HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, October 1, 2016

MANISPAA YA UBUNGO WAUNGANA KUPANDA MITI KATIKA MANISPAA YAO JIJINI DAR LEO.

 Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Dkt. Sivila Mwanisi akishirikiana na mfanyakazi wa manispaa ya Ubungo Kupanda miti ikiwa ni kuunga mkono juhudi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam za kupanda miti  jijini Dar es Salaam leo.
Kaimu Afisa Utumishi Mkuu wa Manispaa ya Ubungo, Joseph Alute akipanda mti katika kuunga mkono juhudi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda alipowataka wakazi wa jiji la Dar es Salaam kupanda miti kwaajili ya kutunza mazingira pamoja na kupendezesha mazingira ya jiji.
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Sekondari wakipanda mti jijini Dar es Salaam leo.
 

 Wanafunzi wakiwa wamebeba miti kwaajili ya kupanda.
 Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari wakipanda miti jijini Dar es Salaam leo.
baadhi ya wafanyakazi wa manispaa ya Ubungo akipanda  miti jijini Dar es Salaam leo.
Picha na Yasir Adam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad