HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, August 22, 2016

MOBISOL WAZINDUWA KAMPUNI MBEYA NA WADHAMINI WA KUU WA LIGI YA MOBISOL....

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini Mh. Paul William Mtima Akikata utepe katika Uzinduzi Wa kampuni ya Mobisol kwa nyanda za juu kusini hivi katibuni iliyopo Soweto Block "C" Jijini Mbeya.

 

 Mobisol ni kampuni yenye asili ya Ujerumani inayoongoza kwa kutengeneza, kusambaza na kuuza Mitambo ya Umeme wa Jua (Sola) iliyo salama kiafya na mazingira katika ubora wa hali ya juu, Ikiwa mbadala wa nishati isiyo salama  kwa gharama nafuu kwa watu wa vipato vyote.

Mchezaji wa timu ya Ilemi Fc, Rajabu Jezi ya bluu bahari akijaribu kuwatoka wachezaji wa timu ya Msumari wa Moto katika mchezo ulio chezwa hivi karibuni katika viwanja vya shule ya msingi mwenge na kutoka sare ya bila kufungana  ikiwa ni muendelezo wa ligi ya Mobisol inayo endelea hivi sasa mkoani mbeya kwa udhamini mkubwa wa Mobisol Mabingwa wa nishati ya umeme wa Jua "Sola" Tanzania.

Kwakutambua na kupenda kuendelea kuenzi mahusiano mazuri na Wakazi wa Nyanda za juu kusini, Mobisol  Mobisol ambao ndio wadhamini wakuu wa Ligi ya Mobisol Cup iliyoshika Kasi jijini Mbeya Ikihusisha Timu 20 Kutoka Mbeya Jiji, Mbeya Vijijini  na Wilaya ya Chunya, Tarehe 13/08/2016  Ilifanya ufunguzi rasmi wa kuanza kufanya kazi Kanda ya nyanda za juu kusini uliofanyika Katika ofisi zao za kanda zilizopo Soweto Block C mkabala na jengo la Oilcom.

Mtanange Ukienfelea kwa udhamini mkuu wa Mobisol

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad