Kamera
ya Mtaa kwa Mtaa yanasa mjasiliamali akiwajuu ya baisikeli ya miguu
mitatu jambo ambalo ni hatari kwa usalama wake, leo jijini Dar es
Salaam.
.Kamera ya Mtaa kwa Mtaa yanasa muendesha baisikeli ya miguu mitatu (Guta) akiwa na abiria wawili mizingo jambo ambalo ni hatari kwa usalama wa abiria hao, leo jijini Dar es Salaam.
Kamera ya Mtaa kwa Mtaa yanasa mjasiliamali akiwahudumia wateja wake waliofika katika biashara yake, leo jijini Dar es Salaam.
Kamera ya Mtaa kwa Mtaa yanasa mjasiliamali akiwahudumia wateja wake waliofika katika biashara yake, leo jijini Dar es Salaam.
Kamera ya Mtaa kwa Mtaa yanasa mjasiliamalia akusuburi wateja leo jijini Dar es Salam.
Mvuvi akitafuta samaki na mazao ya maji leo kama alivyonaswa na kamera ya mtaa kwa mtaa.
Waposekoni vitoweoo
(Picha na Emmanuel Massaka wa Globul ya Jamii)
(Picha na Emmanuel Massaka wa Globul ya Jamii)
No comments:
Post a Comment