HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, February 4, 2016

TASWIRA MBALI MBALI ZA HALI YA MAFURIKO KATIKA ENEO LA KIBAIGWA MKOANI DODOMA

 Kutoka na Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbali mbali hapa nchini, imepeleka kujaa maji katika eneo hili la Kibaigwa Mkoani Dodoma na kufanya magari kupita kwa shida katika Barabara kuu itokayo Morogoro kwenda Dodoma, kama ionekanavyo pichani.Picha na Othman Michuzi.
 Askari Polisi kwa kikosi cha Usalama Barabarani wakisimamia zoezi la upishanaji wa Magari katika eneo hilo, kutokana na uwingi wa maji yanayotokana na Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbali mbali hapa nchini.
 Magari yakilazimika kupita upande mmoja wa barabara.
 Hali ilivyo katika eneo kubwa la mashamba yaliopo eneo hilo la Kibaigwa.
 Mvua hizo zilivyofanya uharibifu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad