Taswira Mbalimbali za Muonekano wa Eneo la Mafiati Mataa mpaka eneo la Mwanjelwa hali ilivyo leo katika Jiji la Mbeya kwa Maeneo hayo..
Magari Mbalimbali yakiwa katika Foreni kusubiri kuruhusiwa Kuvuka kwa wakati ulio pangwa katika Eneo la Mafiati Mataa Jijini Mbeya...
Mnyororo Eneo la Mafiati Mataa kusuburi kuruhusiwa Magari kupita kwa wakati..
Baadhi ya Watu Wakazi wa Jiji la Mbeya wakivuka Barabara eneo la mwanjelwa jijini mbeya..
Mnyororo Mkavu Eneo la Mwanjelwa Jijini Mbeya..
Baadhi ya Madereva wa Bajaji sambamba na Madereva wa Bodaboda wakipita Njia ambayo si Sahihi kwa lengo la kuepukana na Foreni hiyo iliyopo katika Eneo hilo la Mafiati mpaka Soweto Jijini hapo..
#Kamerayamtaakwamtaablog.
No comments:
Post a Comment