HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, May 28, 2016

KAMANDA SIRRO ATINGA MTAANI KUTOA SOMO LA ULINZI NA USALAMA, AWANYOOSEA KIDOLE WANAOJIFUNZA MAMBO YA KIVITA SEHEMU ZA IBADA

Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishina Simon Sirro akizungumza na wanachi wa maeneo ya Manzese, wakati akitoa wito wa kuwataka wanaojifunza mambo ya kivita katika sehemu za ibada kuacha mara moja, kwani hiyo si kazi yao na wala hailipi. Kamanda Sirro aliingia mtaani kutoa somo hilo kwa wananchi ikiwa ni sehemu ya kuendeleza jitihada za kuimarisha ulinzi na Usalama jijini Dar es Salaam.
Kamanda Sirro akiendelea kutoa somo kwa wamazi wa maeneo ya Manzese, Jijini Dar es salaam.
Sehemu ya Wananchi walioitikia wito wa Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishina Simon Sirro, alipokuwa akitoa somo kuimarisha ulinzi na Usalama Jijini. Mkutano huo ilifanyika kwenye viwanja vya Manzese jijini Dar es Salaam. (Picha na Emmanuel Massaka, Globu ya Jamii).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad