HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, May 1, 2016

RC MAKONDA AONGOZA SHEREHE ZA MEI MOSI JIJINI DAR LEO


Mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na baadhi ya waheshimiwa wengine wakisimama Jukwaa kuu wakati wakipokea rasmi maandamano ya Wafanyakazi wakati wa sherehe za maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) zilizofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, leo Mei 1, 2016.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni PPF, wakiwa katika maandamano wakipita mbele ya mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (hayupo pichani) wakati wa sherehe za maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) zilizofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, leo. Picha zote na Mafoto Blog
Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.
Raawu......
Sehemu ya wafanyakazi waliohudhuria sherehe hizo......
Shirika la Utangazaji la Taifa TBC.....
Maliasili.......
Uhuru Fm...........
Wakala wa Uchimbaji Visima na Ujenzi wa Mabwawa..........
Mfuko wa Pensheni wa PPF.......
DDCA......
PPF.....
Baadhi ya wafanyakazi wa PPF wakisebeneka katika gari lao wakiwa njiani kuelekea Uwanja wa Uhuru kwa ajili ya kushiriki sherehe hizoleo asubuhi.....

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad