HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, February 11, 2016

MSHINDI WA WOOLWORTHS AKAB.IDHIWA VOCHA YA TSH MILLIONI 1/=

 Mshindi wa Droo ya mwezi Desemba 2015, Daniel Mugasa, akisaini kwenye kitabu maalumu baada ya kukabidhiwa  vocha ya manunuzi yenye thamani ya shilingi Milioni 1 na   Meneja Masoko na Uhusiano wa Duka la nguo la Woolwoorths Tanzania, Edwina Barongo,  wakati wa hafla  iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Ili mteja  aweze kushiriki katika shinadano hilo ni lazima awe na card maalumu ya inayomwezesha   kununua bidhaa katika  maduka ya Woolworths (Wreward Loyalty Card).
  Mshindi wa Droo ya mwezi Desemba 2015 , Daniel Mugasa , akikabidhiwa  na  Meneja Masoko na Uhusiano wa Kampuni ya Woolwoorths Tanzania, Edwina Barongo vocha ya manunuzi yenye thamani ya  shilingi Milioni 1 ,  baada ya kuibuka mshindi  . Ili mtena  aweze kushiriki katika shinadano hilo ni lazima awe na card maalumu ya inayomwezesha   kununua bidhaa katika  maduka ya Woolworths (Wreward Loyalty Card) . Hafala hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.
 Meneja Masoko na Uhusiano wa duka la nguo la Woolwoorths Tanzania, Edwina Barongo ( Kulia)  akimuonyesha bidhaa mpya  mshindi wa  Droo ya mwezi Desemba 2015  , Daniel Mugasa    wakati alipofika katika Duka la Woolworths  jijini Dar es Salaam, kumkabidhi zawadi yake vocha ya manunuzi yenye thamani ya shilingi milioni 1 baada ya kuibuka  mshindi  katika droo ya Woolworths ya Desemba 2015. Ili mteja  aweze kushiriki katika shinadano hilo lazima na card maalumu ya kuweza kununua bidhaa katika  maduka ya Woolworths (Wreward Loyalty Card)  Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad