HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, August 17, 2016

demo-image

ANGALIA HAPA PICHA KIBAO ZA MECHI YA NGAO YA JAMII KATI YA YANGA NA AZAM, UWANJA WA TAIFA

MMG_8718_1
Beki wa Timu ya Azam FC, David Mwantika akizua mpira kwa umaridadi mkubwa huku akimdhibiti Mshambuliaji machachari wa Yanga, Donald Ngoma katika mchezo wa Ngao ya Jamii ikiwa ni sehemu ya ufunguzi wa Ligi kuu Tanzania bara, uliopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam. Dakika 90 zilimalizika kwa timu hizo kulingana 2-2, na kupelekea kuamuliwa kupigwa mikwaju ya penati iliyoipa ushindi timu ya Azam kwa mabao 4-1.
MMG_8498_1
 Mshambuliaji wa Yanga, Amisi Tambwe akitaka kuzuia shuti la Beki wa Azam, Shomari Kapombe.
MMG_8606_1
 Kipa wa Azam akiwa chini huku mpira ukiwa wavuni, baada ya kupelekwa markiti na Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma kwa mkwaju wa penati.
MMG_8512_1
 Beki wa Yanga, Hassan Kessy akiutuliza mpira kwa ustadi mbele ya Benchi la Wapinzani wake.
MMG_8808_1
MMG_8475_1
MMG_8412_1

MMG_8414_1

MMG_8426_1

MMG_8435_1

MMG_8466_1

MMG_8883 

MMG_8484_1

MMG_8495_1

MMG_8498_1

MMG_8507_1

MMG_8536_1

MMG_8576_1

MMG_8606_1

MMG_8634_1

MMG_8651_1

MMG_8674_1

MMG_8734_1

MMG_8782_1

MMG_8859_1

MMG_8868_1
MMG_8918

MMG_8875_1
MMG_8877_1
Mashabiki wa Yanga kabla ya Mpira kuisha.
MMG_8924
MMG_9202
MMG_9212 
Washabiki wa Azam.
MMG_8926
MMG_8927
Washabiki wa Yanga baada ya Mchezo kumalizika.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *