Waziri
Mkuu , Kassim Majaliwa akikabidhiwa jezi yanye maneno Hapa Kazi Tu
iliyotolewa na wawekezaji kutoka Korea ya Kusini waliokuja nchini kuona
fursa mbalimbali za uwekezaji. Awali Waziri Mkuu alizungumza na
wawekezaji hao ofisini kwake jijini Dar es salaam Septemba 27, 2016.
Kulia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, ambaye
pia ni Mbunge wa Ilemela, Angelina Mabula.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na viongozi wa makampuni mbalimbali kutoka Korea ya Kusini ambao wamekuja Tanzania kuona fursa mbalimbali za uwekezaji. Mazungumzo hayo yalifanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Septemba 27, 2016. Kushoto kwake ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mbunge wa Ilemela, Angelina Mabula
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa makampuni mbalimbali ya Korea Kusini ambao wapo nchini kuona fursa mbalimbali za uwekezaji nchini. Picha hiyo ilitanguliwa na mazungumzo yaliyofanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Septemba 27. Watatu kulia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mbula.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment