HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 27, 2016

MULTICHOICE TANZANIA YAADHIMISHA SIKU YA AFRIKA

Sehemu ya Watendaji wakuu wa Kampuni ya MultiChoiche Tanzania wakiongozwa na Mtendaji Mkuu wao, Francis Senguji (wa pili kushoto) wakiwa katika tafrija ya kuadhimisha siku ya Afrika, iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya New Afrika, Jijini Dar es salaam.
 Meneja Masoko wa Kampuni ya MultiChoiche Tanzania, Furaha Samalu akizungumza machache katika tafrija hiyo ya kuadhimisha siku ya Afrika, iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya New Afrika, Jijini Dar es salaam.
 Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya MultiChoiche Tanzania, Francis Senguji akizungumza machache katika tafrija hiyo ya kuadhimisha siku ya Afrika, iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya New Afrika, Jijini Dar es salaam. Kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni hiyo, Furaha Samalu.
 Burudani ya Kiafrika ikitolewa.
 Mshehereshaji katika Tafrija hiyo, Masoud Kipaya (kati) pamoja na Meneja Masoko wa Kampuni ya MultiChoiche Tanzania, Furaha Samalu, wakimsikiliza Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya, Shilole wakati akimtangaza mmoja wa washindi wa Dikoda ya DSTV Exprola.
Washindi wa Dikoda za DSTV Exprola kwa usiku huo walikuwa ni Mmiliki Mwendeshaji wa Libeneke la Full Shangwe Blog, John Bukuku na Mwanadada Latoya aliewahi kuwa Mshiriki wa Shindano la Big Brother Afrika miaka ya nyuma.










No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad