HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, August 29, 2016

MACHUPA AWAPAGAWISHA WAKAZI WA BOKO NA SINGELI KWENYE TAMASHA LA MZIKI MNENE MWISHONI MWA WIKI

 Muziki wa Singeli haubagui umri kama wapenzi hao wa muziki walivyokutwa wakisakata  kwa hisia muziki wa Singeli  kwenye tamasha la Mziki Mnene lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania.Tamasha hilo lililoanza jijini Dar  es Salaam eneo la Boko mwishoni mwa wiki, litaendelea katika mikoa ya Pwani na Dar es Salaam.
 Wakazi wa Boko jijini Dar es Salaam wakihangaika kucheza muziki wa Singeli kwenye tamasha la Mziki Mnene lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania.Tamasha hilo lililoanza jijini Dar  es Salaam eneo la Boko mwishoni mwa wiki, litaendelea katika mikoa ya Pwani na Dar es Salaam
 Msaanii wa Muziki wa Singeli, Machupa akikonga mioyo ya wapenzi wa muziki huo kwenye tamasha la Mziki Mnene lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania.Tamasha hilo lililoanza jijini Dar  es Salaam eneo la Boko mwishoni mwa wiki, litaendelea katika mikoa ya Pwani na Dar es Salaam.
 Wakazi wa Dar es Salaam wakionyesha ujuzi wa kucheza muziki wa Singeli kwenye  tamasha la Mziki Mnene lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania.Tamasha hilo lililoanza jijini Dar  es Salaam eneo la Boko mwishoni mwa wiki, litaendelea katika mikoa ya Pwani na Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad