2015-09-28
Jumuiya ya Watanzania Sweden
Mahali: Näsby Alle´6
183 55 Näsby Park
Siku: Jumamosi
Tarehe: 31-10-2015
Saa: 9:00 jioni
Kwa watanzania tunatoa taarifa ya wito wa Mkutano Mkuu wa ziada kwa ajili ya kuchagua viongozi watakao chukua majukumu ya kuwaongoza watanzania waishio nchini Sweden, na kujenga uhusiano na taasisi mabali mbali na vyama vyengine viliopo nchi jirani.
Uongozi wa kamati ya maandalizi ya Jumuiya ya Watanzania inawataarifu kwamba nafasi za uongozi huo ni kama zifuatazo;
Uenyekiti
Unaibu
Ukatibu pamoja na bodi ya utawala wa chama.
Tunawaomba watanzania wajutokeze kwa wingi katika mkutano huo ili tuweze kuboresha umoja wetu na kujenga maadili bora kwa watanzania, kujitolea kwenu ndio mafanikio ya taifa letu.
Asanteni
Kamati ya matayarisho
No comments:
Post a Comment