Meneja Mawasiliano na Mahusiano wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Sylvia Lupembe akimweleza jambo Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, George Simbachawene kwenye maonesho yaliyofanyika katika Mkutano Mkuu wa ALAT mjini Musoma.
Kaimu
Meneja Miradi Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Anne Mlimuka akitoa
ufafanuzi kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Geita Simon Berege katika
maonesho yanayofanyika mkoani humo katika Mkutano Mkuu wa ALAT.
Ofisa Mawasiliano TEA, Sophia Asad akitoa maelezo katika maonesho wakati wa Mkutano Mkuu wa ALAT.
Kaimu
Meneja Miradi Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Anne Mlimuka akitoa
ufafanuzi baadhi ya watu waliotembelea banda la TEA katika maonesho
yanayofanyika katika Mkutano Mkuu wa ALAT mjini Musoma.
No comments:
Post a Comment