Hii nimekutana nayo pale kona ya Kinondoni makaburini kama ukitoka Viwanja vya Leaders club, ambapo hiyo gari aina ya Noah ilizipita gazi zingine na kukatisha kama inaelekea mjini. Huku kukiwa na gari nyingine iliyokuwa ikikatisha kuingia njia hiyo. Hii inaonyesha Dereva Wa gari hilo ni hodari wa kukutumia chombo hicho au wadau mnasemaje juu ya hili???
Sunday, November 29, 2015
Home
Unlabelled
Madereva Wa mjini na utaalam Wa uendeshaji magari uliotukuka
Madereva Wa mjini na utaalam Wa uendeshaji magari uliotukuka
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment