Kaimu
Mganga Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Dkt. Sivila Mwanisi akishirikiana na
mfanyakazi wa manispaa ya Ubungo Kupanda miti ikiwa ni kuunga mkono
juhudi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam za kupanda miti jijini Dar es
Salaam leo.
Kaimu
Afisa Utumishi Mkuu wa Manispaa ya Ubungo, Joseph Alute akipanda mti
katika kuunga mkono juhudi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul
Makonda alipowataka wakazi wa jiji la Dar es Salaam kupanda miti
kwaajili ya kutunza mazingira pamoja na kupendezesha mazingira ya jiji.
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Sekondari wakipanda mti jijini Dar es Salaam leo.
Wanafunzi wakiwa wamebeba miti kwaajili ya kupanda.
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari wakipanda miti jijini Dar es Salaam leo.
baadhi ya wafanyakazi wa manispaa ya Ubungo akipanda miti jijini Dar es Salaam leo.
Picha na Yasir Adam.
No comments:
Post a Comment