Huu ni uchambuzi wa Habari za Magazeti toka vituo mblimbali vya Televisheni October 10, 2015
Star TV
Slaa asema raisi wangu ni Dkt. Magufuli,tatizo la umeme ni la muda mfupi na linafanyiwa kazi na serikali, pata dondoo za magazeti ya leo. https://youtu.be/aGdg2yzuZiM
Ch 10
Lowassa, Kingunge Moto Arusha, Bulaya Asota Rumande, atolewa kwa dhamana, Magufuli amlipua Mbatia. Habarika na Magazeti ya Leo October 10. https://youtu.be/8pS5vbwl8Uo
Azam TV
Fuatilia habari mbalimbali za Magazeti ya michezo uhabarike na habari mbalimbali za kitaifa na kimataifa.https://youtu.be/3-wKynTHa68
TBC
Je unajua nini kimejiri katika ulingo wa siasa katika mbio za kuelekea uchaguzi mkuu? Tazama hapa.https://youtu.be/aGdg2yzuZiM
No comments:
Post a Comment