Baadhi
ya wafanyakazi wa OSHA na Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala
wakishiriki kufanya usafi kwenye hospitali hiyo. Wakala wa Usalama na
Afya Mahali pa Kazi leo imeadhimisha miaka 15 tangu kuanzishwa kwa
kujitolea kufanya usafi na kutoa misaada anuai katika Hospitali ya Rufaa
ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa OSHA na Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala wakishiriki kufanya usafi kwenye hospitali hiyo. Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi leo imeadhimisha miaka 15 tangu kuanzishwa kwa kujitolea kufanya usafi na kutoa misaada anuai katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dk. Akwilina Kayumba akifanya usafi na wafanyakazi wa OSHA na Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala.Katibu
Tawala wa Wilaya ya Kinondoni, Bi. Gify Msuya (mwenye gauni la bluu) na
mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 15 ya Wakala wa Usalama na Afya
Mahali pa Kazi (OSHA) akikabidhi baadhi ya misaada iliyotolewa na OSHA
kwa Hospitali ya Rufaa Mwananyamala kama msaada kuisaidia hospitali
hiyo. Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi leo imeadhimisha miaka 15
tangu kuanzishwa kwa kujitolea kufanya usafi na kutoa misaada anuai
katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Wa
kwanza kushoto ni Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa
Kazi (OSHA), Dk. Akwilina Kayumba akimsaidia zoezi hilo.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Kinondoni, Bi. Gify Msuya (mwenye gauni la
bluu) na mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 15 ya Wakala wa Usalama
na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) akimkabidhi mmoja wa madaktari wa
Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala viatu maalumu vya chumba cha upasuaji
kama msaada kuisaidia hospitali hiyo. Wakala wa Usalama na Afya Mahali
pa Kazi leo imeadhimisha miaka 15 tangu kuanzishwa kwa kujitolea kufanya
usafi na kutoa misaada anuai katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala
jijini Dar es Salaam.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dk.
Akwilina Kayumba (kushoto) akisaidiana na Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali
ya Rufaa Mwananyamala, Dk. Daniel Nkungu (kulia) kutandika moja ya
mashuka yaliyotolewa na OSHA kama msaada kuisaidia hospitali hiyo.
Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi leo imeadhimisha miaka 15 tangu
kuanzishwa hivyo kujitolea kufanya usafi katika Hospitali ya Rufaa ya
Mwananyamala jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa OSHA na Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala
wakishiriki kufanya usafi kwenye hospitali hiyo. Wakala wa Usalama na
Afya Mahali pa Kazi leo imeadhimisha miaka 15 tangu kuanzishwa kwa
kujitolea kufanya usafi na kutoa misaada anuai katika Hospitali ya Rufaa
ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa OSHA na Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala
wakishiriki kufanya usafi kwenye hospitali hiyo. Wakala wa Usalama na
Afya Mahali pa Kazi leo imeadhimisha miaka 15 tangu kuanzishwa kwa
kujitolea kufanya usafi na kutoa misaada anuai katika Hospitali ya Rufaa
ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa OSHA na Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala
wakishiriki kufanya usafi kwenye hospitali hiyo. Wakala wa Usalama na
Afya Mahali pa Kazi leo imeadhimisha miaka 15 tangu kuanzishwa kwa
kujitolea kufanya usafi na kutoa misaada anuai katika Hospitali ya Rufaa
ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dk. Akwilina Kayumba (katikati) akizungumza na wafanyakazi wa OSHA na Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala kwenye hafla hiyo. Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi leo imeadhimisha miaka 15 tangu kuanzishwa kwa kujitolea kufanya usafi na kutoa misaada anuai katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Katibu Tawala wa Wilaya ya Kinondoni, Bi. Gify Msuya (kushoto) na mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 15 ya Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) akizungumza na wafanyakazi wa OSHA na Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala kwenye hafla hiyo. Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi leo imeadhimisha miaka 15 tangu kuanzishwa kwa kujitolea kufanya usafi na kutoa misaada anuai katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Katibu Tawala wa Wilaya ya Kinondoni, Bi. Gify Msuya (kulia) na mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 15 ya Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) akisaidiana na muuguzi wa zamu Hospitali ya Rufaa Mwananyamala kutandika moja ya mashuka yaliyotolewa na OSHA kama msaada kuisaidia hospitali hiyo. Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi leo imeadhimisha miaka 15 tangu kuanzishwa hivyo kujitolea kufanya usafi na kutoa misaada anuai katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment