HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, August 16, 2016

UZINDUZI WA BIDHAA MPYA YA NYWELE ZA KINA DADA ILIVYOFANA JIJINI DAR

Muigizaji wa filamu nchini, Jackieline Wolper akiwa sambamba na Mwanamitindo, Martin Kadinda pamoja na Mdau wakiyasakata magoma katika hafla hiyo, iliyofanyika jana kwenye Kiota cha Akemi, Jijini Dar es salaam.
Malkia wa Mipansho na Mwanamuziki Mkongwe wa Taarab, Bi. Khadija Kopa akizikonga nyoyo za mashabiki wake waliohudhulia hafla ya uzinduzi wa bidhaa mpya ya Mafuta ya nywele aina ya Aliyana ya Kampuni ya Darling Group, iliyofanyika jana kwenye Kiota cha Akemi, Jijini Dar es salaam.

  
 Msema Chochote katika hafla hiyo, Baby Kabaye akiweka taratibu sawa.
Mkurugenzi wa Utamaduni toka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bi. Leah Kihimbi akizungumza kwa niaba ya Mgeni Rasmi katika hafla ya uzinduzi wa bidhaa mpya ya Mafuta ya nywele aina ya Aliyana ya Kampuni ya Darling Group, iliyofanyika jana kwenye Kiota cha Akemi, Jijini Dar es salaam. 
Wawakilishi Kampuni ya Darling wakingumza kuhusiana na bidhaa yao hiyo mpya.











































No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad