HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, September 1, 2016

OSHA Waadhimisha Miaka 15 yao kwa kufanya usafi na kutoa misaada Mwananyamala Hospitali

Baadhi ya wafanyakazi wa OSHA na Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala wakishiriki kufanya usafi kwenye hospitali hiyo. Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi leo imeadhimisha miaka 15 tangu kuanzishwa kwa kujitolea kufanya usafi na kutoa misaada anuai katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam.
 
Baadhi ya wafanyakazi wa OSHA na Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala wakishiriki kufanya usafi kwenye hospitali hiyo. Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi leo imeadhimisha miaka 15 tangu kuanzishwa kwa kujitolea kufanya usafi na kutoa misaada anuai katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dk. Akwilina Kayumba akifanya usafi na wafanyakazi wa OSHA na Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala.Katibu Tawala wa Wilaya ya Kinondoni, Bi. Gify Msuya (mwenye gauni la bluu) na mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 15 ya Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) akikabidhi baadhi ya misaada iliyotolewa na OSHA kwa Hospitali ya Rufaa Mwananyamala kama msaada kuisaidia hospitali hiyo. Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi leo imeadhimisha miaka 15 tangu kuanzishwa kwa kujitolea kufanya usafi na kutoa misaada anuai katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kushoto ni Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dk. Akwilina Kayumba akimsaidia zoezi hilo. Katibu Tawala wa Wilaya ya Kinondoni, Bi. Gify Msuya (mwenye gauni la bluu) na mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 15 ya Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) akimkabidhi mmoja wa madaktari wa Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala viatu maalumu vya chumba cha upasuaji kama msaada kuisaidia hospitali hiyo. Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi leo imeadhimisha miaka 15 tangu kuanzishwa kwa kujitolea kufanya usafi na kutoa misaada anuai katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dk. Akwilina Kayumba (kushoto) akisaidiana na Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Rufaa Mwananyamala, Dk. Daniel Nkungu (kulia) kutandika moja ya mashuka yaliyotolewa na OSHA kama msaada kuisaidia hospitali hiyo. Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi leo imeadhimisha miaka 15 tangu kuanzishwa hivyo kujitolea kufanya usafi katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyakazi wa OSHA na Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala wakishiriki kufanya usafi kwenye hospitali hiyo. Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi leo imeadhimisha miaka 15 tangu kuanzishwa kwa kujitolea kufanya usafi na kutoa misaada anuai katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyakazi wa OSHA na Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala wakishiriki kufanya usafi kwenye hospitali hiyo. Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi leo imeadhimisha miaka 15 tangu kuanzishwa kwa kujitolea kufanya usafi na kutoa misaada anuai katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyakazi wa OSHA na Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala wakishiriki kufanya usafi kwenye hospitali hiyo. Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi leo imeadhimisha miaka 15 tangu kuanzishwa kwa kujitolea kufanya usafi na kutoa misaada anuai katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Dk. Akwilina Kayumba (katikati) akizungumza na wafanyakazi wa OSHA na Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala kwenye hafla hiyo. Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi leo imeadhimisha miaka 15 tangu kuanzishwa kwa kujitolea kufanya usafi na kutoa misaada anuai katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Katibu Tawala wa Wilaya ya Kinondoni, Bi. Gify Msuya (kushoto) na mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 15 ya Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) akizungumza na wafanyakazi wa OSHA na Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala kwenye hafla hiyo. Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi leo imeadhimisha miaka 15 tangu kuanzishwa kwa kujitolea kufanya usafi na kutoa misaada anuai katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Katibu Tawala wa Wilaya ya Kinondoni, Bi. Gify Msuya (kulia) na mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 15 ya Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) akisaidiana na muuguzi wa zamu Hospitali ya Rufaa Mwananyamala kutandika moja ya mashuka yaliyotolewa na OSHA kama msaada kuisaidia hospitali hiyo. Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi leo imeadhimisha miaka 15 tangu kuanzishwa hivyo kujitolea kufanya usafi na kutoa misaada anuai katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad