HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, May 31, 2016

SERIKALI YAWAASA WAGANGA KUJISAJILI.


Waandishi wa habari wakimsikiliza Katibu Mkuu Baraza la Tiba Ushauri Utafiti wa Dawa Asili Tanzania BAWATA, Shariff  Karama.
 Katibu Mkuu Baraza la Tiba Ushauri Utafiti wa Dawa Asili Tanzania BAWATA, Shariff  Karama akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya kutoa wito kwa waganga wote kutii agizo la Serikali la kujisajiri ili kureta ufanisi katika taaluma ya Tiba Asili hapa nchini, leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu Taifa wa Baraza la Waganga Watafiti Tiba Asilia Daud Wiketye.
(Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad