HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, May 5, 2016

FUNDI MITAMBO WA REDIO BOMBA FM 104.0 MBEYA ATISHIA KUJIUA KWA MADAI YA KUPEWA MSHAHARA WAKE

Fundi Mitambo wa Redio Bomba Fm 104.0 iliyopo Jijini Mbeya Jina lake Limehifadhiwa alileta tafrani Mchana wa Leo mara baada ya kupanda juu ya  mtambo wa Redio hiyo, na kutishia kujitupa chini kwa madai ya kuhitaji kulipwa mshahara wake kutoka kwa muajiri wake wa kituo hicho cha Redio kilichopo maeneo ya Block "T" Jijini Mbeya.
Fundi Mitambo wa Redio Bomba Fm (jina kapuni) akiwa juu ya Mnara wa Redio hiyo huku akisikika kusema "Mpaka Kieleweke leo nataka Pesa Zangu..."
Mpaka Kieleweke...
Baadhi ya wakazi na Wananchi wa Jiji la Mbeya wakishuhudia tukio hilo...
                                    PICHA ZOTE NA MR.PENGO MMG MBEYA.
                                                    PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad