Wafungwa wa Gereza Tukuyu, Mkoani Mbeya wakivuna chai katika
Shamba la Gereza hilo kama inavyoonekana katika picha.
Gereza
hilo lilijengwa mwaka 1994 na shughuli zinazofanyika ni Kilimo cha
chai, Kilimo cha Migomba, Bustani za mbogamboga pamoja na Utunzaji wa
mazingira kwa upandaji miti na ufugaji wa samaki kwa majaribio.(Picha
zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).
Mkuu wa Gereza Tukuyu, Mkoani Mbeya, SSP. Prosper Kinyaga
akionesha sehemu ya eneo lenye ekari 26 linaloendesha Kilimo cha chai
katika gereza hilo.
Muonekano wa baadhi ya mashamba ya Kilimo cha chai katika
Gereza Tukuyu.
No comments:
Post a Comment