HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 26, 2016

Waziri Mhagama azindua Mpango wa Sauti za Vijana wa Tanzania kwa Kizazi cha Sasa na Kijacho jijini Dar leo

 Waziri wa Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama akitoa hotuba yake katika hafla ya Uzinduzi wa Mpango wa Sauti za Vijana Tanzania wa Kizazi cha Sasa na Kijacho (Next GenerationYouth Voices Tanzania), Ikiwa ni Utafiti uliofanywa ili kuangalia changamoto zinazowakabili Vijana, Mitazamo na matarajio ya idadi ya Vijana Tanzania, uliofanyika katika Viwanja vya Karimjee, Jijini Dar es salaam Julai 26, 2016.
Balozi wa Uingereza nchini (anaemaliza muda wake), Balozi Dianna Melrose akitoa ujumbe wake kwa Vijana walioshiriki hafla hiyo ya Uzinduzi wa Sauti za Vijana Tanzania wa Kizazi cha Sasa na Kijacho (Next GenerationYouth Voices Tanzania), Ikiwa ni Utafiti uliofanywa ili kuangalia changamoto zinazowakabili Vijana, Mitazamo na matarajio ya idadi ya Vijana Tanzania, uliofanyika katika Viwanja vya Karimjee, Jijini Dar es salaam Julai 26, 2016.
Sehemu ya Vijana waliojitokeza kwenye hafla hiyo.
Kijana wa Kitanzania anayejishughulisha na maswala ya Uchoraji, Ahmed Mohamed akizungumza machache kwenye hafla hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad