HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, September 1, 2015

MAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR MAALIM SEIF ATEMBELEA KIWANJA CHA NDEGE ZANZIBAR

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege Zanzibar Bw. Said Ndubugani, akimueleza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, juu ya hatua zinazochukuliwa na mamlaka hiyo katika kuimarisha viwanja vya ndege, alipofanya ziara ya kutembelea eneo hilo.
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akitembelea maeneo mbali mbali ya uwanja wa ndege wa Zanzibar katika ziara yake ya kutembelea eneo hilo.
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiangalia maendeleo ya ujenzi wa jengo jipya la abiria katika uwanja wa ndege wa Zanzibar alipotembelea eneo hilo.


 Mratibu wa ujenzi wa jengo jipya la abiria (terminal 2) katika uwanja wa ndege wa Zanzibar Bw. Yasser De Costa akimueleza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, juu ya maendeleo ya ujenzi huo.
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiangalia maendeleo ya ujenzi wa jengo jipya la abiria katika uwanja wa ndege wa Zanzibar alipotembelea eneo hilo.
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiangalia baadhi ya bidhaa zinazopatikana ndani ya duka la uwanja wa ndege wa Zanzibar, na kutoa wito wa kuzitangaza bidhaa zinazozalishwa hapa nchini zikiwemo karafuu na vitu vya sanaa. na vitu vya sanaa.
 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiangalia baadhi ya bidhaa zinazopatikana ndani ya duka la uwanja wa ndege wa Zanzibar, na kutoa wito wa kuzitangaza bidhaa zinazozalishwa hapa nchini zikiwemo karafuu.
 Raia wa Syria Bw. Mark Bachayani (kushoto) akijinasibu kupiga picha na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa katika ziara ya kutembelea uwanja wa ndege wa Zanzibar.
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar Bw. Abdallah Juma, akimueleza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, juu ya hatua zinazochukuliwa na shirika hilo katika kuimarisha huduma wakati wa ziara yake ya kutembelea eneo hilo.
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bandari Zanzibar Bw. Abdallah Juma, akimueleza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, juu ya hatua zinazochukuliwa na shirika hilo katika kuimarisha huduma wakati wa ziara yake ya kutembelea eneo hilo.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na watendaji wa Shirika la Bandari Zanzibar, wakati akihitimisha ziara yake ya kutembelea eneo hilo. (Picha na Salmin Said, OMKR)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad