HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, May 2, 2016

MAMIA WAMUAGA ANDREW SANGA HOUSTON - TEXAS, MAREKANI

Hapa ni mzazi mwenzie Andrew na mtoto wao mpendwa Zoe wakiwa mbele ya mwili wa marehemu.Mwili wa marehemu utawasiri Dar Es Salaam siku ya jumanne  na jumatano asubuhi ndugu na jamaa wa Dar Es Salaam watafanya Ibada ya misa na kuuaga mwili ndani ya kanisa la Lutheran nyuma ya Ubungo Plaza, kisha safari ya Dodoma jioni na mazishi yatafanyika siku ya Alhamis May 05.
Mwakilishi wa ubalozi wa Tanzania hapa Marekani angeongea mbele ya watu waliojitokeza ndani ya kanisa kwa ajili ya Ibada ya misa na kuaga mwili wa Andrew.
Mzazi mwenza wa marehemu Andrew akitoa neno mbele  ya watu waliojitokeza kuja kuaga mwili wa marehemu. 
Wash kutoka Ohio akiwa  na majonzi mbele ya mwili wa marehemu 
Majonzi kwa kila mmoja aliepita mbele ya mwili marehemu.
Ny Ebra kutoka New York nae ni mmoja kati ya watu waliotoka nje ya Houston, Texas kwaajili ya kuaaga mwili wa Andrew, hapa Ebra akipata ukodak na Emmy mzazi mwenza wa marehemu Andrew na mtoto wao Zoe nnje ya kanisa baada ya kuaaga mwili pamoja na Ibada ya misa. 
Mzazi mwenza wa marehemu Emmy Matafu pamoja na mtoto wake Zoe katikati. 

Marafiki kutoka North Carolina na Atalanta .

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad