Hili ni Jambo la kushangaza sana tena ni jambo la Aibu kwa Uchafu kama huu kuwa Pambo mbele ya Ofisi ya Serikali ya Mtaa bila hata jitiada za makusudi kufanyika, Jamani hii si Aibu hii tena bila hata kuwa na hofu takataka zimejazwa kwenye mifuko katika Ofisi ya kata ya Iyela Jijini Mbeya kama mapambo ya Sherehe, wahusika wa hili kitumbuweni Kijipu hiki kabla hamjatumbuliwa.
Thursday, June 30, 2016
Home
Unlabelled
KIJIPU UPELE MBELE YA SERIKALI YA MTAA...
KIJIPU UPELE MBELE YA SERIKALI YA MTAA...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment