Kijana huyu alinaswa na Kamera ya Mtaa kwa Mtaa akiwa na mawazo lukuki juu ya Safari ya maisha kama aonekanavyo hapo tuli akipata Upepo mwanana kabisa huku akiwa ameweka Mkono Shavuni...#Kamerayamtaakwamtaablog.
"Mwakani nitanunua Magari mawili, Nyumba ntajenga mbali kidogo na Mji na kuoaaa mhhh bado nipo nipo kwanza...
No comments:
Post a Comment