Muigizaji wa filamu nchini, Jackieline Wolper akiwa sambamba na Mwanamitindo, Martin Kadinda pamoja na Mdau wakiyasakata magoma katika hafla hiyo, iliyofanyika jana kwenye Kiota cha Akemi, Jijini Dar es salaam.
Malkia
wa Mipansho na Mwanamuziki Mkongwe wa Taarab, Bi. Khadija Kopa
akizikonga nyoyo za mashabiki wake waliohudhulia hafla ya uzinduzi wa
bidhaa mpya ya Mafuta ya nywele aina ya Aliyana ya Kampuni ya Darling
Group, iliyofanyika jana kwenye Kiota cha Akemi, Jijini Dar es salaam.
Msema Chochote katika hafla hiyo, Baby Kabaye akiweka taratibu sawa.
Wawakilishi Kampuni ya Darling wakingumza kuhusiana na bidhaa yao hiyo mpya.
No comments:
Post a Comment