HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, June 28, 2016

Wizara ya Michezo yakutana na kampuni ya B.C.E.G yazungumzia maendeleo ya uwekaji wa mashine za tiketi za kieletroniki katika Uwanja wa Taifa.

 Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bw. Alex Nkenyenge (kushoto) akizungumza na Meneja kampuni ya B.C.E.G Bw. Xiong (Kulia) kuhusu maendeleo ya uwekaji wa mashine za tiketi za kieletroniki katika Uwanja wa Taifa leo Juni 28,2016.
 Meneja kampuni ya B.C.E.G Bw. Xiong (Kulia) akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bw. Alex Nkenyenge (kushoto) kuhusu maendeleo ya uwekaji wa mashine za tiketi za kieletroniki katika Uwanja wa Taifa leo Juni 28,2016.
 Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bw. Alex Nkenyenge (kulia) akizungumza na wataalamu kutoka kampuni ya Selcom (Kushoto) kuhusu maendeleo ya uwekaji wa mashine za tiketi za kieletroniki katika Uwanja wa Taifa leo Juni 28,2016. 
Picha zote na Raymond Mushumbusi WHUSM

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad