HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, August 31, 2015

JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA LAANDAA SHEREHE ZA KUMUAGA AMIRI JESHI MKUU MHE. DKT KIKWETE

JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA
KURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANO

Simu ya Upepo   : “N G O M E”        Makao Makuu ya Jeshi,
Simu ya Mdomo : DSM  22150463     Sanduku la Posta 9203,
Telex                     : 41051                      DAR ES SALAAM,  31 Agosti, 2015,
Tele Fax                : 2153426
Barua pepe               : ulinzimagazine@yahoo.co.uk
Tovuti                  : www.tpdf.mil.tz
                    

     Taarifa kwa Vyombo vya Habari
          Vyombo vya Ulinzi na Usalama vinaandaa sherehe ya kumuaga Amiri Jeshi Mkuu tarehe 01 Septemba 2015 kwa gwaride rasmi litakalofanyika katika viwanja vya Uhuru, kuanzia saa 2.00 Asubuhi hadi saa 6.30 mchana.
Waandishi wa Habari mnakaribishwa katika uwanja wa Taifa kwa ajili ya Coverage ya tukio hilo la kihistoria.   

Imetolewa  na  Kurugenzi  ya  Habari  na  Mahusiano
Makao Makuu ya Jeshi, Upanga
S.L.P  9203,   Dar es Salaam,  Tanzania.
Kwa Mawasiliano zaidi: 0756 - 342279
                                         0783- 309963.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad