HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, September 27, 2016

BOSI Mpya wa TTCL Atembelea Ofisi Yake

Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) anayemaliza muda wake, Dk. Kamugisha Kazaura (kushoto) akipeana mkono na Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Bw. Waziri Waziri Kindamba, leo alipotembelea Makao Makuu ya TTCL na Mtangulizi wake, Dkt. Kazaura. Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) anayemaliza muda wake, Dk. Kamugisha Kazaura (kulia) akizungumza na Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Bw. Waziri Waziri Kindamba (kushoto), leo alipotembelea Makao Makuu ya TTCL na Mtangulizi wake, Dkt. Kazaura.[/caption] KAIMU Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Bw. Waziri Waziri Kindamba, leo ametembelea Makao Makuu ya TTCL na kukutana na Mtangulizi wake, Dk. Kamugisha Kazaura. Utambulisho wa awali wa kiongozi huyo mpya umefanywa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano, anaesimamia sekta ya Mawasiliano Prof Faustine Kamuzora. Makabidhiano rasmi ya ofisi yatafanyika baadae. Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) anayemaliza muda wake, Dk. Kamugisha Kazaura (kushoto) akikumbatiana na Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Bw. Waziri Waziri Kindamba, leo alipotembelea Makao Makuu ya TTCL na Mtangulizi wake, Dk. Kazaura. Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Bw. Waziri Waziri Kindamba, leo ametembelea Makao Makuu ya TTCL na kukutana na Mtangulizi wake, Dkt. Kamugisha Kazaura. Wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi waandamizi wa TTCL.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad