HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 6, 2015

FAINALI YA BSS 2015 KUFANYIKA OKTOBA 9 MWAKA HUU JIJINI DAR ES SALAAM

 Mwandaaji  wa   Bongo Star Search, Rita Paulsen akizungumza na waandishi wa habari( hawapo pichani)  juu ya fainali ya (BSS) itakayofanyika Ijumaa ya Oktoba 9 mwaka huu katika ukumbi wa King Solomoni Hall uliopo karibu na Nyumbani Lounge au Eaters Point  eneo la Namanga  kuanzia saa moja jioni kikao hicho kimefanyika leo Jiji Dar es Salaam kulia ni Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko  wa Huawei  Samson Majwala.
 Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko  wa Huawei, Samson Majwala  akisisitiza jambo katika kikao hicho kulia ni Meneja Masoko wa Huawei  Lyadla Nangaki.
 Baadhi ya Wandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini  Mwandaaji  wa Bongo Star Search Rita Paulsen.
 Mshiriki wa (BSS  1O3) kutoka Arusha   Nassib Fonabo akionesha umahili wake wa kucharaza gita mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam.
Washiriki wa (BSS) wakiwa katika picha ya pamoja na Mwandaaji  wa   Bongo Star Search Rita Paulsen leo jijini Dar es Salaam 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad