HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, October 8, 2015

RAIS KIKWETE ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA AKIWA NA WAJUKUU

Keki iliyoandaliwa kwa ajili ya sherehe za miaka 65 ya kuzaliwa kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete na miaka 55 ya kuzaliwa mdogo wake Yusufu Mrisho Kikwete jana jioni jijini Dar es salaam. Rais Kikwete na mdogo wake walisherehekea siku zao za kuzaliwa kwa kukata na kula keki na wajukuu wao na wa jamaa, ndugu na marafiki waliowaalikwa kwenye sherehe hii fupi iliyojaa furaha na bashasha.
Keki
Wajukuu wakimchukua babu wakamwimbie na kukata naye keki
Mjukuu akiogoza wajukuu wenzie kumwimbia babu
Wajukuu wakimwimbia babu
Wajukuu wakimsaidia babu kupuliza mishumaa
Babu akikata keki huku wajukuu wakiisubiri kwa hamu
Wajukuu wakiendelea kusubiri keki
Babu akiwalisha wajukuu keki
Kila mjukuu alipata keki
Keki ya babu taaamuu.....
Mufti Mkuu wa Taanzania na wageni wengine waalikwa wakishuhudia babu akiwalisha keki wajukuu
Sasa ni zamu ya babu kulishwa keki na wajukuu
 "....We love you babu..."
Karibu keki babu...
Babu akiendelea kulisha keki wajukuu
Bibi, Mama Salma Kikwete, akimsaidia Babu kuhakikisha kila mjukuu kapata keki
Kila mjukuu anapata keki
Babu na bibi wakiendelea kuandaa keki
Selfie zilikuwepo pia

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad