HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, October 10, 2015

KUAGWA KWA MAKATIBU WAKUU WASTAAFU KATIKA WIZARA MBALIMBALI JANA IJUMAA OKTOBA 9, 2015

Naibu Katibu Katibu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel akibadilishana mawazo na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Seth Kamuhanda aliyestaafu kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla ya kuwaaga Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma. Hafla hiyo ilifanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akimkabidhi Cheti cha Utumishi wa Umma aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Ikulu, ambaye amestaafu aliyestaafu kwa mujibu wa sheria , Bi. Rose Lugembe wakati wa kuwaaga Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma. Hafla hiyo ilifanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akimkabidhi Cheti cha Utumishi wa Umma aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, ambaye amestaafu aliyestaafu kwa mujibu wa sheria , Bw. Mohamed Muya wakati wa kuwaaga Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma. Hafla hiyo ilifanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akimkabidhi Cheti cha Utumishi wa Umma aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, ambaye amestaafu aliyestaafu kwa mujibu wa sheria , Mhandisi Christopher Sayi wakati wa kuwaaga Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma. Hafla hiyo ilifanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
  Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akimkabidhi Cheti cha Utumishi wa Ummaaliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, ambaye amestaafu aliyestaafu kwa mujibu wa sheria , Bw. Seth Kamuhanda wakati wa kuwaaga Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma. Hafla hiyo ilifanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akimkabidhi Cheti cha Utumishi wa Umma aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, ambaye amestaafu aliyestaafu kwa mujibu wa sheria , Bi. Anna Maembe wakati wa kuwaaga Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma. Hafla hiyo ilifanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akiwaongoza Makatibu Wakuu wastaafu waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma kwa mujibu wa sheria kugonganisha glasi kama ishara ya kutakiana heri wa hafla ya kuwaaga Viongozi hao waandamizi wa Serikali. Hafla hiyo iliyofanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
  Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue akizungumza na waaandishi wa vyombo vya habari wakati wa hafla ya kuwaaga Makatibu Wakuu wastaafu waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma kwa mujibu wa sheria. Hafla hiyo ilifanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue (katikati waliokaa) akiwa katika picha na Makatibu Wakuu wastaafu waliomaliza muda wao wa utumishi wa umma kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla iliyofanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
 Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali wakifurahia jambo wakati wa hafla ya kuwaaga Makatibu Wakuu wastaafu waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla iliyofanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Bi. Anna Maembe akibadilishana mawazo na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Patrick Makungu wakati wa hafla ya kuwaaga Makatibu Wakuu wastaafu waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla iliyofanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
Makatibu Wakuu Wastaafu, Mhandisi Christopher Sayi (kushoto), na Prof. Patrick Makungu (kulia) wakiaagana mara baada ya kumalizika kwa hafla ya kuwaaga Makatibu Wakuu wastaafu waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla iliyofanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
Makatibu Wakuu Wastaafu, Mhandisi Christopher Sayi (kushoto) na Ramadhani Kijjah wakifurahia jambo mara baada ya kumalizika kwa hafla ya kuwaaga Makatibu Wakuu wastaafu waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla iliyofanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
   Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na Makatibu Wakuu Wastaafu na waliopo madarakani mara baada ya kumalizika kwa hafla ya kuwaaga Makatibu Wakuu wastaafu waliomaliza muda wao wa Utumishi wa Umma kwa mujibu wa sheria wakati wa hafla iliyofanyika katika Hotel ya Hyatt Regency Kilimanjaro jana (Ijumaa Oktoba 9, 2015) Jijini Dar es Salaam.
(PICHA NA ISMAIL NGAYONGA-MAELEZO)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad