake hapa
Mchekeshaji Eric Omondi wa Kenya kaja na "How To Be Magufuli", icheki video yake hapa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment