HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, September 2, 2016

TMA YAWAPIGA MSASA WANAHABARI KUELEKEA UTABIRI WA HALI YA HEWA MSIMU HUU


 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), Dkt. Agness Kijazi akizungumza katika warsha ya siku moja kwa Waandishi wa Habari juu ya Masuala ya Utabiri wa Hali ya Hewa kwa Msimu huu, inayofanyika hivi sasa kwenye Ukumbi wa Kituo hicho, Ubungo Plaza, Jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), Dkt. Agness Kijazi akizungumza katika warsha ya siku moja kwa Waandishi wa Habari juu ya Masuala ya Utabiri wa Hali ya Hewa kwa Msimu huu, inayofanyika hivi sasa kwenye Ukumbi wa Kituo hicho, Ubungo Plaza, Jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Huduma za Utabiri wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini, Dkt. Hamza Kabelwa akifafanua jambo wakati akijibu maswali, katika warsha ya siku moja kwa Waandishi wa Habari juu ya Masuala ya Utabiri wa Hali ya Hewa kwa Msimu huu, inayofanyika hivi sasa kwenye Ukumbi wa Kituo hicho, Ubungo Plaza, Jijini Dar es salaam.
Meneja wa Kituo cha Utabiri wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), Samuel Mbuya akifafanua jambo wakati wa Warsha hiyo.
Meneja wa Kituo cha Utabiri wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), Samuel Mbuya akitoa mafunzo kwa baadhi ya Waandishi wa Habari juu ya Hali ya Hewa kwa Msimu wa Mwaka 2016, inayofanyika hivi sasa kwenye Ukumbi wa Kituo hicho, Ubungo Plaza, Jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Utafiti na Matumizi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), Dkt. Ladislaus Chang'a akielezea jambo kwa Waandishi wa Habari, wakati wa warsha ya siku moja kwa Waandishi wa Habari juu ya Masuala ya Utabiri wa Hali ya Hewa kwa Msimu huu, inayofanyika hivi sasa kwenye Ukumbi wa Kituo hicho, Ubungo Plaza, Jijini Dar es salaam.
Afisa Mawasiliano wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini, Monica Mutoni.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad