Fundi
Mitambo wa Redio Bomba Fm 104.0 iliyopo Jijini Mbeya Jina lake
Limehifadhiwa alileta tafrani Mchana wa Leo mara baada ya kupanda juu ya mtambo wa Redio hiyo, na kutishia kujitupa chini kwa madai ya kuhitaji kulipwa mshahara wake kutoka kwa muajiri wake wa kituo hicho cha Redio kilichopo maeneo
ya Block "T" Jijini Mbeya.
Fundi
Mitambo wa Redio Bomba Fm (jina kapuni) akiwa juu ya
Mnara wa Redio hiyo huku akisikika kusema "Mpaka Kieleweke leo nataka
Pesa Zangu..."
PICHA ZOTE NA MR.PENGO MMG MBEYA.PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
No comments:
Post a Comment